Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 878
- 2,014
Kwa hiyo unataka kusemaje labda? Kwamba unafikiri Babu zako waliyavuka hayo yote kiwepesi tu!!!!?
Timiza wajibu wako acha visingizio, vinginevyo utazidi kuona mambo ni magumu. Maisha hayajawahi na hayatawahi kuwa rahisi.
Naona hatuelewani mkuu, nimeelezea kinachoendelea kwa misingi ya kiuchumi....... Sasa katika kushupaza shingo na kuvumilia "majukumu" hiyo story nyingine tofauti kabisa maana kuna alieumbwa kubeba kilo 50 na kuna anayeweza kwenda kilo 200