Kwa jinsi baadhi ya Wahadhiri (Lecturers) wetu walivyo nchini wanafunzi waliotoka Sudan kuna usalama kweli?

Comment kama hii hatukuiona tulipowapa hifadhi wakimbizi wa Ukraine wengi kule Zanzibar wao wakiwa wanawake. Acheni tabia za kuwa na mitazamo hasi kwa kila jambo kwani hizo ni tabia za kihasidi.
 
usizunguke mbuyu we nenda tu kajaribu bahati yako
 
Comment kama hii hatukuiona tulipowapa hifadhi wakimbizi wa Ukraine wengi kule Zanzibar wao wakiwa wanawake. Acheni tabia za kuwa na mitazamo hasi kwa kila jambo kwani hizo ni tabia za kihasidi.
Zanzibar hainuhusu, naongelea Tanzania bara Kuna inshu ya udin inakusumbua alafu unaishi dunia ya tatu mwisho hujui Mambo ya ulimwengu
 
Zanzibar hainuhusu, naongelea Tanzania bara Kuna inshu ya udin inakusumbua alafu unaishi dunia ya tatu mwisho hujui Mambo ya ulimwengu
Sawa Zanzibar haikuhusu. Vipi wale Wahutu na Watutsi tuliowakaribisha kule Ngara na Kigoma na wengine hadi tukawapa uraia mbona hukusema?
 
Sawa Zanzibar haikuhusu. Vipi wale Wahutu na Watutsi tuliowakaribisha kule Ngara na Kigoma na wengine hadi tukawapa uraia mbona hukusema?
Impact ya hao watu unaijua mpaka sasa wameshaifanya nn Tanzania au washazifanyia nn nchi zso dhid ya TANZANIA
 
Ivi inakuaje nchi ina mabinti wazuri hivi alafu inapigana vita tena mbaya zaidi vya wenyewe kwa wenyewe[emoji849][emoji849]
 
Kweli kabisa, natamani wenye madaraka walione hili huenda ikawa ni sababu ya hata madada zetu wa kitanzania kupata ulinzi kutoka kwa hawa malecturer waovu waliopo vyuoni.
 
Kweli kabisa, natamani wenye madaraka walione hili huenda ikawa ni sababu ya hata madada zetu wa kitanzania kupata ulinzi kutoka kwa hawa malecturer waovu waliopo vyuoni.
Nataman lectures wote wasome comment yako
 
Hilo li janaba sjui,lenyewe litakuwa lishaandaa ka kwake,kakujichakatia.
 
Mashallah!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…