Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule aliyesema wapinzani wakipotezwa wasiulizwe alichukuliwa hatua gani? Ili tuone utendaji stahiki wa polisi?View attachment 3068006View attachment 3068007
Nimenukuu barua ya Polisi ya tarehe 11/ 08/ 2024
View attachment 3068017
Hata mbuyu ulianza kama mchicha. Twaha Mwaipaya anataka GEN Z ya Tanzania iigize yaliyotokea Kenya. Kongole Tanpol kwa hatua mliyochukua.
Yule aliyesema wapinzani wakipotezwa wasiulizwe alichukuliwa hatua gani? Ili tuone utendaji stahiki wa polisi?
Kuna watu hawana kabisa critical thinking.Wamejawa na fikra za mapokeo.Kosa la hizo statement liko wapi? Kuwaambia vijana waamke wapiganie haki zao? Kutumia haki yao kisheria kukusanyika kwenye mkutano wa siasa?
Tatizo lenu mnasoma hizo statement mkitawaliwa na fikra potofu, fikra hasi, kwamba hizo kauli zinachochea vurugu, kwanini muogope hizo kauli kama mnaamini hamjakosea popote?
Mnajua ukweli nyie ni waovu, mnakandamiza haki za watu ndio maana hamtaki wapiganie haki zao, hivyo kwenu wao kuamka kudai haki zao, kwenu ni kauli ya hatari sababu ya uovu wenu.
Hawa polisi nimegundua wanapenda kutukanwa.Yule aliyesema wapinzani wakipotezwa wasiulizwe alichukuliwa hatua gani? Ili tuone utendaji stahiki wa polisi?
ni muhmu sana jeshi imara la polisi likamzidishia mbinyo zaidi kisawasawa, ili aelezea zaidi na kwa kina, mipango hiyo ya kihalifu na kuwataja washirika wenzake wote, ili iwe fundisho kwa wahalifu wengine nchiniView attachment 3068006View attachment 3068007
Nimenukuu barua ya Polisi ya tarehe 11/ 08/ 2024
View attachment 3068017
Hata mbuyu ulianza kama mchicha. Twaha Mwaipaya anataka GEN Z ya Tanzania iigize yaliyotokea Kenya. Kongole Tanpol kwa hatua mliyochukua.

Chama chake kilijitenga na kauli yake na kilitoa tamko. Chadema walimkemea?Yule aliyesema wapinzani wakipotezwa wasiulizwe alichukuliwa hatua gani? Ili tuone utendaji stahiki wa polisi?
Kuna Wakenya zaidi ya 50 wamefariki kwenye maandamano ya Gen Z. Kuna Wakenya zaidi ya 200 wamejeruhiwa na wanatibia majeraha kwenye hospitali mbalimbalk. Zaidi ya hapo kuna uharibifu wa mali za umma na binafsi.Kosa la hizo statement liko wapi? Kuwaambia vijana waamke wapiganie haki zao? Kutumia haki yao kisheria kukusanyika kwenye mkutano wa siasa?
Tatizo lenu mnasoma hizo statement mkitawaliwa na fikra potofu, fikra hasi, kwamba hizo kauli zinachochea vurugu, kwanini muogope hizo kauli kama mnaamini hamjakosea popote?
Mnajua ukweli nyie ni waovu, mnakandamiza haki za watu ndio maana hamtaki wapiganie haki zao, hivyo kwenu wao kuamka kudai haki zao, kwenu ni kauli ya hatari sababu ya uovu wenu.
Ni wewe huyo hujaona kwa vile huna mafunzo yanayohusu chanzo cha ghasia, athari za ghasia na namna ya kuepuka ghasia.Mimi sijaona matamshi hayo yana viashiria gani vya kuvunja amani au kuleta vurugu!
View attachment 3068006View attachment 3068007
Nimenukuu barua ya Polisi ya tarehe 11/ 08/ 2024
View attachment 3068017
Hata mbuyu ulianza kama mchicha. Twaha Mwaipaya anataka GEN Z ya Tanzania iigize yaliyotokea Kenya. Kongole Tanpol kwa hatua mliyochukua.
Mdharau mwiba huota tende!! Hata vibinti vya Kenya vilikuwa vidogo kama hivyoUoga tu....vibinti vile mlivovikamata vilikuwa vinaenda kuleta vurugu gani? Watu wanataka kujiwekea maazimio yao mnaleta mihemuko yenu...umbwa kabisa nyie
Suala la waandamanaji kuuawa na kujeruhiwa, na watu kuharibiwa mali zao, hiyo yote ni uzembe wa jeshi la polisi halikuwajibika kuwalinda waandamanaji, na kulinda mali za raia wengine, sio kosa la waandamanaji.Kuna Wakenya zaidi ya 50 wamefariki kwenye maandamano ya Gen Z. Kuna Wakenya zaidi ya 200 wamejeruhiwa na wanatibia majeraha kwenye hospitali mbalimbalk. Zaidi ya hapo kuna uharibifu wa mali za umma na binafsi.
Je nini vijana wa Gen Z wa Kenya walichokipata? Rutto bado ni Rais. Kavunja cabinet halafu kawarudisha nusu ya waliokuwapo.
Wazee kama kina Raila Odinga ndiyo wamefaidi kwa kuwa tayari wameingia kwenye Serikali ya Mseto.
Sasa kuwajaza jazba vijana wa Kitanzania wakadai haki kama Wakenya walivyodai siyo kitu cha kukikalia kimya. Waswahili wanasema "Ukichelea mwana kulia utalia mwenyewe"
Wasiwasi ndiyo akili.
Hakuna cho chote! Kama wangekusanyika huko na silaha ndiyo tungeamini kuna viashiria vya kuvunja amani.Ni wewe huyo hujaona kwa vile huna mafunzo yanayohusu chanzo cha ghasia, athari za ghasia na namna ya kuepuka ghasia.
Kwenye risk management hiyo inaitwa risk mitigation strategy.
Zima tukio kabla HALIJATOKEA
View attachment 3068006View attachment 3068007
Nimenukuu barua ya Polisi ya tarehe 11/ 08/ 2024
View attachment 3068017
Hata mbuyu ulianza kama mchicha. Twaha Mwaipaya anataka GEN Z ya Tanzania iigize yaliyotokea Kenya. Kongole Tanpol kwa hatua mliyochukua.