Kwa jinsi mwendokasi unavyojengwa na flyover tutashuhudia mengi

Kwa jinsi mwendokasi unavyojengwa na flyover tutashuhudia mengi

Fly over ya VETA hadi moyo unaniuma, aisee standard ziko chinii sanaaaaa, hivi kwanini wasijenge kama TAZARA au Ubungo pale, yaani Fly over ya Chang'ombe mataa pale tumeumizwa, alafu kwa juu limepinda tena, alafu very narrow, very rough, ina mawimbi balaa, i believe Mh. Rais atampiga maswali mazito Waziri Mbarawa atoe sbb za kutosha, la sivyo mkandarasi arudie kunyoosha na kuweka standard upya.
 
Tanzania bana, wajuaji wengi kweli, haya madaraja ya kufyatua fyatua, Ukiacha lile la mfugale .eti fly over wanajazia udongo mwekundu na kifusi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bada ya mwaka mashimo kibao juu ya daraja.
Haya bana Langu jicho.
Aisee pale wanapojazia kifusi niliona. Nikasema me sio Engineer bwana. Labda.
 
Daraja la chang’ombe pale tumepigwa hakuna kitu lipo chini ya Kiwango mimi sio injinia ila pale tumepigwa kwanza hata ukiliangalia tu limepindapinda hasa Kingo za pembeni
 
Fly over ya VETA hadi moyo unaniuma, aisee standard ziko chinii sanaaaaa, hivi kwanini wasijenge kama TAZARA au Ubungo pale, yaani Fly over ya Chang'ombe mataa pale tumeumizwa, alafu kwa juu limepinda tena, alafu very narrow, very rough, ina mawimbi balaa, i believe Mh. Rais atampiga maswali mazito Waziri Mbarawa atoe sbb za kutosha, la sivyo mkandarasi arudie kunyoosha na kuweka standard upya.
Mbarawa alifanya haraka kufungua hii flyover. Ukweli haipo sawa
 
Ukiangalia tu kwa karibu jinsi ambavyo mwendokasi unajengwa na madaraja ya flover
yajayo ikiwamo la kurasini na Vetah pale.

Utagundua aidha mkandarasi amepewa standards za chini tofauti na aliyejenga phase ya kwanza ya Kimara Mwisho hadi posta pamoja na Morroco. Barabara zimeunganishwa na kutenganishwa na mistari badala ya blocks kwa maana kila gari ipite upande wake.

Kutenganisha kuna maana kubwa sana kwa sababu ile huepusha head to head collision, na hatujawahi kusikia ajali ya mwendokasi zimegongana uso kwa uso licha ya kuwa madereva wake wako rough sana ila huishia kugonga boda boda tu ambao wengi hujifyatua akili na kupita bila tahadhari.

Ukija kwenye flyover njia za daraja lenyewe ni finyu gari mbili kuongozana na kuweza overtake juu ya daraja sidhani kama itakuwa raisi ila kijazi na tazara hata scania mbili zinaweza kuongozana zikapanda juu na kupishana. Lami iliowekwa sio laini yani kokoto zimesimama wima. Inshort kuna mambo kadhaa hayako sawa.

Tutegemee ajali za uso kwa uso za magari katika njia hio ya mwendokasi,, tutarajie kusikia kuna mashimo kwenye lami juu ya daraja la flyover na mtu kapigwa pasi. Alamsiki. Tusije tukamtafuta mchawi tu maana anajulikana.

Mkandarasi wa kimara Posta alikuwa Strabag. Barabara za strabag nchi hii zinaviwango yawezekana budget yao iko juu.
 
Fly over ya VETA hadi moyo unaniuma, aisee standard ziko chinii sanaaaaa, hivi kwanini wasijenge kama TAZARA au Ubungo pale, yaani Fly over ya Chang'ombe mataa pale tumeumizwa, alafu kwa juu limepinda tena, alafu very narrow, very rough, ina mawimbi balaa, i believe Mh. Rais atampiga maswali mazito Waziri Mbarawa atoe sbb za kutosha, la sivyo mkandarasi arudie kunyoosha na kuweka standard upya.
Subirini iishe.
 
Fly over ya VETA hadi moyo unaniuma, aisee standard ziko chinii sanaaaaa, hivi kwanini wasijenge kama TAZARA au Ubungo pale, yaani Fly over ya Chang'ombe mataa pale tumeumizwa, alafu kwa juu limepinda tena, alafu very narrow, very rough, ina mawimbi balaa, i believe Mh. Rais atampiga maswali mazito Waziri Mbarawa atoe sbb za kutosha, la sivyo mkandarasi arudie kunyoosha na kuweka standard upya.
Mi natabiri tu lazma kutatokea mashimo kwenye ile daraja ndani ya kipindi kifupi sana.
 
Hawa watu hawana shukrani na ni walalamishi sana.
Wacha tulalamike tu maana kuandamana live haiwezekani. Tutapewa kichapo cha mbwa
kachoka na wahuni wasiojali makapuku.
 
Wacha tulalamike tu maana kuandamana live haiwezekani. Tutapewa kichapo cha mbwa
kachoka na wahuni wasiojali makapuku.
Malalamiko yawe ya msingi, barabara haijaisha mainjinia uchwara washaanza kuponda! Hizo flyover zote hazijaisha wanafungua kupunguza foleni tu, na bado mnalalamika.
 
Back
Top Bottom