Kwa kasi hii ya kuzaliana kwa watu, Umasikini utazidi kukita mizizi Kanda ya Ziwa

Kwa kasi hii ya kuzaliana kwa watu, Umasikini utazidi kukita mizizi Kanda ya Ziwa

Kwanza nakupongeza kwa kuchambua.

Ongezeko kubwa la watu linaathiri utoaji huduma, kipato cha mtu mmoja mmoja hasa kutokana na tija ndogo hivyo ongezeko la umaskini.
Ingawa umezungumzia zaidi kanda ya ziwa lakini pia mikoa ya Katavi, Songwe, na Pemba iko levo moja yote ikiwa na ongezeko lisilopungua asilimia 4.

Tanzania inapaswa kufanya kampenu kubwa kushusha birth rate mpaka asilimia 2.1 kwa nchi nzima. Watu wanaotetea uzazi mkubwa ndio hao hao wanaolalamika hakuna maji, wanafunzi wanakaa chini, huduma za afya ni mbovu nk. Kama ongezeko litaendelea kubakia au kungezeka zaidi basi serikali badala ya kujikita kuboresha huduma za afya, elimu, maji nk itakuwa kila mwaka inapanua miundombinu.

Kuwa na watu wengi wasio na kipato haina manufaa kiuchumi ndio maana nchi ndogo ndogo kama Denmark yenye watu kama milioni tano ni soko kubwa kuliko Afrika mashariki yote yenye watu takribani milioni 160. Pia kuwa na watu wengi wasio na kipato huzalisha matatizo ya kijamii kama uhalifu .
Mkuu bora hata huko Katavi kuna ardhi kubwa kwa hiyo population density ni ndogo..Na kilichosababisha hiyo birthrate kubwa kwa Katavi ni sababu ya wasukuma kuhamia.

Afadhari hata Mikoa ya Songwe ina uhakika wa mvua na ardhi sio sawa na huko Kanda ya Ziwa
 
Mna Nini na Kanda ya ziwa mkitaka kuleta vurugu kongamano mnafanyie Kanda ya ziwa badala ya Kilimanjaro.
Ikijengwa miradi Kanda ya ziwa mwasema upendeleo.
Wakizaa Sana ni shida,kwani wamekuomba uwasaidia kulisha familia zao?
 
Mna Nini na Kanda ya ziwa mkitaka kuleta vurugu kongamano mnafanyie Kanda ya ziwa badala ya Kilimanjaro.
Ikijengwa miradi Kanda ya ziwa mwasema upendeleo.
Wakizaa Sana ni shida,kwani wamekuomba uwasaidia kulisha familia
Jamii za Mikoa mingine, Takwimu don't lie sasa endelea kutetea ujinga mtazidi kutopea kwen

Jamii za Mikoa mingine, Takwimu don't lie sasa endelea kutetea ujinga mtazidi kutopea kwenye umaskini
Wewe ni mjinga tu> Hao watu wa kanda ya ziwa miaka yote ulishawahi kuwalisha?
 
Nyenzo gani mkuu, lazima GDP ikue kuliko ongezeko la watu kinyume chake ndio itakuwa kuogelea kwenye umaskini,kodi kidogo kilio nchi nzima
Mtihani wa Taifa swali hili lilirindima miaka dahari drs la 7 B...km hivi...
.
Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne navyo ni.....

1.Watu
2.Ardhi........

Sioni ajabu!!leo waja kinyume!!!daaa!! wewe ulipata zero tu!! huko st kayumba yako au hukulijua hili kabisa bin kilaza.....mfyuxccv.
 
Acha ujinga wewe hivi ninyi ni jamii gani mlio na maendeleo sana kuzidi hao wasukuma?
Matusi ya nini tena mkuu?

Mimi ni msukuma. Nakubaliana kabisa na mtoa hoja. Kiwango cha kuzaliana katika kanda ya ziwa kiko juu mno! Watu wanzaliana kama kuku! Hali hii imeshaanza kuleta umasikini mkubwa katika jamii. Siku hizi zile kazi za hovyohovyo ambazo zilikuwa zinafanywa na makabila fulani fulani ndizo wanafanya wasukuma. Zamani wasukuma hata kazi ya kuchima mkaa walikuwaga hawafanyi!

Kuna shule moja ya msingi huko kanda ya ziwa ina watoto 6000! Darasa la nne wako 2000. Just imagine? Na miundombinu haina. Watoto wanapata wakati mgumu sana kwenye hiyo shule. Ni kama vile wako kwenye kambi ya mateso!
 
