Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 878
- 2,014
Kwa hiyo unataka kusemaje labda? Kwamba unafikiri Babu zako waliyavuka hayo yote kiwepesi tu!!!!?
Timiza wajibu wako acha visingizio, vinginevyo utazidi kuona mambo ni magumu. Maisha hayajawahi na hayatawahi kuwa rahisi.
They're delusional ndoa sio lelemamaTatizo wakikaa kwenye vijiwe vya kahawa wanadanganyana na kujazana ujinga. Hakuna binadamu mkamilifu na sidhani kama atatokea. Ni suala la commitment na kutimiza wajibu kwa kila mmoja.
Huwa nawasikiliza vijana stories zao, utawasikia wakisema "Mimi sitaki mwanamke awe hivi au vile, asifanye hiki ama kile", unaishia kucheka tu.
Ndoa ya kikristo ingekuwa paradiso kama Biblia ingezingatiwa, lakini wanawake wa kikristo wengi huwanyanyasa waume wakijua hawawezi kuwapa talaka. Mwisho inatimiza usemi kuwa adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake hivyo, mletee mke mwenza atulieUle msemo wa kosea kujenga sio kuoa huwa unakumbukwa sana kwenye ndoa yenye changamoto na changamoto hiyo ukute ni ya mwanamke utajuta na kuomba poo.
Ukishafunga ndoa ni mkataba, mkataba huo unatenganishwa na kifo na uzinzi tu. Mambo mengine yoote nihayawezi kuvunja ndoa.
Ukiwa mume mkeo ushamuona mzigo tayari, utafanya nini uachanane nane ikiwa hajafanya uzinzi na ukapa ushahidi? Kumbuka huwezi kubadilisha kama nguo, au mboga.
Kama uliangalia uzuri wa nje bila tabia na ujuzi hujafeli hapo?
Ndoa ni scam tu ndugu ukiona ni mkataba wa maisha ni perception yako tu ya kukaririshwa na wakoloni! Subiri ukatwe kichwa ndio ujione hujui. Wazungu waliowaletea ukatoliki wanazivunja na kuoa upya kila siku we umebeba gunia la misumari kichwani unateseka unaogopa vitu vya kufikirika? Wake upo brodaUle msemo wa kosea kujenga sio kuoa huwa unakumbukwa sana kwenye ndoa yenye changamoto na changamoto hiyo ukute ni ya mwanamke utajuta na kuomba poo.
Ukishafunga ndoa ni mkataba, mkataba huo unatenganishwa na kifo na uzinzi tu. Mambo mengine yoote nihayawezi kuvunja ndoa.
Ukiwa mume mkeo ushamuona mzigo tayari, utafanya nini uachanane nane ikiwa hajafanya uzinzi na ukapa ushahidi? Kumbuka huwezi kubadilisha kama nguo, au mboga.
Kama uliangalia uzuri wa nje bila tabia na ujuzi hujafeli hapo?
Utamchunguza mwanamke lakini nakwambia hutomaliza sifa zake za ndani, labda uishi nae kabla ya ndoa, umjue ndio uamue.Vichwa ngumu umelazimishwa kuoa kichwa ngumu!?
Tatizo mnakurupuka. Kuoa sio kama kuagiza mihogo na chai kwa mama lishe. Unapotaka kuoa ni lazima ukae utulie umtafiti huyo unayetaka kumuoa, upime mdhaifu yake na yako ikiwa yatabebana.
Sasa unaenda bar unaokota bar maid unaenda kumtomba, kwakuwa kakupagawisha kwa kukunyonya pumbou ,Tyr unajidanganya huyu ndio mke! 😆😆😆😆😆.
Hakikisha unazijua hulka na tabia za yule aliyemkuza huyo msichana wako kabla hujamtangazia ndoa. Hii mbinu inawasaidia wengi sana wa vijana wanaotuliza akili sawasawa kabla ya kujiingiza kwenye manungayembe kulumbembe yaliyoshindikana, matokeo yake wanakuja kujuta baadaye.
Sema ww mada huaielewa. Rudia kusoma tenaKwa hiyo unataka kusemaje labda? Kwamba unafikiri Babu zako waliyavuka hayo yote kiwepesi tu!!!!?
