Kwa jinsi baadhi ya Wahadhiri (Lecturers) wetu walivyo nchini wanafunzi waliotoka Sudan kuna usalama kweli?

Kwa jinsi baadhi ya Wahadhiri (Lecturers) wetu walivyo nchini wanafunzi waliotoka Sudan kuna usalama kweli?

Nani kakwambia hao wanakuja kufundishwa na malecturer wa bongo? Hao watafundisha kwa kufuata mitaala ya elimu yao nawatafundishwa na malecturer wao,hapa watasaidiwa mahali tu pakujihifadhi nakufanyia practical
 
Wapo na wa kiume pia.

Hapo kabla ya vita kulikuwaga na scholarships za kila mwaka watanzania wanaenda Sudan kusoma, kwa sasa ni zamu yetu kuwapa msaada wamalize elimu zao hapa kwetu.
Kikubwa kuchanganya damu tu.
Hivi unaweza ukawa unafahamu mahala Kanzu na baraghashia na kobazi vinapouzwa?
 
Huko Sudan kuna machafuko makubwa sana yanayosababishwa na mapigano makali baina wao kwa wao, zaidi ya wanafunzi laki vyuoni wamelazimika kurudi majumbani ama kwenda nje ya nchi, kwa hapa Tanzania wanafunzi 150 wa kada za afya wamekuja kumaliza masomo yao. Hapo kabla ya vita kulikuwaga na scholarships za kila mwaka mamia ya watanzania wanaenda Sudan kusoma vyuoni, kwa sasa ni zamu yetu

Kwa hapa bongo lecturers ni kama miungu mtu kwenye maisha ya chuoni, kwa tuliosoma vyuoni tunajua ya kwamba kwao suala la kupata penzi huwa ni ishu simple, hasa ukizingatia hakuna sheria za kuwabana kuwa na mahusiano na wanafunzi.

Mwanafunzi akifeli test, kuchelewa kukusanya assignment, n.k huwa kuna kwenda ofisini kwa lecturer kujaribu kumbembeleza, hapo ndipo lecturers wenye uchu huwa wanachomokea jambo lao. lecturers wengine wanafanya maksudi tu ilimradi binti ajipeleke.

Pia binti akitongozwa na lecturer anaogopa kukataa kuhisi itamuudhi lecturer mwenye marks na akikubali anapata favours kama kupendelewa marks na kupewa vihela maana jamaa wanalipwa si haba,

View attachment 2662602

View attachment 2662603

View attachment 2662604
Shida ni nini?
Unaona kama mbususu zao ni special sana ama?
 
Umemskiliza vizuri janabi alichokisema au umeaua tu kuandika ili iyonekane maprofesa wetu Wana roho mbaya kasema kwanza wale ni wanafunzi wa mwaka wa Tano masomo Yao watafanya Kwa vitendo na pia Wana msimazi wao ambaye ni profesa kutoka katika chuo walichotoka Kiufupi muhimbili imewapa support ya facilities ila hayo mambo ya marks yatasimamiwa na maprofesa wao
 
Huko Sudan kuna machafuko makubwa sana yanayosababishwa na mapigano makali baina wao kwa wao, zaidi ya wanafunzi laki vyuoni wamelazimika kurudi majumbani ama kwenda nje ya nchi, kwa hapa Tanzania wanafunzi 150 wa kada za afya wamekuja kumaliza masomo yao. Hapo kabla ya vita kulikuwaga na scholarships za kila mwaka mamia ya watanzania wanaenda Sudan kusoma vyuoni, kwa sasa ni zamu yetu

Kwa hapa bongo lecturers ni kama miungu mtu kwenye maisha ya chuoni, kwa tuliosoma vyuoni tunajua ya kwamba kwao suala la kupata penzi huwa ni ishu simple, hasa ukizingatia hakuna sheria za kuwabana kuwa na mahusiano na wanafunzi.

Mwanafunzi akifeli test, kuchelewa kukusanya assignment, n.k huwa kuna kwenda ofisini kwa lecturer kujaribu kumbembeleza, hapo ndipo lecturers wenye uchu huwa wanachomokea jambo lao. lecturers wengine wanafanya maksudi tu ilimradi binti ajipeleke.