Ndio shida ya maskini na wasukuma kiujumla.Starehe ya maskini ni ngono.

Mimi nawafahamu wengi Sana ila wako Vijijini zaidi,mwanamke miaka 32 ana watoto 10
shika adabu yako wasukuma siyo maskini....hao ndg zako wazaramo wana utajiri gani??

Watoto wengi ni nguvu kazi tosha kabisa!! Km wewe hanithi unaona wivu omba msaada.
Kuzaa si suala la mchezo km unavo dhani!!
 
shika adabu yako wasukuma siyo maskini....hao ndg zako wazaramo wana utajiri gani??

Watoto wengi ni nguvu kazi tosha kabisa!! Km wewe hanithi unaona wivu omba msaada.
Kuzaa si suala la mchezo km unavo dhani!!
Takwimu zinaongea sio mimi mkuu,kama unaamini kuzaana huko kuna tija endeleeni
 
Mtihani wa Taifa swali hili lilirindima miaka dahari drs la 7 B...km hivi...
.
Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne navyo ni.....

1.Watu
2.Ardhi........

Sioni ajabu!!leo waja kinyume!!!daaa!! wewe ulipata zero tu!! huko st kayumba yako au hukulijua hili kabisa bin kilaza.....mfyuxccv.
Ardhi ipo na watu wapo ila sasa watu wenyewe ni maskini na mburura sasa hao watakusaidia nini? Ndio maana unaona tozo kidogo kilio kikubwa Hali ni mbaya
 
Leo mleta hii topic anatunanga sana sisi wa kanda ya Ziwa kisa tumezaliana sana, ili nchi iendelee inahitaji watu wenye elimu na afya njema, na mpango wa Mungu ni kwamba watu wazaliane wajaze nchi, ndo maana wako huku mlimba na Maeneo ya ifakara wanalima mpunga, watu wa kanda ya ziwa ni wachapakazi sana, labda tuwashauri umuhimu wa kutumia contraceptives as one way of population control, life is very unbearable in some sukuma families in Shinyanga Rural areas despite of their hardworking, they are living from hand to mouth,
 
Leo mleta hii topic anatunanga sana sisi wa kanda ya Ziwa kisa tumezaliana sana, ili nchi iendelee inahitaji watu wenye elimu na afya njema, na mpango wa Mungu ni kwamba watu wazaliane wajaze nchi, ndo maana wasikuma wako huku mlimba na Maeneo ya ifakara wanalima mpunga, watu wa kanda ya ziwa ni wachapakazi sana, labda tuwashauri umuhimu wa kutumia contraceptives as one way of population control, life is very unbearable is some sukuma families in Shinyanga Rural areas despite of their hardworking, they are living from hand to mouth,
Sasa huko Kanda ya ziwa mna elimu ipi?Wenye elimu huwa hawazaliani kama simbilisi ndio maana wingi wenu hauna tija unawasukumiza kwenye umaskini
 
Ardhi ipo na watu wapo ila sasa watu wenyewe ni maskini na mburura sasa hao watakusaidia nini? Ndio maana unaona tozo kidogo kilio kikubwa Hali ni mbaya
Ni maskin kwa mtazamo wako mkuu ila wale ni matajiri. Km ardhi ipo lazima watajirike tu!! au nikutajie kila kitu haya

Na uongozi bora basi.....

Weupe wanatupiga vita sana kwa hili. Unawasaidia!! wewe bila shaka Umekula cha juu!! sababu wao kamwe hawawezi kuzaa km sisi. Tena majira wao hawatumii. Ok!!

Mie nadhani hujawahi kumbana na hili swali mkuu!!
Km uongozi si bora watakuwaje matajiri? Mfano uongozi mbovu km wa jiwe!!

Uchumi wa Tz ulishuka toka asilimia 6.7 enzi za mkwere...mpaka jwe ana kufa ulikuwa chini kwa asilimia 4.5.kwa mujibu wa WB.
Uongozi bora na idadi ya watu vinaendana pia.
Ardhini utapata kila kitu na utaishi maisha bora mno. Lkn je unaongozwa vyema na wenye mamlaka?? Au ni wezi dhurumati tu km jiwe?
Kanunua midege cash sasa zaruka 2 tu!!
Kawatimua watoto wa maskini kazi eti ni wafanyakazi hewa bila bakshish. wkt waliitumikia sirikali walisoma vyuo vya sirikali.je hao watoto wao walio wazaa wataendelea vipi?? Chini ya sirikali za hivi??... Hapo hapo...

