Kwa jinsi baadhi ya Wahadhiri (Lecturers) wetu walivyo nchini wanafunzi waliotoka Sudan kuna usalama kweli?

Kigezo kikuu ni Uislam.

Hamna jingine.


Btw Tunawakaribisha sana sana !!.
Ukraine walikaribishwa na Waingereza tena waliwapa makazi katika nyumba zao binafsi na hawajuani

Huo ndio ustaarabu wa hali ya juu
Je wewe unaweza kumchukua mmoja wa wanafunzi ukampa chumba na kumsaidia kiubinadamu?

Ina maana nao walitumia kigezo cha Ukristo au ubinadamu?
 
Jembe JPM aliposema sie ni dona kantri tukabisha,cheki awamu hii inavyothibitiaha kwa vitendo. Sie ni matajiriiii misaada kama yote
 
Mungu awasaidie; wewe, marafiki zako waliooza akili km wewe na familia zenu. Kamwe sikufikiria kuwa hali ni mbaya kiasi hiki akilini mwenu. Siku zote niliamini huko kuna wasomi sana na hivyo ufikiriaji wenu ni very different kumbe ni mikubwa jinga kabisa kabisa. Dah!!!

Hawa ni wanafunzi tu na mmeambiwa kuna kadili fulani pale unaposaidia watu kama hawa, kuna baya gani? Hata hivyo, mbona kwa miaka mingi tu kuna watz wanaosoma sudan!!!!

Hv diplomasia hazikui?!!! Kama wana uhusiano na Kenya na Uganda zaidi yetu kwahiyo hali iendelee hivyo tu miaka yote, hata wakati wa dharura?!!! Vp Kama ni kielelezo cha ukuaji wa elimu yetu?!!!


Wanaojiamini, wenye akili; uingereza na marekani wanachukua wakimbizi na wanafunzi wa nchi mbalimbali karibu kila mwaka lakini sidhani kama wanawaza ujinga kama huu.

Hao ni wanafunzi na sio madaktari wa kujitolea......wamefuara ufundi kutoka kwetu na sio kutupatia.

Chooonde jamani, najua daima hamupendi tawala yoyote yenye kiongozi mwenye itikadi ya kiislamu (na mpo sahihi sababu hatujui mnayofundishwa huko) lakini naona safari hii kuna dalili ya kuvuka mipaka. Nchi ni yetu sote hii na kila mmoja ana haki nayo ya kuistawisha kama walivyo na haki wengine.....tupendane sana!!
 
Msiwale bure, alafu mwende kwao kutoa mahari, mkasinywe Kama zile video zilizotembea mitandaoni.
 
Chakula ya muzee
 
Watanzania swala la bandari limezimika ghafla [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mawazo yamehamia kwenye mapenzi tu huko Muhimbili
 
kitu tunachowaza wabongo ndo hicho tu yani tunapenda sana kulambana kuliko chochote najivunia kuzaliwa Bongo maana sio watoto wazee wakubwa wadogo wanafunzi walimu maaskari kila mtu mamamake
Kwa staili ndio tuseme tutapata viongozi wenye uadilifu? Never ever
 
Fafanua project ya kuua future ya wataalamu kivipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…