Kwa Jicho la kimpira kuifuta Confederation Cup, CAF wamepuyanga, Motsepe unaharibu soka la Afrika

Kwa Jicho la kimpira kuifuta Confederation Cup, CAF wamepuyanga, Motsepe unaharibu soka la Afrika

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Inafikirisha sana kaaa kwa jicho la kimpira halaf tumia akili ya kawaida kabisa kuliwaza hili,

Usitumie hata Akili yako ya Form 4 wala form 6 tumia ile akili ya kuvukia Barabara tu Mkuu.

Waza Mpira ulibuniwa kwa hoja gani?..unahisi wazungu walikua malofa kuipinga Super League kwao?

Jiulize tu leo kuna shindano mtu anaenda kwa Ranks za CAF ndio linaitwa shindano kubwa Afrika na lenye thaman hivi jiulize tu itokeee FIFA waseme World Cup Team ziende kwa FIFA Ranking unahisi Afrika tutapeleka team ngapi?

Jiulize hivi leo inatokea Team A ambayo ipo juu kwenye Ranks za CAF ukanda flani ina maliza kwenye Ligi ya 4 halaf kuna Team C imepanda league currently ni mpya ila imeweka investment ya kutosha imemaliza nafasi 3 za juu kwa Ligi na remember haina historia yoyote kule CAF, kwahio hii Team ya nafasi ya 3 haitoenda popote maana unakuta Caf champions League anaenda yule wa 2 halaf hapohapo hii ya nafasi ya 4 itaenda super League?

Nachanganyikiwa kabisa na hii Afrika!!


Au sijaelewa maana wanaangalia points!!

Naomba mtu asitumie lugha ya kunikebehi au kunidhalilisha kama unanielewesha unieleweshe taratibu nipo tayar kuelewesha na wale ambao hawajaelewa kama mimi nao wataelewa.

Nielewavyo mimi Mpira ni mchezo wa kushangaza ndio Mpira huo...ukifanya Makosa una shangazwa, na Team iliyokua inachukuliwa ya kawaida ina take over.

Jiulize Team kama FAR RABAT,AZAM,PYRAMID,FUTURE Zitapata lini hio nafasi?

Wydad amepigwa juzi ikawa Rasmi hatoshiriki kombe lolote Msimu unaokuja kesho yake inakuja taarfa kuna kombe hilo ndilo Baba Lao na Taarfa inasema Kombe litahusisha Team zenye Points nyingi Kwenye ranks za CAF.

KUNA MCHEZO HAPA UMECHEZWA.

Halaf nawaza hata itokee Azam abebe Kombe Bongo ila ni Simba na Yanga ndio zitakua na Chance ya kwenda AFL na Azam ataenda Champions League?? au kule Morocco ni Wydad ndie ana chance zaidi ya FAR RABAT kucheza AFL!!

AFRIKA! AFRIKA!

Tulia nirudi kulala!

Soma pia👇

 
Tunajua hili ndo shindano lenu akina Yanga ila msilalamike sana.... sijui mtafanyaje sasa.
Nimeandika kuuliza na nimejenga hoja ila unaleta maswala ya Simba na Yanga..

ccm iendelee kutawala tu kumbe.

Kama unaona huna hoja usi reply pita kimya kimya.

Bora nipate wachangiaji wa 3 ila wanipe mawazo ya kueleweka.
 
Atashiriki champion league kwa misimu angalau miwili ili atinge AFL sababu kubwa ni kwamba hizo timu mpya hazina mashabiki viwanja huwa ni vyeupe pee mfano hao FUTURE, PYRAMID na MEDEAMA huwa hawapati mashabiki hata wa5 uwanjani angali wapo kwao, hata azam hali itakua hiyo hiyo hata MAMELOD mwenyewe hua hajazi mashindano yanakosa mvuto acha iwe hivo hivo wajijenge kwanza
 
Atashiriki champion league kwa misimu angalau miwili ili atinge AFL sababu kubwa ni kwamba hizo timu mpya hazina mashabiki viwanja huwa ni vyeupe pee mfano hao FUTURE, PYRAMID na MEDEAMA huwa hawapati mashabiki hata wa5 uwanjani angali wapo kwao, hata azam hali itakua hiyo hiyo hata MAMELOD mwenyewe hua hajazi mashindano yanakosa mvuto acha iwe hivo hivo wajijenge kwanza
Sasa kwa Mamelod itakuaje? Manake ana vigezo lakini hana mashabiki.
 
Inafikirisha sana kaaa kwa jicho la kimpira halaf tumia akili ya kawaida kabisa kuliwaza hili,

Usitumie hata Akili yako ya Form 4 wala form 6 tumia ile akili ya kuvukia Barabara tu Mkuu.

