Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Jamaa wana spidi na wanafika hadi langoni na pasi ni za uhakika sana. Inatakiwa benchi la ufundi lije na muarobaini wa kuwazuia jamaa wasifike langoni.
Maana mechi ya Dar ilikuwa ni almanusura jamaa wapate magoli maana wamefika sana langoni na Diarra kufanya saves kadhaa.
Jamaa watakuja na mikakati ya kutafuta magoli ya mapema hivyo Yanga inapaswa kuwa makini na watulivu isijekutokea yale yaliyotokea vs Al Hilal vs Simba. Kutoka mchezoni kwa kuruhusu goli la mapema
Maana mechi ya Dar ilikuwa ni almanusura jamaa wapate magoli maana wamefika sana langoni na Diarra kufanya saves kadhaa.
Jamaa watakuja na mikakati ya kutafuta magoli ya mapema hivyo Yanga inapaswa kuwa makini na watulivu isijekutokea yale yaliyotokea vs Al Hilal vs Simba. Kutoka mchezoni kwa kuruhusu goli la mapema