Kwa Katiba za nchi nyingine Spika ndiye angekuwa Rais kwa miezi mitatu

Kwa Katiba za nchi nyingine Spika ndiye angekuwa Rais kwa miezi mitatu

Bora ingekua hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi

Hii ni awamu ya sita. Chungulia nje uone bendera ziko full milingoti!

Awamu ya tano imekwisha wajameni. Msitucheleweshe!
 
Bora ingekua hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi
Unateseka ukiwa wapi mkuu
 
Bora ingekua hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi
Msu **** vipi mbona povu jingi sana. Hebu kunywa maji kidogo upunguze presha.
Kubalini tu kuwa jiwe halipo; sasa hivi nchi ina furaha na amani tele

Kuku maji nyie
 
huyu jamaa wa Kongwa angechukua hata umakamu tungemalizwa na bakora
Bunge tu kaliharibu kafukuza wapinzani kwa matakwa yake
kwa Mama safari aruhusu Tume huru kwani wataumbuka wengi
 
Katiba yetu ni nzuri sana ndio maana mambo yote yameenda kwa amani kabisa ndani ya siku 21 za maombolezo.

Katika baadhi ya nchi Rais akifa Spika ndio anaongoza nchi kwa siku 90 na kuitisha uchaguzi.

Ndio kusema ingekuwa hapa, Spika Ndugai ndiye angekuwa mkuu wa nchi na baadae kusimamia zoezi zima la uchaguzi.

Chadema wangelia lia sana

Ukinizingua Nakuzingua!

Ikiwa tutaanza kufuata ndoto basi kama mali za asili zilizopo tanzania zingekuwa nchi nyengine mshahara wa chini kabisa ungekuwa dola 3,000. yaani mshahara wa mlinzi na mfagiaji vyoo.
 
Bora ingekua hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi
Sageni chupa mnywe, Samia ndo Rais hadi mwaka 2045, wasukuma mtapata tabu sana ,
 
Katiba yetu ni nzuri sana ndio maana mambo yote yameenda kwa amani kabisa ndani ya siku 21 za maombolezo.

Katika baadhi ya nchi Rais akifa Spika ndio anaongoza nchi kwa siku 90 na kuitisha uchaguzi.

Ndio kusema ingekuwa hapa, Spika Ndugai ndiye angekuwa mkuu wa nchi na baadae kusimamia zoezi zima la uchaguzi.

Chadema wangelia lia sana

Ukinizingua Nakuzingua!
Ndugai.........????
 
Wewe mataga kuwa na imani na mwana ccm mwenzako! Sasa wewe ukikosa imani, itakuwaje kwetu sisi ambao hatujawahi kamwe kuielewa ccm na viongozi wake?
Hahaha. Watani tunacheza wenyewe safari hii, nyie nunue pop corn tu, Tanzania ni nchi ya chama kimoja, kumsaidia mama ni kumkosoa sio kumshangilia. Halafu eti anataka kurudisha misamaha ya kodi!! Basi na wafanyakazi wasamehewe kodi kama ndio hivo
 
Katiba yetu ni nzuri sana ndio maana mambo yote yameenda kwa amani kabisa ndani ya siku 21 za maombolezo.

Katika baadhi ya nchi Rais akifa Spika ndio anaongoza nchi kwa siku 90 na kuitisha uchaguzi.

Ndio kusema ingekuwa hapa, Spika Ndugai ndiye angekuwa mkuu wa nchi na baadae kusimamia zoezi zima la uchaguzi.

Chadema wangelia lia sana

Ukinizingua Nakuzingua!
Tungeongeza ubani naye angetwaliwa hata wiki asingemaliza
 
Bora ingekua hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi
kama uliishi vizuri wewe kwa mfumo uliokuwepo kaa pembeni kidogo yaani mambo hayaendi biashara tumefunga halafu unataka tusibadilike... Agayaaa.
 
Back
Top Bottom