Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Tanzania uko njiani kwenye hio hali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watakaokimbilia EA kwa kisingizio cha ukimbizi na tutawapokea! Shida itaanzia hapoTuwasaidie vipi labda, maana kama unasema walidanganywa wapigane na walivyo waarabu wajinga wakapigana basi waachiwe wapigane, atakayeshinda ndiye wetu.
Kubwa la waarabu Saudi Arabia imejaribu kuingilia kati ila hawaisklizi, sasa Mswahili wa kwa Mtongole nani atakuskliza.
Hawa wamechonganishwa na kinara wa uchonganishi duniani anajulikana.. BTW vita ni biadhara kubwa! Kusipokuwa na wanaogombana kuna chumi za nchi huyumbaWanapiganishwa? Be more specific.
Yani wapiganishwe tu wamekuwa majogoo au mbwa? Hao majenerali wenyewe hawana maslahi yao wao binafsi?
Binadamu , especially wa ukanda wa Africa, huwa hatuna tabia ya kuwa responsible for our own misdeeds.
We only want to point fingers at others for our own shortcomings.
Unaishi Dunia ipi!!!???Hawa wanapiganishwa lakini kwa malengo ya bwana wakubwa
Changia kwa nidhamu basi kuna mengi huyajui.. Omba uelimishweUnaishi Dunia ipi!!!???
Watu wameshindwa kuafikiana kwa tamaa zao za madaraka (kila mmoja anataka kuwa Rais) alafu unakuja na ngonjera za kugombanishwa!!!!???
Sorry kwa maneno makali ila hapo kwenye kuelimishwa nna uhakika wewe ndo unahitaji elimu, karibu.Changia kwa nidhamu basi kuna mengi huyajui.. Omba uelimishwe