Kwa kichapo wanachochezea wapinzani wa Uganda, ni dhahiri wapinzani wa Tanzania waliona mbali

Kwa kichapo wanachochezea wapinzani wa Uganda, ni dhahiri wapinzani wa Tanzania waliona mbali

Wakikuyu safari hii hawana chao huko kwa manyang’au. Piga ua mjaluo anachukua nchi. Ukabila unawatafuna hadi mifupa.
 
Nyani hua aoni kundule.

Bora siasa za bongo na UG mara 100 kuliko hapo kunyaland huko kuna unafiki mkubwa na mwakani lazima mnyukane na kuhuana sana halafu majirani tutakuja kuwapatanisha
Isifananishe Kenya manyang'au wa Tanzania, jaribu kuficha aibu yako.
 
Hahahaha ila wakenya buana

Yaani watu tumetofautiana sana vipaumbele

Vipaumbele vyenu ni kuona viongozi wakitukanana na kuvuana nguo majukwaani bila yeyote kati yao kufanya mwenzake chochote, hilo kwenu ndio raha 🤣🤣🤣

Vipaumbele kwenu ni kuona wananchi wakimtukana Rais na viongozi wote matusi (sio kujenga hoja) ni kutukanana matusi tu bila yeyote kufanywa chochote, hilo kwenu ndio democracy 🤣🤣🤣


Viongozi wenu wakiwaibia hata billions infinite wala sio issue ya katiba sababu sio kipaumbele chenu [emoji28][emoji28][emoji28]

Viongozi kuwajibika kwa wananchi kikamilifu kwa kuzingatia rasilimali na kutoa huduma stahiki za kijamii sio kipaumbele chenu [emoji28][emoji28][emoji28]

Kipaumbele chenu ni kutukanana kwa uhuru na kubatilisha maamuzi yoyote mnaotaka, hiyo ndio standard of Kenya's democracy 🤣🤣🤣
Nyie mmebaki na kipaumbele cha kuua wapinzani.
 
tanzania sio kenya myfreehen[emoji16][emoji16]

rais kanda ya ziwa(sukuma)
makamo(visiwani)
PM kanda ya kusini(makonde)
speaker kati(dodoma)
chief judge nyada za juu(jita)

embu weka the big 5 wenu tupime jambo hapa[emoji1][emoji1].

Hao wote ila maendeleo yote yamekwenda Chato kwa kabila moja, mumekumbatia ukabila kichwa kichwa....

Kenya...umeomba big five, haya hawa hapa

Rais - Mkikuyu
Makamu - Mkalenjin
Chief Justice - Mkisii
Spika - Mturkana

Hatuna PM position
 
Hao wote ila maendeleo yote yamekwenda Chato kwa kabila moja, mumekumbatia ukabila kichwa kichwa....

Kenya...umeomba big five, haya hawa hapa

Rais - Mkikuyu
Makamu - Mkalenjin
Chief Justice - Mkisii
Spika - Mturkana

Hatuna PM position
Naskia next president ni Ruto au Gideon Moi,
Kikuyus and Kalenjins will forever rule that bandit wretched republic
 
Nyani hua aoni kundule.

Bora siasa za bongo na UG mara 100 kuliko hapo kunyaland huko kuna unafiki mkubwa na mwakani lazima mnyukane na kuhuana sana halafu majirani tutakuja kuwapatanisha
Wapi huko?
 
Hata kenya kanu inatawala tangu uhuru.. u only changed the name of the party, but the same people, msitu mpya Nyani walewale..
Tena mmeongozwa na ukoo mmoja wa wezi for good 60 years manina.
Mwai Kibaki na Moi pia wanatoka kwa ukoo wa Kenyatta? Unajua unachozungumzia wewe kweli?
 
Naskia next president ni Ruto au Gideon Moi,
Kikuyus and Kalenjins will forever rule that bandit wretched republic

Kwa nchi yenu ilivyo kubwa na makabila mengi na huo umaskini uliokubuhu nahisi mtateseka sana kwa hizo sasa mnazofanya za kikabila.
Yaani mpaka Mhehe kama wewe ufikiwe utasubiri na mlivyo kabila linaloongoza kwa wanaojitoa uhai halafu ule msosi wenu pendwa.
 
