G-Funk
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 2,398
- 5,554
- Thread starter
- #61
Kaka kuna kitu kibaya unakiona kwa kukitazama
tu wala hahuitaji utepe na mkasi kuona kwamba zile njia ni nyembamba mno. Huwezi kuzilinganisha na Kijazi wala Mfugale fly bridges
tu wala hahuitaji utepe na mkasi kuona kwamba zile njia ni nyembamba mno. Huwezi kuzilinganisha na Kijazi wala Mfugale fly bridges
Malalamiko yawe ya msingi, barabara haijaisha mainjinia uchwara washaanza kuponda! Hizo flyover zote hazijaisha wanafungua kupunguza foleni tu, na bado mnalalamika.