Kwa jinsi baadhi ya Wahadhiri (Lecturers) wetu walivyo nchini wanafunzi waliotoka Sudan kuna usalama kweli?

Kwa jinsi baadhi ya Wahadhiri (Lecturers) wetu walivyo nchini wanafunzi waliotoka Sudan kuna usalama kweli?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Huko Sudan kuna machafuko makubwa sana yanayosababishwa na mapigano makali baina wao kwa wao, zaidi ya wanafunzi laki vyuoni wamelazimika kurudi majumbani ama kwenda nje ya nchi, kwa hapa Tanzania wanafunzi 150 wa kada za afya wamekuja kumaliza masomo yao. Hapo kabla ya vita kulikuwaga na scholarships za kila mwaka mamia ya watanzania wanaenda Sudan kusoma vyuoni, kwa sasa ni zamu yetu

Kwa hapa bongo lecturers ni kama miungu mtu kwenye maisha ya chuoni, kwa tuliosoma vyuoni tunajua ya kwamba kwao suala la kupata penzi huwa ni ishu simple, hasa ukizingatia hakuna sheria za kuwabana kuwa na mahusiano na wanafunzi.

Mwanafunzi akifeli test, kuchelewa kukusanya assignment, n.k huwa kuna kwenda ofisini kwa lecturer kujaribu kumbembeleza, hapo ndipo lecturers wenye uchu huwa wanachomokea jambo lao. lecturers wengine wanafanya maksudi tu ilimradi binti ajipeleke.

Pia binti akitongozwa na lecturer anaogopa kukataa kuhisi itamuudhi lecturer mwenye marks na akikubali anapata favours kama kupendelewa marks na kupewa vihela maana jamaa wanalipwa si haba,

1687201446496.png


1687201466913.png


1687201486407.png
 
Kigezo kikuu ni Uislam.

Hamna jingine.


Btw Tunawakaribisha sana sana !!.
Umefika chuo ?

Marks na dini ni vitu viwili tofauti.

Binti akifeli ni rahisi kujigonga kwa lecturer bila kujali dini, cha msingi afaulu tu,

Pia binti akitongozwa na lecturer anaogopa kukataa kuhisi itamuudhi lecturer mwenye marks na akikubali anapata favours kama kupendelewa marks na kupewa vihela maana jamaa wanalipwa si haba,
 
Sudan Ina urafiki na Ethiopia & Eritrea huko pia Kuna baadhi ya tamadun huingiliana pia nikaribu sana kuliko Tanzania pia Sudan wanafanya sana Biashara na wanaingiliana sana na Uganda & Kenya kuliko TANZANIA.

Waarabu wengi wanafanya Biashara kubwa Dubai & Saud Arabia wengi wao asili yao/mitaji yao n Sudan ya kaskazini.

Pengine n project maalum yakuja kuua future ya wataalamu(wanafunzi) wetu hapo muhimbili kwani Nani anajali?
 
Umefika chuo ?

Marks na dini ni vitu viwili tofauti.

Binti akifeli ni rahisi kujigonga kwa lecturer bila kujali dini, cha msingi afaulu tu,

Pia binti akitongozwa na lecturer anaogopa kukataa kuhisi itamuudhi lecturer mwenye marks na akikubali anapata favours kama kupendelewa marks na kupewa vihela maana jamaa wanalipwa si haba,
Mkuu nilichoandika hakihusiani na wao kuliwa, kuliwa lazima waliwe.



Kwann waje Tanzania ? Na sio Nchi Jirani nao?.
 
Sudan Ina urafiki na Ethiopia & Eritrea huko pia Kuna baadhi ya tamadun huingiliana pia nikaribu sana kuliko Tanzania pia Sudan wanafanya sana Biashara na wanaingiliana sana na Uganda & Kenya kuliko TANZANIA.

Waarabu wengi wanafanya Biashara kubwa Dubai & Saud Arabia wengi wao asili yao/mitaji yao n Sudan ya kaskazini.

Pengine n project maalum yakuja kuua future ya wataalamu(wanafunzi) wetu hapo muhimbili kwani Nani anajali?
Tuache kulalamika sana wanafunzi wamekuja kumaliza masomo yao maana kwao kuna vita. Sisi ndio msaada tuliowapatia. Sasa watauaje wataalam wetu mkuu?
Tena wataipaisha mhumbili zaidi
 
Kwa hapa bongo lecturers ni kama miungu mtu kwenye maisha ya chuoni, kwa tuliosoma vyuoni tunajua ya kwamba kwao suala la kupata penzi huwa ni ishu simple, hasa ukizingatia hakuna sheria za kuwabana kuwa na mahusiano na wanafunzi.

Binti akifeli huwa kuna kumbembeleza lecturer, hapo ndipo lecturers wenye uchu ndio huwa wanachomokea jambo lao. lecturers wengine wanafanya maksudi tu ilimradi binti ajipeleke.