Ndo maana Mimi nasema AMANI YA NCHI INALINDWA NA RAIA SIO JESHI.
jeshi lipo kwa ajili ya watawala.
tuseme ukweli viongozi wa upinzani Tanzania walitumia BUSARA saanaa.
kwa wizi wa kura na Yale mabeki ya kura feki NI wazi ungetokea nchi nyingine PASINGEKALIKA HAPA
 
Hao wote ila maendeleo yote yamekwenda Chato kwa kabila moja, mumekumbatia ukabila kichwa kichwa....

Kenya...umeomba big five, haya hawa hapa

Rais - Mkikuyu
Makamu - Mkalenjin
Chief Justice - Mkisii
Spika - Mturkana

Hatuna PM position
maendeleo yanakwenda chato[emoji38][emoji38]huku umebana pua.


kusikia uwanja wa ndege,hospital ya rufaa umehisi huzuni,chato kuna watu pia.

ona huyu hapa sijui wataishi wakenya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
images%20(2).jpg
 
Kwa nchi yenu ilivyo kubwa na makabila mengi na huo umaskini uliokubuhu nahisi mtateseka sana kwa hizo sasa mnazofanya za kikabila.
Yaani mpaka Mhehe kama wewe ufikiwe utasubiri na mlivyo kabila linaloongoza kwa wanaojitoa uhai halafu ule msosi wenu pendwa.
kwani cheo kipo kimoja serikalini[emoji38][emoji38][emoji38]

nimekutajia the big 5 hapo juu,bado sijaingia top layer.
utakutana na makabila ambayo hujawahi yasikia.
 
Replica of recent elections in one of the countries of the World 🤣🤣🤣🤣🤣
 
tanzania sio kenya myfreehen[emoji16][emoji16]

rais kanda ya ziwa(sukuma)
makamo(visiwani)
PM kanda ya kusini(makonde)
speaker kati(dodoma)
chief judge nyada za juu(jita)

embu weka the big 5 wenu tupime jambo hapa[emoji1][emoji1].
Leo ndio nimejua pm ni kabila gani unaweza dhani ni utani kumbe walaa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jomo Kenyatta KIKUYU
Daniel Moi KALENJIN
Mwai Kibaki KIKUYU
Uhuru Kenyatta KIKUYU

Hahahaha noma sana.
 
Jomo Kenyatta KIKUYU
Daniel Moi KALENJIN
Mwai Kibaki KIKUYU
Uhuru Kenyatta KIKUYU

Hahahaha noma sana.
Rao sasa hivi anataka makabila yawe yana badilishana urais kila awamu!

Can you imagine Tanzania yenye makabila zaidi ya 120 ifanye huo ujinga [emoji23][emoji23][emoji23]

Ukabila sio poa.
 
Rao sasa hivi anataka makabila yawe yana badilishana urais kila awamu!

Can you imagine Tanzania yenye makabila zaidi ya 120 ifanye huo ujinga [emoji23][emoji23][emoji23]

Ukabila sio poa.
Sasa Kenya wakenya wapo na kabila 42 wakiwa wanabadilishana kwa ukabila.
Let say kila raisi achukue miaka 10
42x10 =420 kuna kabila litapata raisi baada ya miaka 400.

Huo ni upumbavu sijapata kuona
 
maendeleo yanakwenda chato[emoji38][emoji38]huku umebana pua.


kusikia uwanja wa ndege,hospital ya rufaa umehisi huzuni,chato kuna watu pia.

ona huyu hapa sijui wataishi wakenya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1676125

Hadi taa za barabarani, yaani barabara ambazo hupita gari moja baada ya lisaa unawekeza mataa, watu wa huko wanakusanyika kuyashangaa siku yote inaisha wakiwa hapo wamekenua meno.
 
kwani cheo kipo kimoja serikalini[emoji38][emoji38][emoji38]

nimekutajia the big 5 hapo juu,bado sijaingia top layer.
utakutana na makabila ambayo hujawahi yasikia.

Raundi hii Tz mumeiharibu kabisa, mambo ya kikabila kwa viinchi vidogo vyenye makabila machache inaweza isiwe na madhara sana, ila kwa liinchi lote hilo na makabila zaidi ya mia unaanzisha ukabila, sasa makajamba kama kule Kigoma si ndio wamezikwa kabisa maana wale hata kufikiwa na barabara huwa ni kwa mbinde.
 
Back
Top Bottom