Kwa Kasi iliyopo ya viongozi kwenda Kwa wataalam huko Tanga mamlaka za uteuzi zisilalamikiwe bali tuziombee

Kwa Kasi iliyopo ya viongozi kwenda Kwa wataalam huko Tanga mamlaka za uteuzi zisilalamikiwe bali tuziombee

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Ukikaa vijiwe vya Kahawa Tanga hasa kwamsisi, Handeni na Pangani ukasikiliza Stori za wananchi utatambua umuhimu wa kuziweka mamlaka za uteuzi mikononi mwa Mungu.

Watu wanaratiba kabisa yakwenda kuongeza nguvu za kimamlaka wengine wanatumia magari binafsi huku wachache wakitumia magari ya umma. Likipita gari kuingia chocho au likipaki mfano kwamsisi unasikia Mzee huyo anakwenda kupata huduma.

Wapo watu wanaacha walinzi na V8 mbali wanapanda bodaboda kuficha identity; baadhi wanatuma gari kwenda kuchukua wataalam nakuwapeleka Dodoma au DSM kutoa tiba ya madaraka.

Unapoongoza wizara, Idara au nchi ambayo watu wake wanaamini katika tamaduni na baadhi wanamwamini Mungu NI vigumu kujua kama umefanya uteuzi Kwa kuzingatia vigezo au umekuwa drived na nguvu za Giza au nguvu za wataalam wa tamaduni.

Unashangaa hata wavaa magwanda wanaopambana na waganga wa kienyeti nao wanaponea hukohuko. Baadhi kama sasa hivi ilivyosomwa ripoti ya CAG mambo huku kwetu NI bam bam wateja wamekimbilia ukanda WA chalinze na Tanga kupooza ripoti isisomwe Kwa sauti.

Kabla ya kulaumu mamlaka za uteuzi wanapoteua asiyejiweza tumwangalie kiundani aliyeteuliwa ana nguvu za ziada?
 
Ukikaa vijiwe vya Kahawa Tanga hasa kwamsisi, Handeni na Pangani ukasikiliza Stori za wananchi utatambua umuhimu wa kuziweka mamlaka za uteuzi mikononi mwa Mungu.

Watu wanaratiba kabisa yakwenda kuongeza nguvu za kimamlaka wengine wanatumia magari binafsi huku wachache wakitumia magari ya umma. Likipita gari kuingia chocho au likipaki mfano kwamsisi unasikia Mzee huyo anakwenda kupata huduma.

Wapo watu wanaacha walinzi na V8 mbali wanapanda bodaboda kuficha identity; baadhi wanatuma gari kwenda kuchukua wataalam nakuwapeleka Dodoma au DSM kutoa tiba ya madaraka.

Unapoongoza wizara, Idara au nchi ambayo watu wake wanaamini katika tamaduni na baadhi wanamwamini Mungu NI vigumu kujua kama umefanya uteuzi Kwa kuzingatia vigezo au umekuwa drived na nguvu za Giza au nguvu za wataalam wa tamaduni.

Unashangaa hata wavaa magwanda wanaopambana na waganga wa kienyeti nao wanaponea hukohuko. Baadhi kama sasa hivi ilivyosomwa ripoti ya CAG mambo huku kwetu NI bam bam wateja wamekimbilia ukanda WA chalinze na Tanga kupooza ripoti isisomwe Kwa sauti.

Kabla ya kulaumu mamlaka za uteuzi wanapoteua asiyejiweza tumwangalie kiundani aliyeteuliwa ana nguvu za ziada?
Kwani hao waganga wenyewe hawatiki kua mawaziri au wakuu wa mawilaya
 
Ukikaa vijiwe vya Kahawa Tanga hasa kwamsisi, Handeni na Pangani ukasikiliza Stori za wananchi utatambua umuhimu wa kuziweka mamlaka za uteuzi mikononi mwa Mungu.

Watu wanaratiba kabisa yakwenda kuongeza nguvu za kimamlaka wengine wanatumia magari binafsi huku wachache wakitumia magari ya umma. Likipita gari kuingia chocho au likipaki mfano kwamsisi unasikia Mzee huyo anakwenda kupata huduma.

Wapo watu wanaacha walinzi na V8 mbali wanapanda bodaboda kuficha identity; baadhi wanatuma gari kwenda kuchukua wataalam nakuwapeleka Dodoma au DSM kutoa tiba ya madaraka.

Unapoongoza wizara, Idara au nchi ambayo watu wake wanaamini katika tamaduni na baadhi wanamwamini Mungu NI vigumu kujua kama umefanya uteuzi Kwa kuzingatia vigezo au umekuwa drived na nguvu za Giza au nguvu za wataalam wa tamaduni.

Unashangaa hata wavaa magwanda wanaopambana na waganga wa kienyeti nao wanaponea hukohuko. Baadhi kama sasa hivi ilivyosomwa ripoti ya CAG mambo huku kwetu NI bam bam wateja wamekimbilia ukanda WA chalinze na Tanga kupooza ripoti isisomwe Kwa sauti.

Kabla ya kulaumu mamlaka za uteuzi wanapoteua asiyejiweza tumwangalie kiundani aliyeteuliwa ana nguvu za ziada?
Hamna kitu hapo yeye mwenyewe sangoma yupo yupo tu ! Nguvu za giza zipo lakini sio kihivyo unavyodhania !! Na kote duniani Wakuu waliokalia hivyo viti vikuu ndio magwiji wa hiyo kitu !!
 
Ukikaa vijiwe vya Kahawa Tanga hasa kwamsisi, Handeni na Pangani ukasikiliza Stori za wananchi utatambua umuhimu wa kuziweka mamlaka za uteuzi mikononi mwa Mungu.

