Kwa kasi hii ya kuzaliana kwa watu, Umasikini utazidi kukita mizizi Kanda ya Ziwa

Kwa kasi hii ya kuzaliana kwa watu, Umasikini utazidi kukita mizizi Kanda ya Ziwa

Huyo mpumbavu achana nae ana chuki na kanda ya ziwa, unaona anasema kanda ya ziwa wanategemea migodi tu, unajua kabisa hana akili, hata ziwa tu ambalo limeipa kanda jina hajui liko wapi. Tutawashikisha ukuta tu.
Chuki za nini mkuu mimi natoa tahadhari kuwasaidia muepukane na umaskini wa kujitakia
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri kwa sauti ya Iron Lady SSH,kiboko ya wanasiasa uchwara.

Moja kwa moja kwenye mada,kuna msemo unasomeka kwamba starehe ya maskini ni ngono,bila shaka unasadifu kwa kasi ya kuzaana inayoendelea kwa mikoa yote ya Kanda ya Ziwa.

Kwa wastani uzazi huko kwenye hiyo mikoa ni wastani wa 4% kwa mikoa yote 7 kitu ambacho ni hatari sana kwa ustawi wa jamii za huko.

Case study ni Mkoa wa Mwanza ambao unakadiriwa kuwa na wakaazi takribani Mil.4 huku growth rate ikiwa 4.1% .Inamaana Sensa ya 2032 huenda Mkoa wa Mwanza utakuwa na Wakaazi karibu Mil.8 huku na ndio utakuwa Mkoa wenye Idadi kubwa zaidi ya Watu Nchini na kutupita Mkoa wa /Jiji la wa Dar es Salaam.Hali hiyo itakuwa hivyo kwa Kanda nzima ya ziwa

Cha kusikitisha sasa ni kwamba ukuaji wa kipato hauendani na ongezeko la watu na matokeo yake itakuwa ni umaskini wa kutisha.Kwa mfano Takwimu za 2020 zinaonesha GDP per Capita ya Mwanza ni 2.6Mil ,ambapo kwa Kanda hiyo nzima ni chini ya hicho kiasi ukilinganisha na Mikoa ya Dar (4.6),Iringa(4.0) na Mbeya(3.7).Tayari kuna umaskini mkubwa sasa huo mwaka 2030 Hali itakuaje?

Ndugu zetu wa Kanda ya Ziwa wanaotakiwa Kusaidiwa hasa kwenye Elimu Ili wapunguze uzazi na wadhibiti Umaskini badala ya kuwajengea madaraja nk . Rasilimali kubwa za Mikoa hiyo ni Migodi ambayo haihusishi watu wengi na ambayo haina uhakika wa sustainability.

Nitoe wito kwa Serikali ilitazame jambo hili kwa jicho la upekee na wasaidiwe kwa maslahi mapana ya Nchi.Takwimu hizo hapo za mwaka 2020 kwa mujibu wa NBS 👇👇

View attachment 1862939

View attachment 1862940

View attachment 1862941

View attachment 1862942

Umasikini unakuja pale tu kama watu ni tegemezi lakini wakifanya kazi mfano walimw vizuri watu wanaweza kukuza uchumi
 
Chuki za nini mkuu mimi natoa tahadhari kuwasaidia muepukane na umaskini wa kujitakia
Weeee!! kijana tema mate chini Kanda tajiri ile ina jirisha yenyewe wewe! siyo km Mtwara kwenu!! ina hifadhi ya Taifa kubwa Duniani kote!!! Inaziwa kubwa lenye kila samaki lafaa kwa uvuvi mno!! kwani Dar mnakula samaki watamu wa wapi??

unalijua li Sato, Sangara, furu wewe au unasema tu?? ile kanda ya watu wengi imewahi lisha mpaka Ulaya kwa samaki wanono na wakakubali!!! Mikoa gani imewahi lisha ulaya?? Iringa au!!! ..angalia Maziwa, Nyama nzuri na tamu hapo Dar mnapata wapi??