Timiza wajibu wako acha visingizio, vinginevyo utazidi kuona mambo ni magumu. Maisha hayajawahi na hayatawahi kuwa rahisi.
Unanitia moyo kimtindo...Ndoa ni scam tu ndugu ukiona ni mkataba wa maisha ni perception yako tu ya kukaririshwa na wakoloni! Subiri ukatwe kichwa ndio ujione hujui. Wazungu waliowaletea ukatoliki wanavunja na kuoa upya kila siku we umebeba misumari kichwani unateseka unaogopa vitu vya kufikirika? Wake upo broda
Hao watatu ni wangapi wana uwezo wa kuwatunza wakaridhika wote?kumbuka kuishi na mwanamke kuna kuongeza familia pia sasa ndiyo kila mmoja amekuletea watoto watatu utawalisha vipi utawasomesha vipi?Oa wake watatu, utaishi kama mfalme, maana wanakuwa wanashindana kupata favor zako
Oa mzeeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]As long as kutokuoa sio kosa kisheria, am okay.
Ndio ukweli kiongozi, maisha yenyewe yako wapi haya kuvumilia ujinga miaka na miaka?Unanitia moyo kimtindo...
Ili nivumilie hadi kifo 😂Oa mzeeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hii plan ya kuwa na backup ni nzuri ila nawaza migogoro au mtoto kukosa malezi ya pande zote, hapo najikuta nakomaa kwanzaHao watatu ni wangapi wana uwezo wa kuwatunza wakaridhika wote?kumbuka kuishi na mwanamke kuna kuongeza familia pia sasa ndiyo kila mmoja amekuletea watoto watatu utawalisha vipi utawasomesha vipi?
Ni kuongeza umaskini tu bora kama mtu anajijua ana udhaifu fulani asiikaribie kabisa hii taasisi aiache kwa wenye uwezo
🤣🤣🤣🤣utazubua sana ila haiwezekani kila wakati ukawaza jambo ilo ilo... Kwenye mengine sasa ndio mnaanza kuona mna mitazamo tofauti na itikadi tofauti na malezi tofauti mapendezi tofauti. HatariInasemekana mwanamke ana masikio matatu... Usipolizibua SIKIO LA CHINI VIZURI kamwe hato kusikiliza..
Learn or perish.
Hakuna agizo la Mungu kuhusu kuoa. Unaweza oa au usioe ni uchaguzi wako....Ndoa Ni agizo toka kwa Mungu mwenyewe hakuna aliyetunga iwe hivyo. Alivyosema usizini alikuwa na maana kubwa Sana haya ambayo Leo yanaonekana migogoro kwenye ndoa Ni kwasababu ndoa nyingi kilema.
Kimwili Ni wanandoa, lakini kiroho kila mtu Ana mtu ambaye ulimwengu wa kiroho una mfahamu Kama mume wake/mkewe. Na ndomana tulisisitiziwa Sana kuoa wanawake vigori na bikira . Lakini kichwa ngumu unakaidi na kuchukua aliyezalishwa kabisa.
Uzuri na unafuu kwa mwislamu ni ruhusa yakuoa mke zaidi ya mmoja,ni hivi mwanamke wa kwanza anaweza jirekebisha ukimwolea mke mwingine,ushahidi wa hilo upo,lkn upande wa uislamu napo kuna kaugumu kidogo kumwacha mkeo,labda hadi we mwanaume uzushe vitimbi dhidi ya mkeo,mfano kumpiga mara kwa mara,kutomtunza hasa kwa chakula,na we mwanaume wala huna sababu yakufanya hivyo,nk nkUle msemo wa kosea kujenga sio kuoa huwa unakumbukwa sana kwenye ndoa yenye changamoto na changamoto hiyo ukute ni ya mwanamke utajuta na kuomba poo.
Ukishafunga ndoa ni mkataba, mkataba huo unatenganishwa na kifo na uzinzi tu. Mambo mengine yoote nihayawezi kuvunja ndoa.
Ukiwa mume mkeo ushamuona mzigo tayari, utafanya nini uachanane nane ikiwa hajafanya uzinzi na ukapa ushahidi? Kumbuka huwezi kubadilisha kama nguo, au mboga.
Kama uliangalia uzuri wa nje bila tabia na ujuzi hujafeli hapo?