Kwa kasi hii ya uwekezaji, je GSM anaitaka Yanga SC?

Kwa kasi hii ya uwekezaji, je GSM anaitaka Yanga SC?

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Hebu tujadiri hili swala GSM naona anamwaga sana pesa yanga kwenye kununua wachezaji na hata motisha timu kila inaposhinda je ni kwa kuwa ni mdhamini ama kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia?

Nakumbuka GSM kuna kipindi alitaka kuinunua African Lyon bahati mbaya ikashuka daraja sasa naona nguvu amepeleka yanga au anategemea kuwa mwezi wa 4 pindi yanga wakianza ule mchakato wa mabadiriko basi yeye apewe kipaumbele?
Je ataweza kuwa bora zaidi ya manji?
 
Hebu tujadiri hili swala GSM naona anamwaga sana pesa yanga kwenye kununua wachezaji na hata motisha timu kila inaposhinda je ni kwa kuwa ni mdhamini ama kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia?

Nakumbuka GSM kuna kipindi alitaka kuinunua African Lyon bahati mbaya ikashuka daraja sasa naona nguvu amepeleka yanga au anategemea kuwa mwezi wa 4 pindi yanga wakianza ule mchakato wa mabadiriko basi yeye apewe kipaumbele?
Je ataweza kuwa bora zaidi ya manji?
Msimamo wetu upo wazi kabisa"hatuwezi kumpa timu mwekezaji mmoja"timu hii ni ya wananchi,wawekezaji ni wananchi wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amuulize Manji kwanza,Yanga shukrani kwao sio kipaumbele wanachama wa Yanga na Mashabiki ukitaka wakusifie walipie kadi na kiingilio Uwanjani,Manji kaondoka anaidai Yanga na hatalipwa kamwe
Hebu tujadiri hili swala GSM naona anamwaga sana pesa yanga kwenye kununua wachezaji na hata motisha timu kila inaposhinda je ni kwa kuwa ni mdhamini ama kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia?

Nakumbuka GSM kuna kipindi alitaka kuinunua African Lyon bahati mbaya ikashuka daraja sasa naona nguvu amepeleka yanga au anategemea kuwa mwezi wa 4 pindi yanga wakianza ule mchakato wa mabadiriko basi yeye apewe kipaumbele?
Je ataweza kuwa bora zaidi ya manji?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lisemwalo lipo.......

GSM anajisafishia njia
 
Back
Top Bottom