Kwa kampeni yenu hii, mtawatoa wote lakini hamtaweza kuyafuta waliyoyafanya

😁😁😁😁😁😁😁
 
Mkuu usijali kuhusu 2025. Kampeni itakuwa na ajenda moja tu; Mimi ni mama yenu!
 
Kwenye nchi venye watu zaidi ya 60m kalemani ndio nani?Alikuwepo nyerere na sasa hayupo na Tanzania inaendele kusonga huyu Kalemani ndio nani?
Tuachie vitisho kila zama na zama zake.
 
CCM Vituko sana,pamoja na kwamba kwa sasa mpo pekeyenu huko serikalin lakin bado hamridhiki mnaendelea kulalamikiana??

Sasa sisi tuwasaidie nini
 

huyu kalemani si ndiye alietoa cctv siku ya kupigwa lissu risasi?
 
Agent wa Shetani Dikteta Mwendakuzimu Mwenyewe kishasahulika Miongoni mwa watu, Sembuse Vibaraka wake
 
Kila wanachojaribu kukitoa inashindikana
 

Mpaka hapo kwa mtaji huu unasemaje?

Baraza jipya: Watu wale wale, wao Hawajiajiri?
 
Imeisha hiyo
 
Inauma sana

1. Kwanini iishie kuuma tu?

2. Ni kweli kuwa hatuna la kufanya?

3. Ni kweli kuwa hatuwezi kama wana wa nchi hii kuwa na maridhiano baina yetu wenyewe dhidi ya wanaotaka kutufanya sisi watwana na wao watawala?

4. Ni kweli tumefilisika kimawazo namna hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…