Watoto wa wakubwa pale BOT. TRA Bandari nk wakiachwa huru... Akikosolewa kwa vitendo vyake anakuteka maksudi tu huku anafurahi.... Ufilie kwa mbali bila huruma na watu wanaona hivi!!

Sasa yule muhindi alikosa nini akamteka??? Tena wazi wazi...Angesema vizuri tu "dogo nataka fedha moja mbili baaasi....

Huo wa jiwe ndo uongozi mbaya sana.. mpaka Mungu alikasirika!! Kwa mara ya kwanza Africa hii!! sasa hivi ananyea debe ahera!! Usidhani yuko salama kule anabeba mtondoo...

Haya malizia ya mwisho numb. nne!!
 
Ni maskin kwa mtazamo wako mkuu ila wale ni matajiri. Km ardhi ipo lazima watajirike tu!! au nikutajie kila kitu haya

Na uongozi bora basi.....

Weupe wanatupiga vita sana kwa hili. Unawasaidia!! wewe bila shaka Umekula cha juu!! sababu wao kamwe hawawezi kuzaa km sisi. Tena majira wao hawatumii. Ok!!

Mie nadhani hujawahi kumbana na hili swali mkuu!!
Km uongozi si bora watakuwaje matajiri? Mfano uongozi mbovu km wa jiwe!!

Uchumi wa Tz ulishuka toka asilimia 6.7 enzi za mkwere...mpaka jwe ana kufa ulikuwa chini kwa asilimia 4.5.kwa mujibu wa WB.
Uongozi bora na idadi ya watu vinaendana pia.
Ardhini utapata kila kitu na utaishi maisha bora mno. Lkn je unaongozwa vyema na wenye mamlaka?? Au ni wezi dhurumati tu km jiwe?
Kanunua midege cash sasa zaruka 2 tu!!
Kawatimua watoto wa maskini kazi eti ni wafanyakazi hewa bila bakshish. wkt waliitumikia sirikali walisoma vyuo vya sirikali.je hao watoto wao walio wazaa wataendelea vipi?? Chini ya sirikali za hivi??... Hapo hapo...

Watoto wa wakubwa pale BOT. TRA Bandari nk wakiachwa huru... Akikosolewa kwa vitendo vyake anakuteka maksudi tu huku anafurahi.... Ufilie kwa mbali bila huruma na watu wanaona hivi!!

Sasa yule muhindi alikosa nini akamteka??? Tena wazi wazi...Angesema vizuri tu "dogo nataka fedha moja mbili baaasi....

Huo wa jiwe ndo uongozi mbaya sana.. mpaka Mungu alikasirika!! Kwa mara ya kwanza Africa hii!! sasa hivi ananyea debe ahera!! Usidhani yuko salama kule anabeba mtondoo...

Haya malizia ya mwisho numb. nne!!
Huyo mpumbavu achana nae ana chuki na kanda ya ziwa, unaona anasema kanda ya ziwa wanategemea migodi tu, unajua kabisa hana akili, hata ziwa tu ambalo limeipa kanda jina hajui liko wapi. Tutawashikisha ukuta tu.
 
Sasa huko Kanda ya ziwa mna elimu ipi?Wenye elimu huwa hawazaliani kama simbilisi ndio maana wingi wenu hauna tija unawasukumiza kwenye umaskini
hapana hao wanajua!!! Hawakufuata ya mzungu...richa ya utumwa.kukoloniwa miaka mingi.na ukoloni mambo leo wa sasa

Kutuzushia magonjwa ya kila aina bado idadi yetu imekuwa maradufu dhidi yao waliokula bata miaka mingi. Ukimwi ni km haufanyi kazi africa. Hivi wana wasiwasi kuwa watapotea humu Duniani.
Km unaungana nao sawa!!!
 
nimwaleka enjem bhana shinhu, okwichima muhimu bhadugu bhanae, ifunangula machupi hasa.


nitanage pampu yi dako, ng'wana lochima sugu
 
elimu h uwa inaambatana na uzazi wa mpango. kuna mikoa watu mburura kiasi kwamba mama akijifungua wanatia tu hawajui hii ni siku ya hatari wala nini na kuweka vizuia mimba ni mwikokwao kimila, kwahiyo mama anakuwa kiwanda cha kufyatua watoto hadi mgongo upinde na mashine ichakae kama tarumbeta, akizeekaaa baba anaoa katoto anaaza nako kukachosha tena. hadi huruma. elimu, elimu, elimu.
 
Back
Top Bottom