Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Kuna mtu nilimsikia akisema awamu zote zilizopita hazikufanya kitu. Na watetezi wake wanajinadi mambo anayoyafanya sasa hayajawahi fanywa hapo kabla.
Vituko show.
Ni mengi sana lakini kama kweli wewe uoni ya nini nisumbuke kukutajia. Kumbuka huyu ana miaka mitano amejenga Barabara za viwango kuliko kipindi kingine chote, amehamisha serikali, amejenga Ubungo interchange,amejenge Tazara flay-over, daraja la Salender refu kuliko yote africa mashariki na kati kwa baharini, daraja kwa busisi refu kuliko yote kwenye maziwa africa, Bwawa la nyerere ameanzisha Tarura nk nk.
katika achievement, flyover nayo ni achievement ya maana?
Acheni kuokoteza okoteza mafanikio
Ongeleeni vitu vikubwa vikubwa
Mkuu hiyo fly over ya ubungo ,Mfugale bridge na SGR pamoja na barabara ya njia sita Ubungo to Chalinze yote ni mipango ya Kikwete.Magufuli alichofanya kwenye hayo Mambo either ni kubadirisha design au kupeperusha kabisa hiyo Mambo.Hilo la bwawa ameanzisha tu Ila hana uwezo wa kulikamilisha hata apewe 30 years.Kwa ufupi mazuri ya Magufuli ni machache au hakuna kabisa ukilinganisha na mabaya yake.Kwenye barabara huwa mnaishia kusema nyingi tu Ila huwezi kutaja hata barabara mojaNi mengi sana lakini kama kweli wewe uoni ya nini nisumbuke kukutajia. Kumbuka huyu ana miaka mitano amejenga Barabara za viwango kuliko kipindi kingine chote, amehamisha serikali, amejenga Ubungo interchange,amejenge Tazara flay-over, daraja la Salender refu kuliko yote africa mashariki na kati kwa baharini, daraja kwa busisi refu kuliko yote kwenye maziwa africa, Bwawa la nyerere ameanzisha Tarura nk nk.
Ndio akili za MATAGA kila kitu wao wanasifia wakati awamu ya 5 hakuna kilichofanyika kuweka legacy.SGR - bado kazi mbichi
Stiegler's Gorge - asubuhi
Viwanda - vipya viko wapi?
Uchumi wa kati - JK & Mkapa ndiyo wamechangia pakubwa
Nidhamu kazini - hii ni sawa ni kusifia ATM card yako mwenyewe!
Mbona unamsema sana JK?kuna kitu gani alikufanyia?kila thread unamsemaKikwete miaka kumi yake ndio uchumi wote ulipoharibika hata wakati wa mkpa foreign reserve ilikua kubwa mkapa alifuta madeni karibia yote, JK alikopa hata cha maana hakufanya akamaliza pesa zote, ufisadi dili zikawa nyingi, Kikwete ndio iliua uchumi wa nchi.
Mkuu hiyo fly over ya ubungo ,Mfugale bridge na SGR pamoja na barabara ya njia sita Ubungo to Chalinze yote ni mipango ya Kikwete.Magufuli alichofanya kwenye hayo Mambo either ni kubadirisha design au kupeperusha kabisa hiyo Mambo.Hilo la bwawa ameanzisha tu Ila hana uwezo wa kulikamilisha hata apewe 30 years.Kwa ufupi mazuri ya Magufuli ni machache au hakuna kabisa ukilinganisha na mabaya yake.Kwenye barabara huwa mnaishia nyingi tu Ila huwezi kutaja hata barabara moja
Kwa Mara ya Kwanza tatu magu awe prezida Leo ndo nimetumia muda wangu kumsikiliza,nilimuonea aibu wakati akitaja Mambo makubwa yaliyoasisiwa na mkapa? Ila kachemka alivyotaja eti mkapa ndo kamuibua JK yaani ameshindwa kujua kabisa kuwa wakati mkapa ni mbunge kikwete alikuwa ni presidential appointee na hakuwa mwalimu Kama yeyeMungu ana njia zake za kufunua ukweli wake. Leo ukweli umejulikana kutoka kinywani mwa mpenda sifa mwenyewe. Hivi sijui Mkapa alivyokuwa hai alikuwa anajisikiaje aliposikia hizo propaganda na kujikweza?
Acha uhuni, daraja la busisi halijaanza kujengwa.Ni mengi sana lakini kama kweli wewe uoni ya nini nisumbuke kukutajia. Kumbuka huyu ana miaka mitano amejenga Barabara za viwango kuliko kipindi kingine chote, amehamisha serikali, amejenga Ubungo interchange,amejenge Tazara flay-over, daraja la Salender refu kuliko yote africa mashariki na kati kwa baharini, daraja kwa busisi refu kuliko yote kwenye maziwa africa, Bwawa la nyerere ameanzisha Tarura nk nk.
Kwa Mara ya Kwanza tatu magu awe prezida Leo ndo nimetumia muda wangu kumsikiliza,nilimuonea aibu wakati akitaja Mambo makubwa yaliyoasisiwa na mkapa? Ila kachemka alivyotaja eti mkapa ndo kamuibua JK yaani ameshindwa kujua kabisa kuwa wakati mkapa ni mbunge kikwete alikuwa ni presidential appointee na hakuwa mwalimu Kama yeye
[emoji38][emoji38] Nyie watu mnachuki za ajabu sana
Acha uhuni, daraja la busisi halijaanza kujengwa.
katika achievement, flyover nayo ni achievement ya maana?
Acheni kuokoteza okoteza mafanikio
Ongeleeni vitu vikubwa vikubwa
Aisee!!Naamin hapa tunakumbushana mema na makubwa ya Mkapa kiuchumi naamini kuanzia Nyerere Mwinyi hata Kikwete hawajaacha alama KUBWA Kama Mkapa aliyoacha.
Kama ni kweli anastahili pongezi. Ila mimi nilikua busisi mwezi wa 6 mwaka huu, kilichokua kimefanyika ni feasibility studies tu ila hakukua na dalili yoyote ya ujenzi kuanza.Mkuu limeanza nimetoka last week sina sababu ya kuongea uongo
Halikua kiongozi wangu, na ni haki yangu, vp una tatizo?Mbona unamsema sana JK?kuna kitu gani alikufanyia?kila thread unamsema
Na wala hakukuwa na makeleleMzee amefanya mambo mengi mno