Reli ya kati ipo inapiga kazi kwa sababu ya umati huu!!! ile ya Moshi sijui Tanga isha kufa kitambo!! sasa km nyie hamuwezi kupiga mashine na sisi tuache?? make mashine zenu hizo za kupulizia!! au uiwekee maji ndo iamke!! wake zenu wanapenda kanda ya ziwa!!!!

tena wakija wana zaa kweli af wanapenda!! yaani kanda ya ziwa sasa hivi wanajazilishia kenya , na Uganda sooon wata tawala Africa mashariki yote kwa wingi! endelea kupepea na vitoto vyako ivo afya mbovu shangazi yako ataviroga tu!!

wanawake iko nasema manaume ya Kanda hii ni matamu sana hata yakupige vipi, ukikumbuka utarudi km mie muongo muulize naniliu .......aaa nani vile ngoja nimkumbuke ..... eti weee dada nikumbushe jia lako vile ako nani???

WEE Unaona wanvyo gonga mashine kimasihara ....unaumia!!
 
Mkuu bora hata huko Katavi kuna ardhi kubwa kwa hiyo population density ni ndogo..Na kilichosababisha hiyo birthrate kubwa kwa Katavi ni sababu ya wasukuma kuhamia.

Afadhari hata Mikoa ya Songwe ina uhakika wa mvua na ardhi sio sawa na huko Kanda ya Ziwa
Halafu Kanda ya ziwa ina Mchango mkubwa nchini na Duniani!! kisiasa kiuchumi na kiutamaduni km hivi..

1.KAR wakanda hii waliingia kwa wingi na walikuwa wepesi na kwa weledi wa mafunzo ya kijeshi! kuliko kanda zote nchini!! lengo kuisaidia Uingereza ktk ww ii!! kwa hiyo wanaheshimika sana Duniani!! huko UNO ndo maana Nyerere alikubalika ki rahisi!! baada ya kujua anatoka kanda hii ya kishujaa.

2.Wana mchango mkubwa ktk ukombozi wa Bara la africa!! dhidi ya Ukoloni mfano Msumbiji, zimbabwe south africa ni kanda hii tu ndo ilijitolea kwa wingi kumpinga Mkoloni! ... umoja wa AU hautakubali kuidhoofisha kanda hii!! ni kumbukumbu nzuri sana kwao!!

3,Hakuna Kanda wala Mkoa waliokuwa na moyo wa kujitolea kumng'oa Idd Amin km Mikoa ya kanda ya ziwa na kweli alifukuzwa km mbwa jike alifia mbali huko!! sasa leo wakipunguza kuzaa mashujaa watapungua sana. mtaonewa sana hata na Rwanda!!
Watu kama hawa lazima wazaliane kwa wingi mno tena mara dufu ili mlindwe na kuheshimika!!

Wenzenu Kenya wanaililia hii kanda nyie mnaipiga mateke, mkifanya kosa hili watahamia Kenya wote wale wanatamani kizazi cha kanda ya ziwa hawalali wanaomba Msitari unyooke Tokea Tanga mpka ziwa Vict.... hawa kuingia kenya ni bure tu!! hkn haja ya viza

wee km unaona vipi kachuke Mbegu Mkuu!! Uone njaa itaisha hapo kwako jaribu uone nakwambia.......hawana noma!! kule kuna nyumba ntobhu!!....hata ukimpeleka mkeo tu anazaa!! watoto wanakuwa wako!!

unapata vitoto vishujaa kirahisiiii vitakupa heshima Dunia nzima .... wee jrbu peleka mang'ombe uone!!
 
