Kwa jicho la 3 ndoa za Kikristo ni mzigo kwa waume

Kwa jicho la 3 ndoa za Kikristo ni mzigo kwa waume

Kwa hiyo unataka kusemaje labda? Kwamba unafikiri Babu zako waliyavuka hayo yote kiwepesi tu!!!!?

Timiza wajibu wako acha visingizio, vinginevyo utazidi kuona mambo ni magumu. Maisha hayajawahi na hayatawahi kuwa rahisi.

Naona hatuelewani mkuu, nimeelezea kinachoendelea kwa misingi ya kiuchumi....... Sasa katika kushupaza shingo na kuvumilia "majukumu" hiyo story nyingine tofauti kabisa maana kuna alieumbwa kubeba kilo 50 na kuna anayeweza kwenda kilo 200
 
Tatizo wakikaa kwenye vijiwe vya kahawa wanadanganyana na kujazana ujinga. Hakuna binadamu mkamilifu na sidhani kama atatokea. Ni suala la commitment na kutimiza wajibu kwa kila mmoja.

Huwa nawasikiliza vijana stories zao, utawasikia wakisema "Mimi sitaki mwanamke awe hivi au vile, asifanye hiki ama kile", unaishia kucheka tu.
They're delusional ndoa sio lelemama
 
Ule msemo wa kosea kujenga sio kuoa huwa unakumbukwa sana kwenye ndoa yenye changamoto na changamoto hiyo ukute ni ya mwanamke utajuta na kuomba poo.

Ukishafunga ndoa ni mkataba, mkataba huo unatenganishwa na kifo na uzinzi tu. Mambo mengine yoote nihayawezi kuvunja ndoa.

Ukiwa mume mkeo ushamuona mzigo tayari, utafanya nini uachanane nane ikiwa hajafanya uzinzi na ukapa ushahidi? Kumbuka huwezi kubadilisha kama nguo, au mboga.

Kama uliangalia uzuri wa nje bila tabia na ujuzi hujafeli hapo?
Ndoa ya kikristo ingekuwa paradiso kama Biblia ingezingatiwa, lakini wanawake wa kikristo wengi huwanyanyasa waume wakijua hawawezi kuwapa talaka. Mwisho inatimiza usemi kuwa adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake hivyo, mletee mke mwenza atulie
 
Ule msemo wa kosea kujenga sio kuoa huwa unakumbukwa sana kwenye ndoa yenye changamoto na changamoto hiyo ukute ni ya mwanamke utajuta na kuomba poo.

Ukishafunga ndoa ni mkataba, mkataba huo unatenganishwa na kifo na uzinzi tu. Mambo mengine yoote nihayawezi kuvunja ndoa.

Ukiwa mume mkeo ushamuona mzigo tayari, utafanya nini uachanane nane ikiwa hajafanya uzinzi na ukapa ushahidi? Kumbuka huwezi kubadilisha kama nguo, au mboga.

Kama uliangalia uzuri wa nje bila tabia na ujuzi hujafeli hapo?
Ndoa ni scam tu ndugu ukiona ni mkataba wa maisha ni perception yako tu ya kukaririshwa na wakoloni! Subiri ukatwe kichwa ndio ujione hujui. Wazungu waliowaletea ukatoliki wanazivunja na kuoa upya kila siku we umebeba gunia la misumari kichwani unateseka unaogopa vitu vya kufikirika? Wake upo broda
 
Vichwa ngumu umelazimishwa kuoa kichwa ngumu!?

Tatizo mnakurupuka. Kuoa sio kama kuagiza mihogo na chai kwa mama lishe. Unapotaka kuoa ni lazima ukae utulie umtafiti huyo unayetaka kumuoa, upime mdhaifu yake na yako ikiwa yatabebana.

Sasa unaenda bar unaokota bar maid unaenda kumtomba, kwakuwa kakupagawisha kwa kukunyonya pumbou ,Tyr unajidanganya huyu ndio mke! 😆😆😆😆😆.

Hakikisha unazijua hulka na tabia za yule aliyemkuza huyo msichana wako kabla hujamtangazia ndoa. Hii mbinu inawasaidia wengi sana wa vijana wanaotuliza akili sawasawa kabla ya kujiingiza kwenye manungayembe kulumbembe yaliyoshindikana, matokeo yake wanakuja kujuta baadaye.
Utamchunguza mwanamke lakini nakwambia hutomaliza sifa zake za ndani, labda uishi nae kabla ya ndoa, umjue ndio uamue.
 
