Kwa Katiba hii mbovu Rais anaweza kuuza mkoa wa Arusha na asihojiwe wala kushitakiwa mahala popote. Tuibadilishe

Kwa Katiba hii mbovu Rais anaweza kuuza mkoa wa Arusha na asihojiwe wala kushitakiwa mahala popote. Tuibadilishe

Nilimsikia waziri Ndumbaro pale bungeni akisigina manung'uniko na malalamiko ya wamaasai kuondolewa kwenye ardhi yao ya asili Ngorongoro.

Ndumbaro alisema "ardhi siyo ya kabila fulani, ardhi ni mali ya watanzania wote. Kwa mujibu wa katiba ardhi yote iko chini ya rais".

Kwahiyo basi, katiba imempa mhe rais madaraka na mamlaka ya kuamua chochote juu ardhi ya eneo fulani kama ikodishae, iuzwe, ama igawiwe bure kwa wananchi, marafiki wa nje n.k. Hii ni hatari.

Hatuombei atakuja rais kichaa atauza ama kutoa kama zawadi ya birthday ardhi yote ya mkoa fulani kwa nchi ama makampuni ya nje. Na Wala hatoshitakiwa.

Tupate katiba mpya ndugu zangu watanzania.
HUO NI UJINGA WA MAWAZO NI SEHEMU GANI YA HII KATIBA INAMRUHUSU RAIS KUUZA SEHEMU YA NCHI? ACHENI KUKURUPUKA
 
HUO NI UJINGA WA MAWAZO NI SEHEMU GANI YA HII KATIBA INAMRUHUSU RAIS KUUZA SEHEMU YA NCHI? ACHENI KUKURUPUKA
HAIJAMRUHUSU ILA PIA HAIJAMUONYA KUWA AKIAMUA KUUZA ITAMUWAJIBISHA VIPI HIVYO KATIBA YA SASA INATEGEMEA HURUMA YA RAIS ILA AKIAMUA HATUNA LA KUMFANYA... UKUBALI UKATAE KATIBA MPYA NA BORA HUU NDIYO WAKATI WAKE
 
HAIJAMRUHUSU ILA PIA HAIJAMUONYA KUWA AKIAMUA KUUZA ITAMUWAJIBISHA VIPI HIVYO KATIBA YA SASA INATEGEMEA HURUMA YA RAIS ILA AKIAMUA HATUNA LA KUMFANYA... UKUBALI UKATAE KATIBA MPYA NA BORA HUU NDIYO WAKATI WAKE
hakuna umuhimu wa katiba mpya wakati hii ya sasa hamuijui sasa katiba yooote hii kweli imuache mtu anayeiba mali ya umma? siyo kweli hebu muijue kwanza hii iliyopo halafu ndiyo mseme ni mahali gani pabadirishwe
 
hakuna umuhimu wa katiba mpya wakati hii ya sasa hamuijui sasa katiba yooote hii kweli imuache mtu anayeiba mali ya umma? siyo kweli hebu muijue kwanza hii iliyopo halafu ndiyo mseme ni mahali gani pabadirishwe
Bado upo usingizini endelea kulala ukiamka tushafikia lengo katiba mpya na Bora ni muhimu kwa TANZANIA ya Sasa na ya baadae mwenye akili ataelewa ila mbumbumbu wataendelea kusumbua wengine
 
Nilimsikia waziri Ndumbaro pale bungeni akisigina manung'uniko na malalamiko ya wamaasai kuondolewa kwenye ardhi yao ya asili Ngorongoro.
Ndumbaro alisema "ardhi siyo ya kabila fulani, ardhi ni mali ya watanzania wote. Kwa mujibu wa katiba ardhi yote iko chini ya rais".

Kwahiyo basi, katiba imempa mhe rais madaraka na mamlaka ya kuamua chochote juu ardhi ya eneo fulani kama ikodishae, iuzwe, ama igawiwe bure kwa wananchi, marafiki wa nje n.k. Hii ni hatari.

Hatuombei atakuja rais kichaa atauza ama kutoa kama zawadi ya birthday ardhi yote ya mkoa fulani kwa nchi ama makampuni ya nje. Na Wala hatoshitakiwa.

Tupate katiba mpya ndugu zangu watanzania.
Hili ni kati wa mabandiko dhaifu sana humu JF kwa siku za karibuni!
 
HUO NI UJINGA WA MAWAZO NI SEHEMU GANI YA HII KATIBA INAMRUHUSU RAIS KUUZA SEHEMU YA NCHI? ACHENI KUKURUPUKA

Kwa lugha rahisi kama katiba haijaweka mipaka /katazo la kufanya hivyo literally ni sawa na kuruhusu jambo hilo.
 
Yanabana lakini yataachia.Katiba mpya ni lazima,huwezi kuzuia hitaji la wenye nchi yao🐒🐒🐒
 
Back
Top Bottom