Kwa kasi hii ya Rais Magufuli nashindwa kuelewa mzee Mwinyi alifeli wapi hadi viwanda na mashirika ya umma yakafa!

Kwa kasi hii ya Rais Magufuli nashindwa kuelewa mzee Mwinyi alifeli wapi hadi viwanda na mashirika ya umma yakafa!

Heshima yako mkuu umenena vyema. Mtoa mada inabidi atambue inawezekana kumsifia MTU pasipo kumchafua mwingine. Tanzania ya wakati wa Mwinyi ilikuwa imetoka vitani na serikali haikuwa na pesa muda huo.
Pia economic system ya Mwinyi na economic system ya JPM ni vitu viwili tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie huyo mtu kuwa Magufuli kaingia madarakani kakuta barabara za lami kila kona, kakuta viwanja vya ndege ndio maana ana nguvu ya kununua ndege, kakuta mradi wa mwendo kasi umeshaanza, kakuta mafungu ya kujenga kwenye makutano ya tazara na ubungo, kakuta daraja la kigamboni tayari, kakuta watanzania wanaishi maisha ya furaha na uhuru wa kuyasema mabaya ya viongozi.
Pia alikua sukari sh 1,800

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasi gani hiyo pengine unayo iimba hapa jf?
Nafuatilia kwa makini jinsi taasisi za serikali zinavyozidi kujitokeza kutoa gawio (dividends) kwa serikali.

Nimeona hadi vyuo kama SUA, IFM nk vikitoa gawio sambamba na wakala mbalimbali za serikali na hata vitega uchumi vilivyoko jeshini na magereza mfano Suma JKT.

Natafakari tu endapo Rais Magufuli ndio angekuwa aliachiwa yale maviwanda kama Kiltex, Sunguratex, Tbl,Bora nk....nk....yaani ile Pugu road yote vilikuwa viwanda vya serikali, hakika naamini leo tungekuwa mbali sana.

Najiuliza tu mstaafu Mwinyi alikwama wapi hadi viwanda na yale mashirika makubwa makubwa akina NBC NIC, THB nk yakafilisika?

Nawatakia Dominika njema

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo hii sukari ni anasa
Mwambie huyo mtu kuwa Magufuli kaingia madarakani kakuta barabara za lami kila kona, kakuta viwanja vya ndege ndio maana ana nguvu ya kununua ndege, kakuta mradi wa mwendo kasi umeshaanza, kakuta mafungu ya kujenga kwenye makutano ya tazara na ubungo, kakuta daraja la kigamboni tayari, kakuta watanzania wanaishi maisha ya furaha na uhuru wa kuyasema mabaya ya viongozi.
Pia alikua sukari sh 1,800

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfumo wa uchumi wa kimashariki (Kijamaa) kupitia Azimio la Arusha uliopora viwanda na Mali nyingi za matajiri na serikali kujimilikisha na kuviendesha.(Utaifishaji)

Bahati mbaya viliendeshwa kwa kupangiwa bei na serikali bila kujali gharama za uzalishaji (Production cost) Vingi vilifeli mikononi mwa Nyerere mwenyewe! Na ilibidi vipewe ruzuku toka kwenye kodi.

Njaa ya miaka ya mwisho Sabini na Vita ya Uganda na Tz vilifilisi kabisa nchi. Nyerere akaenda kwa mabeberu kuomba mkopo kwa Mara ya kwanza.
Walimpa masharti yafuatayo;

i. Kujiondoa serikali kuzalisha,kuagiza na kuingiza bidhaa. Iwe inakusanya Kodi tu.

ii.Kuwepo na soko huria. Bei za bidhaa zitokane na ushindani na mahitaji ya soko. (Serikali ijiondoe kupanga bei)

iii. Ashushe thamani ya shilingi

iv. Kuwepo uchangiaji katika huduma za kijamii baina ya serikali na wananchi ( Cost sharing) ili kuipunguzia mzigo serikali.

vi.Apunguze idadi ya watumishi wa umma na mishahara yao.

vii.Abinafsishe viwanda alivyopora na vile alivyopora.

Nyerere aliyakataa masharti huku akinukuliwa kwamba anayedhani Tz itayakubali masharti hayo ni mwendazimu akiwa ziarani Uingereza (Scotland?). Mwisho hali ilipokuwa mbaya zaidi alienda Mara ya pili mezani IMF na WB wakasimama kwenye masharti yao.

Nchi ilikuwa taabani na Nyerere ikabidi ang'atuke kulinda msimamo na heshima yake.

Mwinyi akachukua nchi na kutekeleza masharti.
 
Duh mkuu ina maana hujui nyerere alimkabidhi mwinyi nchi haliyakuwa imemshinda...? That we were in survival mode...? Nchi hata kujinunulia chakula ilikua tabu ndo iwe hayo mambo mengine..?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ikawa ili kupata hela ya kununua chakula lazima tu uze na kuuwa baadhi ya viwanda vyetu, so as to maintain and manage our survival mode.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafuatilia kwa makini jinsi taasisi za serikali zinavyozidi kujitokeza kutoa gawio (dividends) kwa serikali.

Nimeona hadi vyuo kama SUA, IFM nk vikitoa gawio sambamba na wakala mbalimbali za serikali na hata vitega uchumi vilivyoko jeshini na magereza mfano Suma JKT.

Natafakari tu endapo Rais Magufuli ndio angekuwa aliachiwa yale maviwanda kama Kiltex, Sunguratex, Tbl,Bora nk....nk....yaani ile Pugu road yote vilikuwa viwanda vya serikali, hakika naamini leo tungekuwa mbali sana.

Najiuliza tu mstaafu Mwinyi alikwama wapi hadi viwanda na yale mashirika makubwa makubwa akina NBC NIC, THB nk yakafilisika?

Nawatakia Dominika njema

Maendeleo hayana vyama!
Umezunguka sana muhimu huyu Magu tumuongezee muda walau miaka 10 mingine atake asitake hatuwezi kumpa mwingine tuanze kurudi nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima yako mkuu umenena vyema. Mtoa mada inabidi atambue inawezekana kumsifia MTU pasipo kumchafua mwingine. Tanzania ya wakati wa Mwinyi ilikuwa imetoka vitani na serikali haikuwa na pesa muda huo.
Pia economic system ya Mwinyi na economic system ya JPM ni vitu viwili tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa tunaangalia changamoto.......mambo ya kuchafuana ni ya kwako wewe na ufahamu wako!
 
Mkuu,walikuwa wanatoa gawio,isipokuwa walikuwa hawatangazi kwenye vyombo vya habali,kwa sasa hivi turn ni mwendo wa MUBASHARA.
 
Back
Top Bottom