Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa kuchanganya damu tu.Wapo na wa kiume pia.
Hapo kabla ya vita kulikuwaga na scholarships za kila mwaka watanzania wanaenda Sudan kusoma, kwa sasa ni zamu yetu kuwapa msaada wamalize elimu zao hapa kwetu.
Hangaika upate list ya majina yao, anza kutext moja moja 😎😎Kikubwa kuchanganya damu tu.
Hivi unaweza ukawa unafahamu mahala Kanzu na baraghashia na kobazi vinapouzwa?
Isije ikawa hawa DP World wametuletea Honey PortHangaika upate list ya majina yao, anza kutext moja moja 😎😎
Shida ni nini?Huko Sudan kuna machafuko makubwa sana yanayosababishwa na mapigano makali baina wao kwa wao, zaidi ya wanafunzi laki vyuoni wamelazimika kurudi majumbani ama kwenda nje ya nchi, kwa hapa Tanzania wanafunzi 150 wa kada za afya wamekuja kumaliza masomo yao. Hapo kabla ya vita kulikuwaga na scholarships za kila mwaka mamia ya watanzania wanaenda Sudan kusoma vyuoni, kwa sasa ni zamu yetu
Kwa hapa bongo lecturers ni kama miungu mtu kwenye maisha ya chuoni, kwa tuliosoma vyuoni tunajua ya kwamba kwao suala la kupata penzi huwa ni ishu simple, hasa ukizingatia hakuna sheria za kuwabana kuwa na mahusiano na wanafunzi.
Mwanafunzi akifeli test, kuchelewa kukusanya assignment, n.k huwa kuna kwenda ofisini kwa lecturer kujaribu kumbembeleza, hapo ndipo lecturers wenye uchu huwa wanachomokea jambo lao. lecturers wengine wanafanya maksudi tu ilimradi binti ajipeleke.
Pia binti akitongozwa na lecturer anaogopa kukataa kuhisi itamuudhi lecturer mwenye marks na akikubali anapata favours kama kupendelewa marks na kupewa vihela maana jamaa wanalipwa si haba,
View attachment 2662602
View attachment 2662603
View attachment 2662604
Wabongo tunawaza kudinyana tu!! Haina haja yakuwa specializedhata wakifungwa gps, inaweza kuonyesha wapo ofisini kwa lecturer, utaambiwa wanawafundisha ofsini hahaha
Kwa visu hivi,Bora Bandari yetu tungewapa Sudani tu!!Huko Sudan kuna machafuko makubwa sana yanayosababishwa na mapigano makali baina wao kwa wao, zaidi ya wanafunzi laki vyuoni wamelazimika kurudi majumbani ama kwenda nje ya nchi, kwa hapa Tanzania wanafunzi 150 wa kada za afya wamekuja kumaliza masomo yao. Hapo kabla ya vita kulikuwaga na scholarships za kila mwaka mamia ya watanzania wanaenda Sudan kusoma vyuoni, kwa sasa ni zamu yetu
Kwa hapa bongo lecturers ni kama miungu mtu kwenye maisha ya chuoni, kwa tuliosoma vyuoni tunajua ya kwamba kwao suala la kupata penzi huwa ni ishu simple, hasa ukizingatia hakuna sheria za kuwabana kuwa na mahusiano na wanafunzi.
Mwanafunzi akifeli test, kuchelewa kukusanya assignment, n.k huwa kuna kwenda ofisini kwa lecturer kujaribu kumbembeleza, hapo ndipo lecturers wenye uchu huwa wanachomokea jambo lao. lecturers wengine wanafanya maksudi tu ilimradi binti ajipeleke.
Pia binti akitongozwa na lecturer anaogopa kukataa kuhisi itamuudhi lecturer mwenye marks na akikubali anapata favours kama kupendelewa marks na kupewa vihela maana jamaa wanalipwa si haba,
View attachment 2662602
View attachment 2662603
View attachment 2662604
Ethiopia na Eritrea hakuna maajabu huko ubora wa elimu yao haingii hata nukta kwa ya hapa kwetu. Na kuna wengine wameenda Kenya sio wote wamekuja hapa mkuu.Sudan Ina urafiki na Ethiopia & Eritrea huko pia Kuna baadhi ya tamadun huingiliana pia nikaribu sana kuliko Tanzania pia Sudan wanafanya sana Biashara na wanaingiliana sana na Uganda & Kenya kuliko TANZANIA.
Waarabu wengi wanafanya Biashara kubwa Dubai & Saud Arabia wengi wao asili yao/mitaji yao n Sudan ya kaskazini.
Pengine n project maalum yakuja kuua future ya wataalamu(wanafunzi) wetu hapo muhimbili kwani Nani anajali?
Unawwzia usalama wa mtu mzima na Akili yakeeeHuko Sudan kuna machafuko makubwa sana yanayosababishwa na mapigano makali baina wao kwa wao, zaidi ya wanafunzi laki vyuoni wamelazimika kurudi majumbani ama kwenda nje ya nchi, kwa hapa Tanzania wanafunzi 150 wa kada za afya wamekuja kumaliza masomo yao. Hapo kabla ya vita kulikuwaga na scholarships za kila mwaka mamia ya watanzania wanaenda Sudan kusoma vyuoni, kwa sasa ni zamu yetu
Kwa hapa bongo lecturers ni kama miungu mtu kwenye maisha ya chuoni, kwa tuliosoma vyuoni tunajua ya kwamba kwao suala la kupata penzi huwa ni ishu simple, hasa ukizingatia hakuna sheria za kuwabana kuwa na mahusiano na wanafunzi.
Mwanafunzi akifeli test, kuchelewa kukusanya assignment, n.k huwa kuna kwenda ofisini kwa lecturer kujaribu kumbembeleza, hapo ndipo lecturers wenye uchu huwa wanachomokea jambo lao. lecturers wengine wanafanya maksudi tu ilimradi binti ajipeleke.
Pia binti akitongozwa na lecturer anaogopa kukataa kuhisi itamuudhi lecturer mwenye marks na akikubali anapata favours kama kupendelewa marks na kupewa vihela maana jamaa wanalipwa si haba,
View attachment 2662602
View attachment 2662603
View attachment 2662604