Ingawa hoja yako na nia ya kupunguza umaskini ni nzuri, lakini mahitimisho yako ndo yameifanya hoja yako iwe na walakini. Nitaainisha mambo machache:
1. Badala ya kutaka serikali iwaelimishe ili kupunguza kuzaliana, mimi ningeshauri serikali iwaelimishe na kuwajengea uwezo wa kiuchumi ili kuendana na ongezeko la watu. Hili ni hitaji muhimu kwa nchi nzima, siyo kwa mwanza na kanda ya ziwa pekee.
2. Trend ya kukua kwa uchumi sasa hivi duniani inaonyesha nchi zenye idadi kubwa ya watu ndio zina fanya vizuri zaidi, mf China, India, Brazil, nk.
Badala ya kupunguza idadi ya watu, tuongeze means za kuwawezesha watu kujijenga kiuchumi.
3. Wasukuma ni watu watafutaji wazuri sana, na ni wachapa kazi wazuri sana. Wengi tutakubaliana na hilo. Badala ya kutaka wapunguze nguvukazi yao, tunapaswa kuwahamasisha na kuwajengea uwezo ili watumie nguvu zao kwa maarifa na ufanisi zaidi ili kujilete maendeo.
4. Wasukuma siyo watu wa kukaa mahali pamoja. Pamoja na kuipenda sana nchi yao, sukumaland, lakini wana historia ya kuhama na kwenda maeneo mengine kujitafutia liziki. Kwa taarifa yako, maeneo ya Biharamulo, chato, na sehemu za mkoa wa kagera siyo originally sehemu za sukumaland, lakini sasa hivi zimejaa wasukuma wahamiaji walihamia kwenye maeneo yaliyokuwa mapori na kuanza kilimo, na hatimaye sasa hivi kuna miji. Nenda kwenye bonde la Usangu huko mbeya sasa hivi utawakuta wamejaa wanalima mpunga kwa wingi. Nenda Songea, hata huku kwetu Mtwara, jamaa wapo wanajitafutia riziki.
5. Tanzania bado ni nchi pana sana, na mtanzania yeyote ana uhuru wa kuishi na kufanya shughuli zake mahali popote ndani ya mipaka ya nchi yetu.
Hayo yanatosha.
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri kwa sauti ya Iron Lady SSH,kiboko ya wanasiasa uchwara.

Moja kwa moja kwenye mada,kuna msemo unasomeka kwamba starehe ya maskini ni ngono,bila shaka unasadifu kwa kasi ya kuzaana inayoendelea kwa mikoa yote ya Kanda ya Ziwa.

Kwa wastani uzazi huko kwenye hiyo mikoa ni wastani wa 4% kwa mikoa yote 7 kitu ambacho ni hatari sana kwa ustawi wa jamii za huko.

Case study ni Mkoa wa Mwanza ambao unakadiriwa kuwa na wakaazi takribani Mil.4 huku growth rate ikiwa 4.1% .Inamaana Sensa ya 2032 huenda Mkoa wa Mwanza utakuwa na Wakaazi karibu Mil.8 huku na ndio utakuwa Mkoa wenye Idadi kubwa zaidi ya Watu Nchini na kutupita Mkoa wa /Jiji la wa Dar es Salaam.Hali hiyo itakuwa hivyo kwa Kanda nzima ya ziwa

Cha kusikitisha sasa ni kwamba ukuaji wa kipato hauendani na ongezeko la watu na matokeo yake itakuwa ni umaskini wa kutisha.Kwa mfano Takwimu za 2020 zinaonesha GDP per Capita ya Mwanza ni 2.6Mil ,ambapo kwa Kanda hiyo nzima ni chini ya hicho kiasi ukilinganisha na Mikoa ya Dar (4.6),Iringa(4.0) na Mbeya(3.7).Tayari kuna umaskini mkubwa sasa huo mwaka 2030 Hali itakuaje?

Ndugu zetu wa Kanda ya Ziwa wanaotakiwa Kusaidiwa hasa kwenye Elimu Ili wapunguze uzazi na wadhibiti Umaskini badala ya kuwajengea madaraja nk . Rasilimali kubwa za Mikoa hiyo ni Migodi ambayo haihusishi watu wengi na ambayo haina uhakika wa sustainability.