Kwa hiyo unataka kusemaje labda? Kwamba unafikiri Babu zako waliyavuka hayo yote kiwepesi tu!!!!?

Timiza wajibu wako acha visingizio, vinginevyo utazidi kuona mambo ni magumu. Maisha hayajawahi na hayatawahi kuwa rahisi.
Sema ww mada huaielewa. Rudia kusoma tena
 
Ndoa ni scam tu ndugu ukiona ni mkataba wa maisha ni perception yako tu ya kukaririshwa na wakoloni! Subiri ukatwe kichwa ndio ujione hujui. Wazungu waliowaletea ukatoliki wanavunja na kuoa upya kila siku we umebeba misumari kichwani unateseka unaogopa vitu vya kufikirika? Wake upo broda
Unanitia moyo kimtindo...
 
Oa wake watatu, utaishi kama mfalme, maana wanakuwa wanashindana kupata favor zako
Hao watatu ni wangapi wana uwezo wa kuwatunza wakaridhika wote?kumbuka kuishi na mwanamke kuna kuongeza familia pia sasa ndiyo kila mmoja amekuletea watoto watatu utawalisha vipi utawasomesha vipi?

Ni kuongeza umaskini tu bora kama mtu anajijua ana udhaifu fulani asiikaribie kabisa hii taasisi aiache kwa wenye uwezo
 
Hao watatu ni wangapi wana uwezo wa kuwatunza wakaridhika wote?kumbuka kuishi na mwanamke kuna kuongeza familia pia sasa ndiyo kila mmoja amekuletea watoto watatu utawalisha vipi utawasomesha vipi?

Ni kuongeza umaskini tu bora kama mtu anajijua ana udhaifu fulani asiikaribie kabisa hii taasisi aiache kwa wenye uwezo
Hii plan ya kuwa na backup ni nzuri ila nawaza migogoro au mtoto kukosa malezi ya pande zote, hapo najikuta nakomaa kwanza
 
Inasemekana mwanamke ana masikio matatu... Usipolizibua SIKIO LA CHINI VIZURI kamwe hato kusikiliza..

Learn or perish.
🤣🤣🤣🤣utazubua sana ila haiwezekani kila wakati ukawaza jambo ilo ilo... Kwenye mengine sasa ndio mnaanza kuona mna mitazamo tofauti na itikadi tofauti na malezi tofauti mapendezi tofauti. Hatari
 
Kwani lazima uufutae huo ukristo,angalia faida na hasara za kufuata huo ukristo katika jambo lako.
 
...Ndoa Ni agizo toka kwa Mungu mwenyewe hakuna aliyetunga iwe hivyo. Alivyosema usizini alikuwa na maana kubwa Sana haya ambayo Leo yanaonekana migogoro kwenye ndoa Ni kwasababu ndoa nyingi kilema.

Kimwili Ni wanandoa, lakini kiroho kila mtu Ana mtu ambaye ulimwengu wa kiroho una mfahamu Kama mume wake/mkewe. Na ndomana tulisisitiziwa Sana kuoa wanawake vigori na bikira . Lakini kichwa ngumu unakaidi na kuchukua aliyezalishwa kabisa.
Hakuna agizo la Mungu kuhusu kuoa. Unaweza oa au usioe ni uchaguzi wako.
 
Ule msemo wa kosea kujenga sio kuoa huwa unakumbukwa sana kwenye ndoa yenye changamoto na changamoto hiyo ukute ni ya mwanamke utajuta na kuomba poo.

Ukishafunga ndoa ni mkataba, mkataba huo unatenganishwa na kifo na uzinzi tu. Mambo mengine yoote nihayawezi kuvunja ndoa.

Ukiwa mume mkeo ushamuona mzigo tayari, utafanya nini uachanane nane ikiwa hajafanya uzinzi na ukapa ushahidi? Kumbuka huwezi kubadilisha kama nguo, au mboga.

Kama uliangalia uzuri wa nje bila tabia na ujuzi hujafeli hapo?
Uzuri na unafuu kwa mwislamu ni ruhusa yakuoa mke zaidi ya mmoja,ni hivi mwanamke wa kwanza anaweza jirekebisha ukimwolea mke mwingine,ushahidi wa hilo upo,lkn upande wa uislamu napo kuna kaugumu kidogo kumwacha mkeo,labda hadi we mwanaume uzushe vitimbi dhidi ya mkeo,mfano kumpiga mara kwa mara,kutomtunza hasa kwa chakula,na we mwanaume wala huna sababu yakufanya hivyo,nk nk
 
Back
Top Bottom