Ngoja hapa na mm nitie neno,kwa mfano young African no bingwa NBC pl na kwenye rank ni nambari 11 atashiriki shindano lipi kati ya Hays mawili??? AFL au CAFCL? Au atashiriki yote kwa pamoja
Atashiriki AFL na ndivyo itakavyokuwa kwa Yanga na Simba msimu ujao.
AFL ndio itakuwa michuano ya hadhi ya juu kuliko CAFCL yaani CAFCL inashushwa hadhi inakuwa ilivyokuwa tu shirikisho.
Sheria hairuhusu kushiriki michuano yote miwili bali kama umefuzu AFL unapaswa kucheza AFL ila kama hujafuzu AFL ila msimamo wa ligi kuu unakubeba kucheza CAFCL basi utashiriki CAFCL
Inafikirisha sana kaaa kwa jicho la kimpira halaf tumia akili ya kawaida kabisa kuliwaza hili,
Usitumie hata Akili yako ya Form 4 wala form 6 tumia ile akili ya kuvukia Barabara tu Mkuu.
Waza Mpira ulibuniwa kwa hoja gani?..unahisi wazungu walikua malofa kuipinga Super League kwao?
Jiulize tu leo kuna shindano mtu anaenda kwa Ranks za CAF ndio linaitwa shindano kubwa Afrika na lenye thaman hivi jiulize tu itokeee FIFA waseme World Cup Team ziende kwa FIFA Ranking unahisi Afrika tutapeleka team ngapi?
Jiulize hivi leo inatokea Team A ambayo ipo juu kwenye Ranks za CAF ukanda flani ina maliza kwenye Ligi ya 4 halaf kuna Team C imepanda league currently ni mpya ila imeweka investment ya kutosha imemaliza nafasi 3 za juu kwa Ligi na remember haina historia yoyote kule CAF, kwahio hii Team ya nafasi ya 3 haitoenda popote maana unakuta Caf champions League anaenda yule wa 2 halaf hapohapo hii ya nafasi ya 4 itaenda super League?
Nachanganyikiwa kabisa na hii Afrika!!
Au sijaelewa maana wanaangalia points!!
Naomba mtu asitumie lugha ya kunikebehi au kunidhalilisha kama unanielewesha unieleweshe taratibu nipo tayar kuelewesha na wale ambao hawajaelewa kama mimi nao wataelewa.
Nielewavyo mimi Mpira ni mchezo wa kushangaza ndio Mpira huo...ukifanya Makosa una shangazwa, na Team iliyokua inachukuliwa ya kawaida ina take over.
Jiulize Team kama FAR RABAT,AZAM,PYRAMID,FUTURE Zitapata lini hio nafasi?
Wydad amepigwa juzi ikawa Rasmi hatoshiriki kombe lolote Msimu unaokuja kesho yake inakuja taarfa kuna kombe hilo ndilo Baba Lao na Taarfa inasema Kombe litahusisha Team zenye Points nyingi Kwenye ranks za CAF.
KUNA MCHEZO HAPA UMECHEZWA.
Halaf nawaza hata itokee Azam abebe Kombe Bongo ila ni Simba na Yanga ndio zitakua na Chance ya kwenda AFL na Azam ataenda Champions League?? au kule Morocco ni Wydad ndie ana chance zaidi ya FAR RABAT kucheza AFL!!
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league. African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za CAF. Zone 1) North Africa Zone 2) West / Central Africa Zone 3) South / East Africa Kwa sheria...
naona shauku ya Motspe ni kuifanya hii ligi iwe ya kuvutia kupitia hawa wakubwa waliokuwa dominant ila pia je hawatatumia new records?sababu miaka 5 nazani ya hesabu za points imeshapita..au bdao?
Klabu bingwa ya Afrika itakuwa kaama ndondo Cup tu, kuna timu ndogo tu zitakuja kuchukua komba la klabu bingwa hata mara 5 wakati timu kubwa kama Simba na Yanga zitakuwa hazijawahi sababu hazitashiriki tena klabu bingwa
Kuna team Africa zishapoteza ubora kama hizo Wydad, Simba,na Kaizer ambazo zinapewa upendeleo kisa historia tulitaka tuone team imara na tishio kwa sasa kama FAR Rabat, Pyramid, Yanga n.k
Klabu bingwa ya Afrika itakuwa kaama ndondo Cup tu, kuna timu ndogo tu zitakuja kuchukua komba la klabu bingwa hata mara 5 wakati timu kubwa kama Simba na Yanga zitakuwa hazijawahi sababu hazitashiriki tena klabu bingwa
Klabu bingwa ya Afrika itakuwa kaama ndondo Cup tu, kuna timu ndogo tu zitakuja kuchukua komba la klabu bingwa hata mara 5 wakati timu kubwa kama Simba na Yanga zitakuwa hazijawahi sababu hazitashiriki tena klabu bingwa
Inafikirisha sana kaaa kwa jicho la kimpira halaf tumia akili ya kawaida kabisa kuliwaza hili,
Usitumie hata Akili yako ya Form 4 wala form 6 tumia ile akili ya kuvukia Barabara tu Mkuu.