Pia binti akitongozwa na lecturer anaogopa kukataa kuhisi itamuudhi lecturer mwenye marks na akikubali anapata favours kama kupendelewa marks na kupewa vihela maana jamaa wanalipwa si haba,

View attachment 2662602

View attachment 2662603

View attachment 2662604
Kwa visu hivi,Bora Bandari yetu tungewapa Sudani tu!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
kitu tunachowaza wabongo ndo hicho tu yani tunapenda sana kulambana kuliko chochote najivunia kuzaliwa Bongo maana sio watoto wazee wakubwa wadogo wanafunzi walimu maaskari kila mtu mamamake
 
Sudan Ina urafiki na Ethiopia & Eritrea huko pia Kuna baadhi ya tamadun huingiliana pia nikaribu sana kuliko Tanzania pia Sudan wanafanya sana Biashara na wanaingiliana sana na Uganda & Kenya kuliko TANZANIA.

Waarabu wengi wanafanya Biashara kubwa Dubai & Saud Arabia wengi wao asili yao/mitaji yao n Sudan ya kaskazini.

Pengine n project maalum yakuja kuua future ya wataalamu(wanafunzi) wetu hapo muhimbili kwani Nani anajali?
Ethiopia na Eritrea hakuna maajabu huko ubora wa elimu yao haingii hata nukta kwa ya hapa kwetu. Na kuna wengine wameenda Kenya sio wote wamekuja hapa mkuu.
 
Kumtafuna binti Mtanzania kwa sababu una nguvu ya u lecturer juu yake ni kitu kibaya sana.

Kumtafuna binti mkimbizi aliye mbali na kwao kwa sababu ya vita, kwa sababu una nguvu ya u lecturer juu yake ni kitu kibaya squared.

Ningefurahi sana kama rais Samia angekaa na wanafunzi wakimbizi wote, pamoja na wazawa wote, na wahadhiri wote, na kuangalia hii movie "Citation", na kuwa protect hawa wanafunzi wote, wakimbizi na wazawa.

 
Huko Sudan kuna machafuko makubwa sana yanayosababishwa na mapigano makali baina wao kwa wao, zaidi ya wanafunzi laki vyuoni wamelazimika kurudi majumbani ama kwenda nje ya nchi, kwa hapa Tanzania wanafunzi 150 wa kada za afya wamekuja kumaliza masomo yao. Hapo kabla ya vita kulikuwaga na scholarships za kila mwaka mamia ya watanzania wanaenda Sudan kusoma vyuoni, kwa sasa ni zamu yetu

Kwa hapa bongo lecturers ni kama miungu mtu kwenye maisha ya chuoni, kwa tuliosoma vyuoni tunajua ya kwamba kwao suala la kupata penzi huwa ni ishu simple, hasa ukizingatia hakuna sheria za kuwabana kuwa na mahusiano na wanafunzi.

Mwanafunzi akifeli test, kuchelewa kukusanya assignment, n.k huwa kuna kwenda ofisini kwa lecturer kujaribu kumbembeleza, hapo ndipo lecturers wenye uchu huwa wanachomokea jambo lao. lecturers wengine wanafanya maksudi tu ilimradi binti ajipeleke.

Pia binti akitongozwa na lecturer anaogopa kukataa kuhisi itamuudhi lecturer mwenye marks na akikubali anapata favours kama kupendelewa marks na kupewa vihela maana jamaa wanalipwa si haba,

View attachment 2662602

View attachment 2662603

View attachment 2662604
Unawwzia usalama wa mtu mzima na Akili yakeee
 
Samani wamefikia chuo gani huko darslam.......😋
Hapa nataka nikanunue mkanzu na kobazi, kisha nifuge midevu kichwani natupia balaagashia ya kizushi, kisha nakamata rozali ile ya kiislam mkononi na salamaleko nyingi....... nakila kitakacho pita mbeleyangu ni mwendo wa kutamka walahi walahi tu.....😊
 
Mwenye taarifa wakuu, tusinyimane koneksheni tukaweke hata mabanda ya baba ntulie..... hao watoto wazuri wametoka vitani, tutawanasa hata kwa wali maharage.....😋
 
Back
Top Bottom