Waza Mpira ulibuniwa kwa hoja gani?..unahisi wazungu walikua malofa kuipinga Super League kwao?

Jiulize tu leo kuna shindano mtu anaenda kwa Ranks za CAF ndio linaitwa shindano kubwa Afrika na lenye thaman hivi jiulize tu itokeee FIFA waseme World Cup Team ziende kwa FIFA Ranking unahisi Afrika tutapeleka team ngapi?

Jiulize hivi leo inatokea Team A ambayo ipo juu kwenye Ranks za CAF ukanda flani ina maliza kwenye Ligi ya 4 halaf kuna Team C imepanda league currently ni mpya ila imeweka investment ya kutosha imemaliza nafasi 3 za juu kwa Ligi na remember haina historia yoyote kule CAF, kwahio hii Team ya nafasi ya 3 haitoenda popote maana unakuta Caf champions League anaenda yule wa 2 halaf hapohapo hii ya nafasi ya 4 itaenda super League?

Nachanganyikiwa kabisa na hii Afrika!!


Au sijaelewa maana wanaangalia points!!

Naomba mtu asitumie lugha ya kunikebehi au kunidhalilisha kama unanielewesha unieleweshe taratibu nipo tayar kuelewesha na wale ambao hawajaelewa kama mimi nao wataelewa.

Nielewavyo mimi Mpira ni mchezo wa kushangaza ndio Mpira huo...ukifanya Makosa una shangazwa, na Team iliyokua inachukuliwa ya kawaida ina take over.

Jiulize Team kama FAR RABAT,AZAM,PYRAMID,FUTURE Zitapata lini hio nafasi?

Wydad amepigwa juzi ikawa Rasmi hatoshiriki kombe lolote Msimu unaokuja kesho yake inakuja taarfa kuna kombe hilo ndilo Baba Lao na Taarfa inasema Kombe litahusisha Team zenye Points nyingi Kwenye ranks za CAF.

KUNA MCHEZO HAPA UMECHEZWA.

Halaf nawaza hata itokee Azam abebe Kombe Bongo ila ni Simba na Yanga ndio zitakua na Chance ya kwenda AFL na Azam ataenda Champions League?? au kule Morocco ni Wydad ndie ana chance zaidi ya FAR RABAT kucheza AFL!!

AFRIKA! AFRIKA!

Tulia nirudi kulala!

Soma pia👇

Kujadili hili unahitaji zaidi akili ya kuvukia barabara, super Cup lilikuwa ni njia ya kujipatia Hela na kuionyesha Dunia kwamba Africa inamashabiki wengi wa mpira kwakujua kwamba Simba na yanga ndizo team zenye mashibiki wengi wa soka Africa,. Ufunguzi wa shindano hilio ukafanyika Tanzania. Swali fikirishi je tunajua maana ya human herding behavior,(unyumbu),
 
Kujadili hili unahitaji zaidi akili ya kuvukia barabara, sup Cup lilikuwa ni njia ya kujipatia Hela na kuionyesha Dunia kwamba Africa inamashabiki wengi wa mpira kwakujua kwamba Simba na yanga ndizo team zenye mashibiki wengi wa soka Africa,. Ufunguzi wa shindano hilio ukafanyika Tanzania. Swali fikirishi je tunajua maana ya human herding behavior,(unyumbu),
Mwishon Umetoa swali gumu sana!!
😁😁😁
 
Atashiriki champion league kwa misimu angalau miwili ili atinge AFL sababu kubwa ni kwamba hizo timu mpya hazina mashabiki viwanja huwa ni vyeupe pee mfano hao FUTURE, PYRAMID na MEDEAMA huwa hawapati mashabiki hata wa5 uwanjani angali wapo kwao, hata azam hali itakua hiyo hiyo hata MAMELOD mwenyewe hua hajazi mashindano yanakosa mvuto acha iwe hivo hivo wajijenge kwanza
issue ya mashabiki sio hoja wangeacha tu

sema sisi Afrika tunataka kujaza ni shaona ila sio vibe.

Bongo tunajaza watazamaji ambao kwa Team pinzan haiwaogopi hata ile ya nyumban kwa asilimia kubwa kimpira sio kimapato hua haifaidiki nao.

Hua ni watazamaji na sio watu wa vibe..Ushasikia Team zikienda pale uwanja wa Liverpool..

Haohao wachache wangetengenezwa au vikatengenezwa vikundi vya ushangiliaji Mwa Mwisho vingevutia wengine..Vibe likawa lina vuta watu.
 
Kwa kuzingatia maoni yako mtoa mada, ili uweze kuwa katika hizo nafasi za juu katika caf ranking unatakiwa ufanye nini?, Ukipata jibu hutakuwa tena na wasiwasi wa michuano ya AFL kwa kuzingatia hoja zako lakini.
 
Back
Top Bottom