Nitoe wito kwa Serikali ilitazame jambo hili kwa jicho la upekee na wasaidiwe kwa maslahi mapana ya Nchi.Takwimu hizo hapo za mwaka 2020 kwa mujibu wa NBS 👇👇

View attachment 1862939

View attachment 1862940

View attachment 1862941

View attachment 1862942
thanks for this, very insightful, pia sisi wana Kanda ya Ziwa, tuwahamashishe ndugu zetu, wapunguze sana kupenda naniliu!, due to lishe Bora, wanawake wetu wako very fertile, uki naniliu tuu hata kama ni kwa ajili ya starehe, inatunga!. Tupunguze ile starehe.
P
 
Wingi una faida zake pia hasa ukiangalia kiuchumi inaweza kuwa soko kubwa la bidhaa, lakini pia ni nguvu na mtaji wa maamuzi. Mark my word
 
thanks for this, very insightful, pia sisi wana Kanda ta Ziwa, tuwahamashishe ndugu zetu, wapunguze sana kupenda naniliu!, due to lishe Bora, wanawake wetu wako very fertile, uki naniliu tuu hata kama ni kwa ajili ya starehe, inatunga!. Tupunguze ile starehe.
P
Hiyo sio sababu, kuzaana hovyo ni Mila na tamaduni haina uhusiano na kuwa na lishe wala sijui kuwa fertile.

Hiyo ni alama ya umaskini,ukosefu wa Elimu na kudumisha Mila zilizopitwa na wakati
 
Mpaka 2032 kwamba dar tumeishiwa nguvu za kiume?? Hatuzalishi?
Usiniulize mimi mjiulize wenyewe maana growth rate yenu ni 2.6 ambayo itapungua kwa sababu za elimu zaidi,kipato zaidi na kuwa busy na kusaka pesa.
 
Halafu Kanda ya ziwa ina Mchango mkubwa nchini na Duniani!! kisiasa kiuchumi na kiutamaduni km hivi..

1.KAR wakanda hii waliingia kwa wingi na walikuwa wepesi na kwa weledi wa mafunzo ya kijeshi! kuliko kanda zote nchini!! lengo kuisaidia Uingereza ktk ww ii!! kwa hiyo wanaheshimika sana Duniani!! huko UNO ndo maana Nyerere alikubalika ki rahisi!! baada ya kujua anatoka kanda hii ya kishujaa.

2.Wana mchango mkubwa ktk ukombozi wa Bara la africa!! dhidi ya Ukoloni mfano Msumbiji, zimbabwe south africa ni kanda hii tu ndo ilijitolea kwa wingi kumpinga Mkoloni! ... umoja wa AU hautakubali kuidhoofisha kanda hii!! ni kumbukumbu nzuri sana kwao!!

3,Hakuna Kanda wala Mkoa waliokuwa na moyo wa kujitolea kumng'oa Idd Amin km Mikoa ya kanda ya ziwa na kweli alifukuzwa km mbwa jike alifia mbali huko!! sasa leo wakipunguza kuzaa mashujaa watapungua sana. mtaonewa sana hata na Rwanda!!
Watu kama hawa lazima wazaliane kwa wingi mno tena mara dufu ili mlindwe na kuheshimika!!

Wenzenu Kenya wanaililia hii kanda nyie mnaipiga mateke, mkifanya kosa hili watahamia Kenya wote wale wanatamani kizazi cha kanda ya ziwa hawalali wanaomba Msitari unyooke Tokea Tanga mpka ziwa Vict.... hawa kuingia kenya ni bure tu!! hkn haja ya viza

wee km unaona vipi kachuke Mbegu Mkuu!! Uone njaa itaisha hapo kwako jaribu uone nakwambia.......hawana noma!! kule kuna nyumba ntobhu!!....hata ukimpeleka mkeo tu anazaa!! watoto wanakuwa wako!!

unapata vitoto vishujaa kirahisiiii vitakupa heshima Dunia nzima .... wee jrbu peleka mang'ombe uone!!
Huko maeneo kunaongoza kwa umaskini mkuu sasa sijui hiyo ni sifa au vipi
 
Back
Top Bottom