Pia binti akitongozwa na lecturer anaogopa kukataa kuhisi itamuudhi lecturer mwenye marks na akikubali anapata favours kama kupendelewa marks na kupewa vihela maana jamaa wanalipwa si haba,

View attachment 2662602

View attachment 2662603

View attachment 2662604
Ni mwendo wa booking tu ijumaa turudi mjini sasa, watoto Mashallah

Hapa sasa tutauza mechi tu
 
Kuna vita inaendelea Sudan, Makumi ya maelfu ya wanafunzi vyuoni wamelazimika kurudi majumbani ama kwenda nje ya nchi, kwa hapa Tanzania wanafunzi 100 wa kada za afya wamekuja kumaliza masomo yao chuo cha Muhimbili.

Kwa hapa bongo lecturers ni kama miungu mtu kwenye maisha ya chuoni, kwa tuliosoma vyuoni tunajua ya kwamba kwao suala la kupata penzi huwa ni ishu simple, hasa ukizingatia hakuna sheria za kuwabana kuwa na mahusiano na wanafunzi.

Mwanafunzi akifeli test, kuchelewa kukusanya assignment, n.k huwa kuna kwenda ofisini kwa lecturer kujaribu kumbembeleza, hapo ndipo lecturers wenye uchu huwa wanachomokea jambo lao. lecturers wengine wanafanya maksudi tu ilimradi binti ajipeleke.

Pia binti akitongozwa na lecturer anaogopa kukataa kuhisi itamuudhi lecturer mwenye marks na akikubali anapata favours kama kupendelewa marks na kupewa vihela maana jamaa wanalipwa si haba,

View attachment 2662602

View attachment 2662603

View attachment 2662604
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
 
Swali zuri hili..
Kuna wanafunzi zaidi ya laki 1 wapo vyuoni Sudani na wamelazimika kusitisha masomo kwasababu byuo vimefungwa.

Wanafunzi 150 kuja kumalizia elimu yao bongo kuna tatizo ?

Kwenye ile misaada inayoletwa (japo inatafunwa na wanasiasa) huwa kuna sharti la kuweza kusaidia wengine wakiwa kwenye matatizo
 
Tukumbuke Sudan kuna machafuko makubwa sana yanayosababishwa na mapigano makali baina wao kwa wao. Watu wanauwana na kuchinjana. Hawa wanafunzi kuchukuliwa ni msaada na wema watanzania tunaowafanyia waafrika wenzetu wasudani.

Tusianze kuleta maneno ya kebehi/dhihaka/ukabila/udini na kadhalika. Si jambo jema, tunapaswa kuwapa moyo.

Nchi nyingi wamekataa kuwachukua wakimbizi sambamba na wanafunzi kutoka sudani. Sisi watanzania tumethubutu kuwapokea. Ni jambo la kujinadi sio kuwakebehi na kuleta udini na ubaguzi.

Kati ya hao pengine kuna "Mawaziri/Marais/Mawaziri Wakuu/Waganga Wakuu n.k" watarajiwa.
 
Kuna vita inaendelea Sudan, vyuo vimefunga na zaidi ya wanafunzi laki vyuoni wamelazimika kurudi majumbani ama kwenda nje ya nchi, kwa hapa Tanzania wanafunzi 150 wa kada za afya wamekuja kumaliza masomo yao chuo cha Muhimbili.

Kwa hapa bongo lecturers ni kama miungu mtu kwenye maisha ya chuoni, kwa tuliosoma vyuoni tunajua ya kwamba kwao suala la kupata penzi huwa ni ishu simple, hasa ukizingatia hakuna sheria za kuwabana kuwa na mahusiano na wanafunzi.

Mwanafunzi akifeli test, kuchelewa kukusanya assignment, n.k huwa kuna kwenda ofisini kwa lecturer kujaribu kumbembeleza, hapo ndipo lecturers wenye uchu huwa wanachomokea jambo lao. lecturers wengine wanafanya maksudi tu ilimradi binti ajipeleke.

Pia binti akitongozwa na lecturer anaogopa kukataa kuhisi itamuudhi lecturer mwenye marks na akikubali anapata favours kama kupendelewa marks na kupewa vihela maana jamaa wanalipwa si haba,

View attachment 2662602

View attachment 2662603

View attachment 2662604
Vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudani yapeleka Neema Tanzania.
Ina maana waliokuja ni wa kike tu!! Au tuungane na Sudan? Wanaishi palepale? Kichwa kinaniuma ngoja kesho niende Muhimbili
 
Vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudani yapeleka Neema Tanzania.
Ina maana waliokuja ni wa kike tu!! Au tuungane na Sudan? Wanaishi palepale? Kichwa kinaniuma ngoja kesho niende Muhimbili
Wapo na wa kiume pia.

Hapo kabla ya vita kulikuwaga na scholarships za kila mwaka watanzania wanaenda Sudan kusoma, kwa sasa ni zamu yetu kuwapa msaada wamalize elimu zao hapa kwetu.
 
Back
Top Bottom