Kwa jinsi mwendokasi unavyojengwa na flyover tutashuhudia mengi

Kwa jinsi mwendokasi unavyojengwa na flyover tutashuhudia mengi

oneni wenzenu wanavyojenga madaraja ya kileo huko Afrika Kusini wala si mabali, si wangelikwenda kuomba usaidizi wa kandarasi na michoro.
Tanzania watu wanavyopenda kuifata barabara just imagine ni watu wangapi serikali ingelipa kupisha huo mtawanyiko wa barabara? Half of the budget ingeishia hapo.
 
Ukiangalia tu kwa karibu jinsi ambavyo mwendokasi unajengwa na madaraja ya flover
yajayo ikiwamo la kurasini na Vetah pale.

Utagundua aidha mkandarasi amepewa standards za chini tofauti na aliyejenga phase ya kwanza ya Kimara Mwisho hadi posta pamoja na Morroco. Barabara zimeunganishwa na kutenganishwa na mistari badala ya blocks kwa maana kila gari ipite upande wake.

Kutenganisha kuna maana kubwa sana kwa sababu ile huepusha head to head collision, na hatujawahi kusikia ajali ya mwendokasi zimegongana uso kwa uso licha ya kuwa madereva wake wako rough sana ila huishia kugonga boda boda tu ambao wengi hujifyatua akili na kupita bila tahadhari.

Ukija kwenye flyover njia za daraja lenyewe ni finyu gari mbili kuongozana na kuweza overtake juu ya daraja sidhani kama itakuwa raisi ila kijazi na tazara hata scania mbili zinaweza kuongozana zikapanda juu na kupishana. Lami iliowekwa sio laini yani kokoto zimesimama wima. Inshort kuna mambo kadhaa hayako sawa.

Tutegemee ajali za uso kwa uso za magari katika njia hio ya mwendokasi,, tutarajie kusikia kuna mashimo kwenye lami juu ya daraja la flyover na mtu kapigwa pasi. Alamsiki. Tusije tukamtafuta mchawi tu maana anajulikana.
Hii barabara kutenganishwa na mstari naona ni sawa tu Mkuu kwa sababu Kuna kipande kikubwa tu hapo katikati kimetenganishwa na mstari na si blocks..nadhani ni baruti Hadi Shekilango kama sijakosea.

Ila sema tu barabara inaonekana ipo chini ya kiwango,Labda ngoja tusubiri iishe.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Ukiangalia tu kwa karibu jinsi ambavyo mwendokasi unajengwa na madaraja ya flover
yajayo ikiwamo la kurasini na Vetah pale.

Utagundua aidha mkandarasi amepewa standards za chini tofauti na aliyejenga phase ya kwanza ya Kimara Mwisho hadi posta pamoja na Morroco. Barabara zimeunganishwa na kutenganishwa na mistari badala ya blocks kwa maana kila gari ipite upande wake.

Kutenganisha kuna maana kubwa sana kwa sababu ile huepusha head to head collision, na hatujawahi kusikia ajali ya mwendokasi zimegongana uso kwa uso licha ya kuwa madereva wake wako rough sana ila huishia kugonga boda boda tu ambao wengi hujifyatua akili na kupita bila tahadhari.

Ukija kwenye flyover njia za daraja lenyewe ni finyu gari mbili kuongozana na kuweza overtake juu ya daraja sidhani kama itakuwa raisi ila kijazi na tazara hata scania mbili zinaweza kuongozana zikapanda juu na kupishana. Lami iliowekwa sio laini yani kokoto zimesimama wima. Inshort kuna mambo kadhaa hayako sawa.

Tutegemee ajali za uso kwa uso za magari katika njia hio ya mwendokasi,, tutarajie kusikia kuna mashimo kwenye lami juu ya daraja la flyover na mtu kapigwa pasi. Alamsiki. Tusije tukamtafuta mchawi tu maana anajulikana.
Sema taratibu wakisikia wenyenchi wataweka tozo ya marekebisho.
 
Hii barabara kutenganishwa na mstari naona ni sawa tu Mkuu kwa sababu Kuna kipande kikubwa tu hapo katikati kimetenganishwa na mstari na si blocks..nadhani ni baruti Hadi Shekilango kama sijakosea.

Ila sema tu barabara inaonekana ipo chini ya kiwango,Labda ngoja tusubiri iishe.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Sio kweli
 
Ukiangalia tu kwa karibu jinsi ambavyo mwendokasi unajengwa na madaraja ya flover
yajayo ikiwamo la kurasini na Vetah pale.

Utagundua aidha mkandarasi amepewa standards za chini tofauti na aliyejenga phase ya kwanza ya Kimara Mwisho hadi posta pamoja na Morroco. Barabara zimeunganishwa na kutenganishwa na mistari badala ya blocks kwa maana kila gari ipite upande wake.

Kutenganisha kuna maana kubwa sana kwa sababu ile huepusha head to head collision, na hatujawahi kusikia ajali ya mwendokasi zimegongana uso kwa uso licha ya kuwa madereva wake wako rough sana ila huishia kugonga boda boda tu ambao wengi hujifyatua akili na kupita bila tahadhari.

Ukija kwenye flyover njia za daraja lenyewe ni finyu gari mbili kuongozana na kuweza overtake juu ya daraja sidhani kama itakuwa raisi ila kijazi na tazara hata scania mbili zinaweza kuongozana zikapanda juu na kupishana. Lami iliowekwa sio laini yani kokoto zimesimama wima. Inshort kuna mambo kadhaa hayako sawa.

Tutegemee ajali za uso kwa uso za magari katika njia hio ya mwendokasi,, tutarajie kusikia kuna mashimo kwenye lami juu ya daraja la flyover na mtu kapigwa pasi. Alamsiki. Tusije tukamtafuta mchawi tu maana anajulikana.
Ukiangalia hata kwa pembeni ni kama vile kuna nyufa, sasa jiulize nyufa zinakaaje kwenye zege iliyoshiba nondo nzito na simenti grade one (uimara wa uhakika) [emoji848][emoji2960]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Ukiangalia hata kwa pembeni ni kama vile kuna nyufa, sasa jiulize nyufa zinakaaje kwenye zege iliyoshiba nondo nzito na simenti grade one (uimara wa uhakika) [emoji848][emoji2960]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Eti zege imekwanyuka 😂😂😂 kwenye ncha zake 😂😂😂😂 hii nchi yetu labda Gharika lirudiwe. Tuanze upya
 
Alipo Mwigulu tegemea Wizi Mkubwa mnoo. Sema Mama ndio hivyo, uwezo,!!
 
Back
Top Bottom