Kwa kauli hii ya Waziri, kuna moto unafukuta Diamond Vs Serikali (Hakuna Msanii Mkubwa Kuliko Nchi)

Kwa kauli hii ya Waziri, kuna moto unafukuta Diamond Vs Serikali (Hakuna Msanii Mkubwa Kuliko Nchi)

Issue ya Steve naona mnaipaisha bure tuu hivi kuwa msemaji ni tatizo kweli?? Haji Manara si ni msemaji? Yaani vikao vinakaa na kufanya maamuzi then msemaji anaujulisha umma yaliyoamuliwa au mimi ndiyo sijaelewa??
Nyie ndio wajinga mkipewa Nchi mnaendesha Kama Genge la nyanya. Kuwa Spokesperson Ni taaluma Kama ilivyo udaktari au Uhasibu na sio kupiga Lopolopo Kama unavyoongea.


Halafu Nani kakwambia spokesperson wa YaNga Ni Manara! Bumbuli ndio spokesperson wa YaNga kwa sababu ni mwandishi wa habari by profession.


Halafu hicho cheo Cha manara Ni SPOKESPERSON & STRATEGIST ... Sasa kwa akili yako Huyo Steve anaweza kuwa STRATEGIST wa Taasisi yoyote Hapa Tanzania? Au huelew maana ya STRATEGIST?


Nchi hii raia wengi sampuli yako mnatembea Vichwa vimejaa utomvu
Screenshot_2022-03-22-22-46-22-42.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2022-03-22-22-46-22-42.jpg
    Screenshot_2022-03-22-22-46-22-42.jpg
    57.8 KB · Views: 8
Kwahiyo Steve amepitaje mpaka kufikia hapo alipo?

Mifano yangu imetokana na comment niliyoiquote kua "Mchekeshaji hawezi kua msemaji wa wanamuziki"
Kama hujui Steve kapitaje huna unalolijua umebaki kudandia treni acha tukufakamie. Steve kateuliwa na Rais wa shirikisho la muziki. Kwa nafasi ya Spokesperson & Strategist , kwa mujibu wa katiba ya shirikisho hiyo nafasi inabidi mtu apigiwe kura na sio kuteuliwa. So the process was VOID.

Kuweni mnafuatilia Mambo acheni kujifanya mnajua wakati hamna lolote
 
Mchengerwa anafurahisha genge.

Kilq Waziri anakuja na matamko. Hakuna mikakati wala utekelezaji.

Wasanii tuna maoni mengi mazuri wameyafutika kwenye shajara, lakini utasikia kila siku LETENI KERO ZENU.

Wasitufanyie hadaa

Nia yao sio kuwaendeleza nyie wasanii bali kutaka kuwathibiti nyinyi wenyewe na kazi zenu; msiwe na uhuru wa kufanya yale mnayoamini!!! Wanataka wote muimbe mapambio ya ccm !! Hawafurahi kuwaona WAMITEGO na ROMA wanaimba nyimbo za kuwazindua wananchi kwani ujinga wa wananchi ndio mtaji wao!!
 
Mchengerwa anafurahisha genge.

Kilq Waziri anakuja na matamko. Hakuna mikakati wala utekelezaji.

Wasanii tuna maoni mengi mazuri wameyafutika kwenye shajara, lakini utasikia kila siku LETENI KERO ZENU.

Wasitufanyie hadaa
Bashungwa alikuwa jembe aisee
 
Kama hujui Steve kapitaje huna unalolijua umebaki kudandia treni acha tukufakamie. Steve kateuliwa na Rais wa shirikisho la muziki. Kwa nafasi ya Spokesperson & Strategist , kwa mujibu wa katiba ya shirikisho hiyo nafasi inabidi mtu apigiwe kura na sio kuteuliwa. So the process was VOID.

Kuweni mnafuatilia Mambo acheni kujifanya mnajua wakati hamna lolote
Huna akili wewe kiazi,kwani ungejibu bila kuweka hizo taarabu za kijinga ungeachika?
 
Mond is already above next level .. Ku deal naye kunahitaji busara weledi na akili kubww na sio mipasho na maguvu
 
Issue inayozungumziwa hapo ni mchekeshaji kuwa kiongozi wa muziki, sijui umenipata?
Hapana sio kweli diamond kaota mapembe anajiona sana na nyie wapambe wake ndio mnampa kichwa ajione yeye ni mkubwa kuliko nchi
 
Mond is already above next level .. Ku deal naye kunahitaji busara weledi na akili kubww na sio mipasho na maguvu
Serikali is above Everything, ikiamua kudeal na wewe ni dakika 0 tu !

Wanaweza kumpelekea Madai ya Kodi miaka 10 akabaki analia.
 
Serikali is above Everything, ikiamua kudeal na wewe ni dakika 0 tu !

Wanaweza kumpelekea Madai ya Kodi miaka 10 akabaki analia.
Hata Waziri mwenye dhamana mwenyewe anakiri ya kuwa Diamond ndio Msanii anayelipa kodi kubwa zaidi kwa serikali
 
Hata Waziri mwenye dhamana mwenyewe anakiri ya kuwa Diamond ndio Msanii anayelipa kodi kubwa zaidi kwa serikali
Diamond anamshinda Dewji Kwa kulipa Kodi ?

Hukumbuki Kama alitekwa ?

Sijasema kuwa serikali ndio ilimteka mkuu[emoji16][emoji16]

Ila nadhani umenielewa
 
Diamond anamshinda Dewji Kwa kulipa Kodi ?

Hukumbuki Kama alitekwa ?

Sijasema kuwa serikali ndio ilimteka mkuu[emoji16][emoji16]

Ila nadhani umenielewa
Kwahiyo kutekwa na kulipa kodi kunahusiana nini?

Halafu pia jifunze kutofautisha kati ya serikali na Viongozi wa serikali
 
Wasanii wa nchi za dunia ya kwanza huwezi linganisha na hawa wakina Steve Nyerere au Masanja Mkandamizaji.

Kule shule ipo na kichwani wapo vizuri vile vile.

Huku msanii kakulia kwenye kula ugali kila siku usitegemee kamwe awe vizuri kwenye lolote.
Umenikumbusha kitu kimoja mkuu. Mr Bean a.k.a Rowan Atkinson ana BSc Electrical and electronic engineering na MSc in Electrical engineering. Kabla hajajikita zaidi kwenye Comedy, alikua anapiga PhD in Electrical Engineering chuo cha Oxford.
 
Back
Top Bottom