Watu wanaratiba kabisa yakwenda kuongeza nguvu za kimamlaka wengine wanatumia magari binafsi huku wachache wakitumia magari ya umma. Likipita gari kuingia chocho au likipaki mfano kwamsisi unasikia Mzee huyo anakwenda kupata huduma.

Wapo watu wanaacha walinzi na V8 mbali wanapanda bodaboda kuficha identity; baadhi wanatuma gari kwenda kuchukua wataalam nakuwapeleka Dodoma au DSM kutoa tiba ya madaraka.

Unapoongoza wizara, Idara au nchi ambayo watu wake wanaamini katika tamaduni na baadhi wanamwamini Mungu NI vigumu kujua kama umefanya uteuzi Kwa kuzingatia vigezo au umekuwa drived na nguvu za Giza au nguvu za wataalam wa tamaduni.

Unashangaa hata wavaa magwanda wanaopambana na waganga wa kienyeti nao wanaponea hukohuko. Baadhi kama sasa hivi ilivyosomwa ripoti ya CAG mambo huku kwetu NI bam bam wateja wamekimbilia ukanda WA chalinze na Tanga kupooza ripoti isisomwe Kwa sauti.

Kabla ya kulaumu mamlaka za uteuzi wanapoteua asiyejiweza tumwangalie kiundani aliyeteuliwa ana nguvu za ziada?
Wengine tabia za kishoga hujifunzia huko! Ili dawa ya mganga iingie vizuri huenda anatumia dudu yake kuipenyeza, na dozi ni kila mwezi!

Mbinu za Ibilisi ni zilezile,
a. Using stage
Uhitaji wa kinga
b. Misusing stage
Dawa inapotumika
c. Abusing stage
Utumwa kwa tabia za ajabu
d. Confusing stage
Fedheha na majuto

Bwana Yesu Kristo ndiye njia, kweli na uzima.
 
Unapoongoza wizara, Idara au nchi ambayo watu wake wanaamini katika tamaduni na baadhi wanamwamini Mungu NI vigumu kujua kama umefanya uteuzi Kwa kuzingatia vigezo au umekuwa drived na nguvu za Giza au nguvu za wataalam wa tamaduni.
Na hiyo ni hatari ipo siku watamvika miwani ya mbao anayeteua akajikuta anagawa nafasi yake kwa wengine
 
Huko Tanga nasikia kuna mtaalamu hatari hata kwenye mambo ya biashara
 
Wakati ule wa jiwe, mafundi wake walikuwa kigoma, akawa anajifanya kwenda Chato mara nyingi wakati anaingia madarakani, halafu usiku convoy ya gari chache inachapa mwendo kwenda kigoma kwa mtaalamu,inarudi alfajiri
 
Wakati ule wa jiwe, mafundi wake walikuwa kigoma, akawa anajifanya kwenda Chato mara nyingi wakati anaingia madarakani, halafu usiku convoy ya gari chache inachapa mwendo kwenda kigoma kwa mtaalamu,inarudi alfajiri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Muda wao huu kwa waganga.... Mshana Jr

Waganga wa jadi wanaichungulia 2024/25 kwa tabasamu pana
 
Tanga kuna wataalam feki siku hizi wameanza kujenga vibanda vya waganga kiholela kama makanisa ya aki na Masanja.
 
Ukikaa vijiwe vya Kahawa Tanga hasa kwamsisi, Handeni na Pangani ukasikiliza Stori za wananchi utatambua umuhimu wa kuziweka mamlaka za uteuzi mikononi mwa Mungu.

Watu wanaratiba kabisa yakwenda kuongeza nguvu za kimamlaka wengine wanatumia magari binafsi huku wachache wakitumia magari ya umma. Likipita gari kuingia chocho au likipaki mfano kwamsisi unasikia Mzee huyo anakwenda kupata huduma.

Wapo watu wanaacha walinzi na V8 mbali wanapanda bodaboda kuficha identity; baadhi wanatuma gari kwenda kuchukua wataalam nakuwapeleka Dodoma au DSM kutoa tiba ya madaraka.

Unapoongoza wizara, Idara au nchi ambayo watu wake wanaamini katika tamaduni na baadhi wanamwamini Mungu NI vigumu kujua kama umefanya uteuzi Kwa kuzingatia vigezo au umekuwa drived na nguvu za Giza au nguvu za wataalam wa tamaduni.

Unashangaa hata wavaa magwanda wanaopambana na waganga wa kienyeti nao wanaponea hukohuko. Baadhi kama sasa hivi ilivyosomwa ripoti ya CAG mambo huku kwetu NI bam bam wateja wamekimbilia ukanda WA chalinze na Tanga kupooza ripoti isisomwe Kwa sauti.

Kabla ya kulaumu mamlaka za uteuzi wanapoteua asiyejiweza tumwangalie kiundani aliyeteuliwa ana nguvu za ziada?
Karne ya 21 watu bado wanakimbizana na hizi imani mfu!
 
Wengine tabia za kishoga hujifunzia huko! Ili dawa ya mganga iingie vizuri huenda anatumia dudu yake kuipenyeza, na dozi ni kila mwezi!

Mbinu za Ibilisi ni zilezile,
a. Using stage
Uhitaji wa kinga
b. Misusing stage
Dawa inapotumika
c. Abusing stage
Utumwa kwa tabia za ajabu
d. Confusing stage
Fedheha na majuto

Bwana Yesu Kristo ndiye njia, kweli na uzima.
Na sisi wapindua madhabahu yao tukiyavuruga, changanya, choma unasikia katumbuliwa 😁
 
Back
Top Bottom