Kwa kasi ya Mchina na Electric Vehicles (EV), sio muda tutapishana nazo Dar

Kwa kasi ya Mchina na Electric Vehicles (EV), sio muda tutapishana nazo Dar

Kiboko yake betri ikiisha muda Bei ya ku replace itapita Kwa mbali sana Sababu ni karibu nusu ya Bei ya Kununua gari la umeme
Sure mkuu. Kwa nchi kama Tanzania ambao tumezoea kununua magari used itatusumbua ila ukinunua jipya au ambalo battery yake imebadirishwa kabla haujauziwa nadhani itakua fresh.

Kwa mfano, Tesla Model 3 niliona wanajisifu (sasa sijui ni lugha ya Market au ni ukweli) kwamba battery ya gari lao lina Life Expectancy ya Miles 300,000 hadi Miles 500,000 hivi, au 1,500 battery cycles.

Kwa lugha nyepesi, kwa dereva wa kawaida (achana na magari ya makampuni au serikali), ambae kwa mwaka anaendesha 20,000 kilometa au tuseme average ya kilometa 55 hivi kwa siku, under normal conditions battery itadumu kwa miaka 22 hadi 37.
 
Kiboko yake betri ikiisha muda Bei ya ku replace itapita Kwa mbali sana Sababu ni karibu nusu ya Bei ya Kununua gari la umeme
Ni kweli lakini gari una charge tu inakwenda hakuna cha kuweka mafuta hio huoni kimahesabu ni nafuu sana, halafu lifespan ya battery si kwamba kila mwaka unabadili, ukifanya mahesabu utagundua gari ya mafuta ina gharama kiuendeshaji.

Mfano mtu anayeendesha Fortuner au V8 vipi akitumia SUV ya umeme, ameokoa pesa kiasi gani..
 
Ni kweli lakini gari una charge tu inakwenda hakuna cha kuweka mafuta hio huoni kimahesabu ni nafuu sana, halafu lifespan ya battery si kwamba kila mwaka unabadili, ukifanya mahesabu utagundua gari ya mafuta ina gharama kiuendeshaji.

Mfano mtu anayeendesha Fortuner au V8 vipi akitumia SUV ya umeme, pesa kiasi gani..
Betri full inaenda kilomita 400 ikifika hapo inabidi utafute kiti kabisa ukae kituo Cha umeme usubiri masaa betri ichaji sio chini ya masaa matatu hadi sita kutegenea na kituo Cha kuchaji Wana charger aina Gani ndio uendelee na safari

Inapoteza muda sana njiani Kwa safari ndefu kusimama muda mrefu kuchaji betri kuliko kujaza Mafuta au Gesi ya Cng na uwe na bahati hicho kituo unajaza umeme wawe na chaja nyingi na kisiwe na foleni .Vinginevyo safari tu ya Dar Arusha waweza tumia Sasa 18 au ukafika alfajiri wakatonuliondojsvdarvsaa 12 asubuhi
 
Ha
Betri full inaenda kilomita 400 ikifika hapo inabidi utafute kiti kabisa ukae kituo Cha umeme usubiri masaa betri ichaji sio chini ya masaa matatu hadi sita kutegenea na kituo Cha kuchaji Wana charger aina Gani ndio uendelee na safari

Inapoteza muda sana njiani Kwa safari ndefu kusimama muda mrefu kuchaji betri kuliko kujaza Mafuta au Gesi ya Cng na uwe na bahati hicho kituo unajaza umeme wawe na chaja nyingi na kisiwe na foleni .Vinginevyo safari tu ya Dar Arusha waweza tumia Sasa 18 au ukafika alfajiri wakatonuliondojsvdarvsaa 12 asubuhi
ya magari kwenye hii issue ya recharge ndo sehemu ya tafakuri, ila miaka kama 20 mbele natumaini tech iwe imeadvance zaidi
 
Betri full inaenda kilomita 400 ikifika hapo inabidi utafute kiti kabisa ukae kituo Cha umeme usubiri masaa betri ichaji sio chini ya masaa matatu hadi sita kutegenea na kituo Cha kuchaji Wana charger aina Gani ndio uendelee na safari

Inapoteza muda sana njiani Kwa safari ndefu kusimama muda mrefu kuchaji betri kuliko kujaza Mafuta au Gesi ya Cng na uwe na bahati hicho kituo unajaza umeme wawe na chaja nyingi na kisiwe na foleni .Vinginevyo safari tu ya Dar Arusha waweza tumia Sasa 18 au ukafika alfajiri wakatonuliondojsvdarvsaa 12 asubuhi
Lakini hizo km 400 kwa gari ya mafuta ni bei gani?
Naona ni bora hio ya umeme inaokoa gharama sana aisee.
 
Betri full inaenda kilomita 400 ikifika hapo inabidi utafute kiti kabisa ukae kituo Cha umeme usubiri masaa betri ichaji sio chini ya masaa matatu hadi sita kutegenea na kituo Cha kuchaji Wana charger aina Gani ndio uendelee na safari

Inapoteza muda sana njiani Kwa safari ndefu kusimama muda mrefu kuchaji betri kuliko kujaza Mafuta au Gesi ya Cng na uwe na bahati hicho kituo unajaza umeme wawe na chaja nyingi na kisiwe na foleni .Vinginevyo safari tu ya Dar Arusha waweza tumia Sasa 18 au ukafika alfajiri wakatonuliondojsvdarvsaa 12 asubuhi
Sure umeongea vitu vya msingi sana. Mfano unatoka Dar to Mbeya. Karibia Kilometa 1000 na gari lako lina range ya 400 kilometa, inabidi angalau uchaji njiani mfano unatoka Dar to Moro unavobreak unachaji.
Unafika Iringa for lunch unachaji tena. Unaweza fika kihivyo tofauti na gari la mafuta au gesi.

Kwa Tanzania itakua challenge pia ya availability ya hivyo vituo vya kuchaji. Ila kwa wenzetu vioo vingi na vipo kwenye ramani kabisa unavyoplan Trip unaona kabisa.
images (9).jpeg

Mfano hapa inakupa kabisa chaja utakazokutana nazo njiani, bei na kama ni fast charger or normal.

Kuhusu kusubiria muda wa kuchaji ilikua zamani sio sasa, baada ya kuja kwa SuperChargers. Tesla ana supercharger ambazo zinaweza kukupa Miles 200 kwa dakika 15 tu. Sema ni Tesla za kuanzia mwaka 2018 ndio zina supercharger ability zingine itabidi ichukue muda kidogo.

Najua challenge bado ni nyingi ila tuipe zikijaa Tanzania tatizo la charger litakua ndoto.
 
Betri full inaenda kilomita 400 ikifika hapo inabidi utafute kiti kabisa ukae kituo Cha umeme usubiri masaa betri ichaji sio chini ya masaa matatu hadi sita kutegenea na kituo Cha kuchaji Wana charger aina Gani ndio uendelee na safari

Inapoteza muda sana njiani Kwa safari ndefu kusimama muda mrefu kuchaji betri kuliko kujaza Mafuta au Gesi ya Cng na uwe na bahati hicho kituo unajaza umeme wawe na chaja nyingi na kisiwe na foleni .Vinginevyo safari tu ya Dar Arusha waweza tumia Sasa 18 au ukafika alfajiri wakatonuliondojsvdarvsaa 12 asubuhi
Kazi ipo i thought zime improve kwenye charging.
 
Back
Top Bottom