Kwa kasi ya Mchina na Electric Vehicles (EV), sio muda tutapishana nazo Dar

Kwa kasi ya Mchina na Electric Vehicles (EV), sio muda tutapishana nazo Dar

Hakuna ubishi, Dunia inabadili mfumo mzima wa usafiri
Sisi badala ya kusubiri naona mama badala ya kwenda na wasanii nje angeenda na mafundi magari
Ila akili zetu hata shetani anatushangaa
Basi tufungue hata kiwanda cha kutengeneza batteries kwa hizo safari mbona anaweza
Hivi nani anawashauri ?
 
Hakuna ubishi, Dunia inabadili mfumo mzima wa usafiri
Sisi badala ya kusubiri naona mama badala ya kwenda na wasanii nje angeenda na mafundi magari
Ila akili zetu hata shetani anatushangaa
Basi tufungue hata kiwanda cha kutengeneza batteries kwa hizo safari mbona anaweza
Hivi nani anawashauri ?
Rais ashakopa Korea kusini kitu utakachoona ni kampuni za kutengeneza mabetri za LG Energy Solution, SK On na Samsung SDI zikichukua madini kirahisi. Mi nilidhani hiyo ziara serikali ingewashawishi hizo kampuni kujenge Battery manufacturing plants Kwa njia ya ubia Ila Niliona mambo ya Sanaa na PhD Tu. Tuna Safari ndefu Sana.
 
Rais ashakopa Korea kusini kitu utakachoona ni kampuni za kutengeneza mabetri za LG Energy Solution, SK On na Samsung SDI zikichukua madini kirahisi. Mi nilidhani hiyo ziara serikali ingewashawishi hizo kampuni kujenge Battery manufacturing plants Kwa njia ya ubia Ila Niliona mambo ya Sanaa na PhD Tu. Tuna Safari ndefu Sana.
Unajua kwanini wengi wanashindwa kuwekeza kwetu?
Mikataba isiyo na mbele wala nyuma, kuna watu na PhD zao ila maamuzi na mipango hawajui kabisa
Wao swali la kwanza ni kuwa mimi unanipa ngapi?

Kuna watu watatu nawajua walikuja kuwekeza kujenga viwanda yaani kwanza walianza kuhojiwa mpaka hela zao
Kufika ardhi ndio balaa, yaani walikimbilia UG, na Zambia ndio wamefungua viwanda vyao
Mkuu mswahili hata viatu ulivyovaa anatamani akuvue
 
Back
Top Bottom