Pre GE2025 Kwa jicho la mbali, Makonda alikuwa anajijenga yeye na sio chama

Pre GE2025 Kwa jicho la mbali, Makonda alikuwa anajijenga yeye na sio chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama anasaidia watu lazima watu wampende tu.ametatua changamoto nyingi sana za wananchi.Mama kachukia kupendwa makonda kaamua kumficha kwenye eneo dogo.kwa uzalendo aliounyesha makonda kunauwezekano siku akawa rais
Tupe mfano wa alichosaida mbona una akili ndogo sana

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
kwa vyovyote vile asingeweza kufanya kazi na Kinana na Nchimbi style za uongozi ni tofauti sana. Hata kuondoka kwa Chongolo mara tu anaingia alichangia.
 
makonda isafishe arusha matumizi ya bagi na pombe za mataputapu ikome mara moja

pia umeru unaokwamisha miradi ukome mara moja watu wawe kwenye mstari mnyoofu
 
Rais Samia amemtua Paul Makonda kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha baada ya kudumu kwa kipindi kifupi sana kwenye uenezi na itikadi.

Wako waliokuwa wanamaifia Makonda sana ni haki yao ila ukweli ni kwamba vigogo wa CCM na mtu yeyote mwenye upeo mkubwa walishaona Makonda anajijenga yeye kwa kupitia mwavuli wa katibu mwenezi sababu ghafla mijini na vijijini jina lake ndo linaimbwa kuliko la ccm kwenye siasa hii ni hatari kubwa sana
MAKONDA NI MAARUFU TOKA ANAZALIWA

Makonda alikuwa hajengi chama kama wengi walivyokuwa wanadhani bali, na kama angeendelea vile hata samia angempita kwa umaarufu na ingekua ni kazi ngumu tena kumzibiti Rais amefanyia kazi ushauri wa watu waliochukizwa tokea mwanzo alipomteua kuwa mwenezi wa ccm

Kuna kashfa ya kumtisha Salah ambayo hakuna aliyethibitisha bali ukweli kwamba mbwa mzee huwezi mfundisha sheria same kwa makonda hawezi acha tabia zake za majivuno, visasi, matumizi makubwa na bila huruma ya fedha za umma (extravagant), kuonea na kutishia watu hizo zipo damuni
MAKONDA NI MAARUFU TOKA ANAZALIWA, alishakua maarufu kabla na baada, means ni umaarufu wake Upo damuni,
Dhahabu safi ni ile inayopita kwenye moto mkali, KWANINI MAKONDA ATIKISE kila KUTEULIWA na kuenguuliwa kwanini asiwe mwningine, kwanini asiwe NDALICHAKO KUJADILIWA😂😂😂
 
Acha uzushi wako hapa wewe. Alikuwa anajijengeje? Nani katika Taifa letu naye alikuwa hamfahamu Mheshimiwa Makonda na namna anavyo chapa kazi na kuwa karibu na wananchi? Mheshimiwa Makonda amefanya kazi kama alivyopewa na sasa ameaminiwa na kupewa imani na Mheshimiwa Rais ya kwenda kumsaidia mkoani Arusha kama mkuu wa Mkoa yaani Rais wa Mkoa.
Ameaminiwa kwa kushushwa cheo?
Sawa na kusema WEO kaaminiwa kwenda kua VEO Kijiji fulani hapa TANZANIA
 
Acha uzushi wako hapa wewe. Alikuwa anajijengeje? Nani katika Taifa letu naye alikuwa hamfahamu Mheshimiwa Makonda na namna anavyo chapa kazi na kuwa karibu na wananchi? Mheshimiwa Makonda amefanya kazi kama alivyopewa na sasa ameaminiwa na kupewa imani na Mheshimiwa Rais ya kwenda kumsaidia mkoani Arusha kama mkuu wa Mkoa yaani Rais wa Mkoa.
Ukisikia jina la Makonda tu kiantena kinakusimama.
 
Very correct, kama ulifuatilia mapokezi ya ndege ya juzi, Makonda alishaunda kikosi cha vijana cha kumshangilia kila anapoenda, sasa kitakuwa kimesambaratika
A very serious mistake amefanya ... kujaribu kumu outside boss wake
 
Very correct, kama ulifuatilia mapokezi ya ndege ya juzi, Makonda alishaunda kikosi cha vijana cha kumshangilia kila anapoenda, sasa kitakuwa kimesambaratika
Niliona kulikuwa na kakikundi ka watu wasiozidi 20 pale
 
Back
Top Bottom