Waza Mpira ulibuniwa kwa hoja gani?..unahisi wazungu walikua malofa kuipinga Super League kwao?
Jiulize tu leo kuna shindano mtu anaenda kwa Ranks za CAF ndio linaitwa shindano kubwa Afrika na lenye thaman hivi jiulize tu itokeee FIFA waseme World Cup Team ziende kwa FIFA Ranking unahisi Afrika tutapeleka team ngapi?
Jiulize hivi leo inatokea Team A ambayo ipo juu kwenye Ranks za CAF ukanda flani ina maliza kwenye Ligi ya 4 halaf kuna Team C imepanda league currently ni mpya ila imeweka investment ya kutosha imemaliza nafasi 3 za juu kwa Ligi na remember haina historia yoyote kule CAF, kwahio hii Team ya nafasi ya 3 haitoenda popote maana unakuta Caf champions League anaenda yule wa 2 halaf hapohapo hii ya nafasi ya 4 itaenda super League?
Nachanganyikiwa kabisa na hii Afrika!!
Au sijaelewa maana wanaangalia points!!
Naomba mtu asitumie lugha ya kunikebehi au kunidhalilisha kama unanielewesha unieleweshe taratibu nipo tayar kuelewesha na wale ambao hawajaelewa kama mimi nao wataelewa.
Nielewavyo mimi Mpira ni mchezo wa kushangaza ndio Mpira huo...ukifanya Makosa una shangazwa, na Team iliyokua inachukuliwa ya kawaida ina take over.
Jiulize Team kama FAR RABAT,AZAM,PYRAMID,FUTURE Zitapata lini hio nafasi?
Wydad amepigwa juzi ikawa Rasmi hatoshiriki kombe lolote Msimu unaokuja kesho yake inakuja taarfa kuna kombe hilo ndilo Baba Lao na Taarfa inasema Kombe litahusisha Team zenye Points nyingi Kwenye ranks za CAF.
KUNA MCHEZO HAPA UMECHEZWA.
Halaf nawaza hata itokee Azam abebe Kombe Bongo ila ni Simba na Yanga ndio zitakua na Chance ya kwenda AFL na Azam ataenda Champions League?? au kule Morocco ni Wydad ndie ana chance zaidi ya FAR RABAT kucheza AFL!!
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league. African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za CAF. Zone 1) North Africa Zone 2) West / Central Africa Zone 3) South / East Africa Kwa sheria...
Timu zinapaswa ziingie kwa qualification inayoonekana kila msimu.
Sio sahihi kuweka mashindano yenye utaratibu wa kushiriki wa mualiko tu. Halafu useme ni ranking ya miaka mitano iliyopita.
Timu mpya zitakuwa zinaonewa.
Mfano enyimba msimu wake wa kwanza kwanza tu kushiriki Caf champions league mwaka 2003 ndio msimu huo huo akaenda kutwaa kombe la Caf champions league.
Ingekuwa format ya ranking wanazozileta Caf kwenye AFL maana yake timu kama enyimba hazitapata nafasi tena... maana ranking ya miaka mitano ilikuwa haimjui enyimba kabisa. Ila bado akawa bingwa wa kombe kubwa africa
Mpira sasa ni biashara sio burudani tena! Watu wanaweka pesa wakitaka pesa irudi! Unafikili ukipeleka namungo yako, sijui Azam,sijui utopolo! Zinajulikana wapi mpaka zivuti mashabiki!
Mpira sasa ni biashara sio burudani tena! Watu wanaweka pesa wakitaka pesa irudi! Unafikili ukipeleka namungo yako, sijui Azam,sijui utopolo! Zinajulikana wapi mpaka zivuti mashabiki!
Timu zinapaswa ziingie kwa qualification inayoonekana kila msimu.
Sio sahihi kuweka mashindano yenye utaratibu wa kushiriki wa mualiko tu. Halafu useme ni ranking ya miaka mitano iliyopita.
Timu mpya zitakuwa zinaonewa.
Mfano enyimba msimu wake wa kwanza kwanza tu kushiriki Caf champions league mwaka 2003 ndio msimu huo huo akaenda kutwaa kombe la Caf champions league.
Ingekuwa format ya ranking wanazozileta Caf kwenye AFL maana yake timu kama enyimba hazitapata nafasi tena... maana ranking ya miaka mitano ilikuwa haimjui enyimba kabisa. Ila bado akawa bingwa wa kombe kubwa africa
Kwanini kusiwe na mashindano yote matatu kwa wakati mmoja yani super league, Champions league na Confideration Cup.
Nini kinazuia yote kufanyika kwa pamoja.
Kwanini kusiwe na mashindano yote matatu kwa wakati mmoja yani super league, Champions league na Confideration Cup.
Nini kinazuia yote kufanyika kwa pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.