bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Mbona povu kwa wingi? Au umenyimwa ulaji?Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!
Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.
Hiyo ni miradi ya wananchi na mengine tayari ilikuwa kwenye hatua za mwisho za utayarishaji. Ni kawaida akija kiongozi mpya ni kuendeleza yale yaliyokuwepo na kuweka mengine ambayo ni kipaumbele chake. Sasa hapo hakuna jipya kaka.Utaweza kuifuta na miradi yao?
Utamchukia sana JPM lakini madaraja na ndege zake utatumia tu.Unalalamika watu kuondolewa kwa chuki huku na wewe umejaa chuki hadi zinakumwagika.
Kwa hiyo watu wa JPM wakipendelewa hakuna tatizo ila watu wa mama wakipendelewa ndo tatizo?!!!! Kwa hiyo ccm ikipendelewa hakuna tatizo ila wapinzani wakipendelewa ndo tatizo?!!!! Yan kwako wewe kun.ya an.ye kuku akin.ya bata kaharisha!!!!
Acha ubinafsi halafu laumu mfumo siyo mtu.
Sasa wewe uliona wap dikteta anapendwa?!!!Utamchukia sana JPM lakini madaraja na ndege zake utatumia tu.
Ki IST chako kitapita mno Tanzanite bridge na Kijazi flyover.
Mbowe na udikteta wake na uuwaji wake wa chacha wangwe lakini bado anapendwa ufipa.Sasa wewe uliona wap dikteta anapendwa?!!!
Watu watekwe, wauliwe, wapigwe risasi halafu tumpende wa kaz gan?!! Assuming kwamba he did something bado Hata kama angeigeza dunia juu chini hakuna mbadala wa thamani ya maisha ya mtu.
Mbona mama anatawala na hakuna watu wanaokotwa kwenye viroba, hakuna wanaotekwa, hakuna wanaoteswa kwan mama kapungukiwa nini?
Lidikteta lilistahili kuondolewa.
Waanzishe miradi mingine Kama wana jeuri.Hiyo miradi sio ya kwao ndio Maana hawapo na miradi inaendelea Kama kawaidaUtaweza kuifuta na miradi yao?
Haisaidii hiyo.Mbowe na udikteta wake na uuwaji wake wa chacha wangwe lakini bado anapendwa ufipa.
MD anayekumbukwa sana TANESCO ni Dr Idrissa Rashidi huyo ndio alifanya mageuzi makubwa sana.MD wa TANESCO kutimuliwa kajitakia mwenyewe.
Yaani wewe ndio mkurugenzi wa kwanza kulifanya shirika liweze kulipa kodi zake, kulipa madeni yake, kutopewa ruzuku na kutengeneza faida.
Halafu hizo taarifa unazificha nchi ya majungu na ufisadi. Badala ya kuhakikisha hizo taarifa zinafikia umma mapema kupitia media campaign.
Watu wenye uwezo wa kuji promote Tanzania alikuwa Magufuli, Jaffo na Kadogosa.
Watu wanaotetewa mitandaoni wakianzishiwa majungu ni kwa sababu na wao wanatumia muda mwingi kuelezea wanafanya nini na kutaja mafanikio yao.
Baada ya kusoma report ya mwisho ya TANESCO kuondolewa kwa boss wao ni unfair dismissal; hila na yeye kama alianza uzembe baada ya hayati.
Mwisho wa siku hongera sana Dr Tito that was a fit aijawahi tokea TANESCO kufanya vizuri vile.
Mbeleni tutamkumbusha Makamba ameikuta TANESCO ikijitegemea financially and profitable.
Kipimo cha utendaji wa kazi ni matokeo.MD anayekumbukwa sana TANESCO ni Dr Idrissa Rashidi huyo ndio alifanya mageuzi makubwa sana.
Yaani ni kama Marekani maraisi hata watawale vipi anayekumbukwa sana ni Abraham Lincoln ambaye alikuwa Rais wa 16 kama sikosei.
Makamba anaiuza Tanesco wazi wazi kabisa mbele yetu.Kipimo cha utendaji wa kazi ni matokeo.
Not many you understand the significance of Dr Tito achievement; TANESCO imelipa kodi, service debt obligation kwa mapato yao na kutengeneza ‘net profit’ ya tsh 45 billion.
Icho kitu akijawahi tokea tangu Nyerere yupo madarakani.
Huyo Idrissa Rashidi ndiye aliyeleta symbion, meremeta na downs?MD anayekumbukwa sana TANESCO ni Dr Idrissa Rashidi huyo ndio alifanya mageuzi makubwa sana.
Yaani ni kama Marekani maraisi hata watawale vipi anayekumbukwa sana ni Abraham Lincoln ambaye alikuwa Rais wa 16 kama sikosei.
Hajui kulikuwa na mtu anajiita Nigas...(something), alikuwa anatupia nyuzi hata 10 kwa siku kumsifia Marehemu Meko, hadi amechoka kwa sasa sijui kapotelea wapi, Uzuri wa JF watu kama hawa ni wazee wa mbio fupi, huyu baada ya miezi 2 tu pumzi inakata!! JF ukiwa real huwezi kuboeka, ila hizi id za kulipwa vijisenti huwa wanajichokea na kukata tamaa mapemaNaona unaitendea haki ajira yako. Jana tu umejiunga JF lakini naona spidi yako ya kuanzisha nyuzi huku ni ya 5G. Tatizo lako ni kuwa bado unahisi kuwa jiwe litarudi tena duniani.
Kuindoa CCM madarakani ni sawa na zoezi la kukausha bahari kwa kuyachota maji kwa ndoo... J. Malechela.CCM haitatoka madarakani kwa makaratasi
Hata gaidi kwishney
Kwani kuna nini jamani? Wote tunajenga nyumba moja kwanini tugombee nguzo?!