stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Gari ya umeme ni expensive Kuliko gari ya mafuta, labda kama unazungumzia Bajaji na piki piki au gari inayozunguka posta na karikaoo pekee na Mwenge au SinzaNi kweli lakini gari una charge tu inakwenda hakuna cha kuweka mafuta hio huoni kimahesabu ni nafuu sana, halafu lifespan ya battery si kwamba kila mwaka unabadili, ukifanya mahesabu utagundua gari ya mafuta ina gharama kiuendeshaji.
Mfano mtu anayeendesha Fortuner au V8 vipi akitumia SUV ya umeme, ameokoa pesa kiasi gani..
Battey zake ni ghari kuliko gari lenyewe na zina lifespanNgoja tusubiri 2028 hivi zitakua nusu bei.
Wanaharibu Mazingira Africa wanatunza ya kwao... EV ni scam Fulani hivi ila Watu tunapenda vitu vya KisasaHydrogen is one of the most abundant element and is the future of energy in transportation.
EV is just another scam like others..ukifuatilia ev vehicles Zina uharibifu zaidi wamazingira kwa kupima vyanzo vya betri zake, disposal na upatikanaji wa madini yanayotumika katika uundani wake na source ya umeme unaotumika.
Toyota hili wamelitambua mapema..
Hizo bei ni kwa genuine battery toka kiwandani, ngoja nikuulize unajua bei ya engine ya ist brand new toka kwa toyota wenyewe? Je bongo hii nani angeiweza? Lakini sasa hivi chini ya 2mill unabadili engine kwa mitumba na spea za kichina kibao mtaani. Juzi nlikuwa natafuta genuine engine block ya pikipiki yamaha 4gl ya cc90, za kichina 25,000 huku mitaani, ila original kwenye mtandao wa Katayama japan ni 500,000 bado usafiri, battery za hizi gari za hybrid hapo nairobi kuna jamaa wanauza cell moja laki moja ya tanzania, na gari nyingi hybrid wana cells hadi 30, na watu wanapima ipi cell iko weak na inakuwa replaced maisha yanasonga, sasa wafikir battery itakuwa ni tabu? Wait and seeIssue Iko kwenye ku replace battery ikiisha hapo mziki ndio upo
Electric car battery replacement costs outside of warranty can range from $6,500 to $20,000
Battery ni ghali ila sio kuliko gari lenyewe. Tumeona mfano hapo juu kwenye Tesla Model 3.Battey zake ni ghari kuliko gari lenyewe na zina lifespan
[emoji16][emoji16][emoji16]Aisee. I can imagine. Nina 0 exp na EV.
Sijui itakuaje pale mji mzima hakuna sauti za gari ila gari zinapita, na hawa ndugu zetu wa boda wakiletewa za umeme ndo itakuwa kuvunjana bila makelele maana hutamsikia akija huko na maspeed.
Neno la msingi.Kuna pesa nyingi ikitokea vijana kwenda kusoma na kuelewa mifumo ya hizi gari za umeme na hizi hybrid.
Mwanzoni kabla hata mafundi wengi hawajazinduka lazima upige vibunda vya kutosha.
Sasa kuliko kununua battery si bora ununue gari jipya?Battery ni gari ila sio kuliko gari lenyewe. Tumeona mfano hapo juu kwenye Tesla Model 3.
Na pia lifespan ilikua magari ya umeme ya zamani mfano Nissan Leaf, ila Tesla battery yake tumetoa mfano apo inaweza kukaa miaka 22 na kuendelea.
Imagine.
Mkuu si useme tu uliinunua?!Niliona Porsche Panamera full EV aisee niliipenda, inakimbia balaa halafu kimya.
washaanza kujiongeza mkuu tayari huku kwetu washamiliki ardhi ya ekari ml8!Mimi ninawawazia ndugu zangu Waarabu na Mafuta yao. Mbona Ntihani huu!!?
(1) Battery ya Model 3 ina dumu Kilometa 600,000 au zaidi. Corolla engine yake inadumu kilometa ngapi?Umeshawahi kuuliza gharama za betri, betri replacement inacost 150% ya original cost ya Tesla.
Vipi kuhusu moto, hisi gari zikiwaka moto hata uitumbukize baharini haizimiki inaendelea kuungua hadi iishe.
Do your research on after market issues.