Hayo mambo ya chuki kwa mtu Mimi hayanihusu Ila magu is my prezida na anatumia Kodi yengu.i pay 2.7 m from ma salary every month achilia mbali Kodi ninayolipa kwenye manunuzi ya bidhaa mbalimbali.So kumsema si chuki Kama unavyodhani wewe msukuma unayeongozwa na tumboNahisi wewe ndo Kigogo haki ya Mungu unamchukia mtu kupita kiasi
Atayafikiaje wakati falsafa yake ni "one man show" na sio "systems".Tumuongezee miaka 10 ayafikie
Mashirika ya serikali yalifia kwa Kikwete! Una umri gani wewe.Namaanisha kuanzisha Jambo lake binafsi la kukuza uchumi nasio muendelezo angalia mashirika mengi ya serikali yalifia kwa Kikwete alafu njoo mchukue Mkapa alafu muweke kwenye mizani hyo hyo ilimpimia Kikwete alafu lete majibu
Yaani unashindwa kufanya tathmini ya kiongozi kwa miaka 5? Kasome statistics ujue namna unavyoweza kufanya predictions based on available information.Wewe unajulikana una hasira na chuki kali sana kwa Magu, sasa hapa unamlinganishaje Magufuli aliekaa miaka 5 na hao waliokaa miaka 10?
Kwanini usisubiri Magu nae amalize 10 kisha ndio ufanye ukinganisho?
Wakati mwingine uanweza kuwa uanamchukia mtu mpaka ukaonekana mjinga sana.
Hayo mambo ya chuki kwa mtu Mimi hayanihusu Ila magu is my prezida na anatumia Kodi yengu.i pay 2.7 m from salary every month.So kumsema si chuki Kama unavyodhani
Kama ni kweli anastahili pongezi. Ila mimi nilikua busisi mwezi wa 6 mwaka huu, kilichokua kimefanyika ni feasibility studies tu ila hakukua na dalili yoyote ya ujenzi kuanza.
Nampongeza kwa hilo mkuu.Kila kitu kimeanza hadi baadhi ya material mitambo na kambi imeishakamilika na imeanza kazi usiku na mchana
Wewe ndio Hovyo kabisaaldeo,
Hivi kama leo hii ikitokea huyu wa sasa atwaliwe (Mungu apishie mbali though), jee ni kitu gani hasa cha maana (landmark) atakumbukwa kwacho?
Kumbuka hivi hapa chini ni vya JK:
- Kigamboni (Nyerere) bridge
- JNIA terminal 3
- flyovers (TAZARA, Ubungo & Kurasini)
- DART
- TZ kuingia uchumi wa kati (JK kachangia $480B, Mkapa $330B, JPM $100B)
- tarmac road network mikoani & wilayani
- UDOM
- Medical infrastructure (Mloganzila, JKCI)
Wewe utakuwa mswahili tu.sina hakika Kama hata Kodi unalipa weweChuki zako kwake zipo wazi wazi. Ubaya ni kwamba tupo nae zaidi ya miaka 10 mbele mtakufa kwa chuki.
Nimesikiliza mambo ambayo Rais Magufuli anayasema kuhusu Mkapa binafsi naona Mkapa ni shujaa mkubwa mno wa Taifa hili maana alianzisha mambo muhimu mno mpaka sasa na sisi ambao wengi hatujui tulijua hayo yalianzishwa na Mwl. Nyerere au Mzee Mwinyi kumbe ni Mkapa, pia naona yale maubabe aliyokuwa anayafanya kumbe ilkua ni kwa nia njema kabisa.
Angalia jinsi alivyokuwa ana coordinate uchumi pia naskia alivyoingia madarakani hakuna CHAKULA kiliongezeka bei, binafsi sijui aliemfata madarakani Mzee Kikwete pamoja na kusafiri sana sijui makubwa ya maana aliyoyafanya hapa nchini ni nini hapo ndo napopata akili ya kuwa Rais Magufuli kumbe ameanzia pale alipoishia Mkapa.
Sasa naamini kwa maneno aliyoongea ya sifa tele kwa Mkapa akipita uchaguzi huu tutegemee wananchi kutokuwa na PESA mifukoni hasa wale wasiokuwa na ajira rasmi au shughuli rasmi ya kuingiza kipato na badala yake lazima apige Miradi mikubwa zaidi itakayoacha alama KUBWA kuwa hii iliasisiwa au kufanywa na Magufuli.
Wewe utakuwa mswahili tu.sina hakika Kama hata Kodi unalipa wewe
Nampongeza kwa hilo mkuu.
Angekuwa fair kama angetaja hata mashirika mawili yaliyokufa kipindi cha KikweteMashirika ya serikali yalifia kwa Kikwete! Una umri gani wewe.
upo sahihi kabisa ndugu.Wewe ndio Hovyo kabisa