Kwa jinsi Ole Sabaya alivyovimba Macho, kuna Alama Usoni mwake na anajitahidi kuficha Kuchechemea Kwake niwapongeze sana Askari Magereza

Magereza kuna mahala walitembeza kichapo kiukweli ffu wakasome zaidi jamaa wanapiga sijawahi kuona halafu mtaani tunawachukulia poa, lakini special force yao ni hatari hawa jamaa
kuna jamaa angu alikuwa anakula mke wa magereza. nikamuonya wale watu ni hatari kuliko JW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…