Kwa kasi hii Makonda aongezewe Bashiru, Kabudi, Lukuvi na Polepole

Kasi ipi hiyo ya kutafuta cheap politics kwa kupigiapigia simu mawaziri hadharani bila adabu, u much know to unamsumbua huyo hana la maana ana asili ya kibri cha madaraka na kujiona yeue ndio yeye ule ule ujinga waagufuli yeye anaurudia
Sasa jomba kama wewe hupendi ni wewe..lakini nakwambia hivyo ndivyo wananchi wanataka..
 
Ha ha ha amerejesha Imani kwa wananchi? kupanda farasi na kulia kaburini ndio Imani irejee? Dah!
Kumbe na wewe wafuatilia. Hahahah.

Bado issue ya ngorongoro, akimaliza hiyo tu baasi.
 
Mkuu unataka watu walazwe kwa pressure?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Naona mnataka mafisadi yalazwe hospitali kwa pressure![emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kasi ipi hiyo ya kutafuta cheap politics kwa kupigiapigia simu mawaziri hadharani bila adabu, u much know to unamsumbua huyo hana la maana ana asili ya kibri cha madaraka na kujiona yeue ndio yeye ule ule ujinga waagufuli yeye anaurudia
Nyie wangese bila mjeredi hamuendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…