Kwa Kasi iliyopo ya viongozi kwenda Kwa wataalam huko Tanga mamlaka za uteuzi zisilalamikiwe bali tuziombee

Kwa Kasi iliyopo ya viongozi kwenda Kwa wataalam huko Tanga mamlaka za uteuzi zisilalamikiwe bali tuziombee

Ukikaa vijiwe vya Kahawa Tanga hasa kwamsisi, Handeni na Pangani ukasikiliza Stori za wananchi utatambua umuhimu wa kuziweka mamlaka za uteuzi mikononi mwa Mungu.

Watu wanaratiba kabisa yakwenda kuongeza nguvu za kimamlaka wengine wanatumia magari binafsi huku wachache wakitumia magari ya umma. Likipita gari kuingia chocho au likipaki mfano kwamsisi unasikia Mzee huyo anakwenda kupata huduma.

Wapo watu wanaacha walinzi na V8 mbali wanapanda bodaboda kuficha identity; baadhi wanatuma gari kwenda kuchukua wataalam nakuwapeleka Dodoma au DSM kutoa tiba ya madaraka.

Unapoongoza wizara, Idara au nchi ambayo watu wake wanaamini katika tamaduni na baadhi wanamwamini Mungu NI vigumu kujua kama umefanya uteuzi Kwa kuzingatia vigezo au umekuwa drived na nguvu za Giza au nguvu za wataalam wa tamaduni.

Unashangaa hata wavaa magwanda wanaopambana na waganga wa kienyeti nao wanaponea hukohuko. Baadhi kama sasa hivi ilivyosomwa ripoti ya CAG mambo huku kwetu NI bam bam wateja wamekimbilia ukanda WA chalinze na Tanga kupooza ripoti isisomwe Kwa sauti.

Kabla ya kulaumu mamlaka za uteuzi wanapoteua asiyejiweza tumwangalie kiundani aliyeteuliwa ana nguvu za ziada?
Tumelaaniwa hadi mvua zimegoma shauri ya ushirikina na wizi ndani ya nchi...
 
Ukikaa vijiwe vya Kahawa Tanga hasa kwamsisi, Handeni na Pangani ukasikiliza Stori za wananchi utatambua umuhimu wa kuziweka mamlaka za uteuzi mikononi mwa Mungu.

Watu wanaratiba kabisa yakwenda kuongeza nguvu za kimamlaka wengine wanatumia magari binafsi huku wachache wakitumia magari ya umma. Likipita gari kuingia chocho au likipaki mfano kwamsisi unasikia Mzee huyo anakwenda kupata huduma.

Wapo watu wanaacha walinzi na V8 mbali wanapanda bodaboda kuficha identity; baadhi wanatuma gari kwenda kuchukua wataalam nakuwapeleka Dodoma au DSM kutoa tiba ya madaraka.

Unapoongoza wizara, Idara au nchi ambayo watu wake wanaamini katika tamaduni na baadhi wanamwamini Mungu NI vigumu kujua kama umefanya uteuzi Kwa kuzingatia vigezo au umekuwa drived na nguvu za Giza au nguvu za wataalam wa tamaduni.

Unashangaa hata wavaa magwanda wanaopambana na waganga wa kienyeti nao wanaponea hukohuko. Baadhi kama sasa hivi ilivyosomwa ripoti ya CAG mambo huku kwetu NI bam bam wateja wamekimbilia ukanda WA chalinze na Tanga kupooza ripoti isisomwe Kwa sauti.

Kabla ya kulaumu mamlaka za uteuzi wanapoteua asiyejiweza tumwangalie kiundani aliyeteuliwa ana nguvu za ziada?
Watu wanamkaanga Katibu Mkuu Kiongozi na Mama kwenye chungu.Hii shughuli Bi.Jenista atakuwa anaelewa kwa upana!
 
Wakati ule wa jiwe, mafundi wake walikuwa kigoma, akawa anajifanya kwenda Chato mara nyingi wakati anaingia madarakani, halafu usiku convoy ya gari chache inachapa mwendo kwenda kigoma kwa mtaalamu,inarudi alfajiri
Maisha ni vita Mura jikombe ukomborewe!!!
 
Wale wapiga deal za hela ya ndege ya cargo, hawajajaa huko Tanga kweli, maana sijasikia mtu kajiuzulu, Mkuu wa nchi kasema kwa ukali mkubwa sana watupishe, yaani waondoke, yaani wajiuzulu, yaani waachie positions zao kwa hiari, sijasikia hata mmoja kaachia ngazi, au ndio wako huko Tanga nini?
 
Back
Top Bottom