Kwa kichapo wanachochezea wapinzani wa Uganda, ni dhahiri wapinzani wa Tanzania waliona mbali

Kwa kichapo wanachochezea wapinzani wa Uganda, ni dhahiri wapinzani wa Tanzania waliona mbali

Raundi hii Tz mumeiharibu kabisa, mambo ya kikabila kwa viinchi vidogo vyenye makabila machache inaweza isiwe na madhara sana, ila kwa liinchi lote hilo na makabila zaidi ya mia unaanzisha ukabila, sasa makajamba kama kule Kigoma si ndio wamezikwa kabisa maana wale hata kufikiwa na barabara huwa ni kwa mbinde.

labda kenya ndio mna tabia ya kupendelea maendeleo kwa kanda fulani.

halafu kwa akili zako za kuvukia barabara,makabila 125 unadhani nchi itatawalika ukianza kuweka ukabila???wewe ndio unaforce ionekane tz kuna ukabila.

ndio maana mnashangaa pamoja na yote hayo huwezi sikia kuna mvutano wa kikabila kuongoza maana kazi ilifanywa na nyerere kujenga umoja wa kitaifa,leo hii hata wakae wamasai tupu pale juu hakuna tatizo,maana wote ni watz.
 
Hadi taa za barabarani, yaani barabara ambazo hupita gari moja baada ya lisaa unawekeza mataa, watu wa huko wanakusanyika kuyashangaa siku yote inaisha wakiwa hapo wamekenua meno.

sasa si bora taa,😆😆😆kwani taa moja inaghalimu taifa zima shilingi ngapi???

kuliko kujenga miladi ya mamilioni ambayo ni supper white fat elephant😆😆kwa pesa ya watu wasio na chakula cha uhakika!!!!!
 
labda kenya ndio mna tabia ya kupendelea maendeleo kwa kanda fulani.

halafu kwa akili zako za kuvukia barabara,makabila 125 unadhani nchi itatawalika ukianza kuweka ukabila???wewe ndio unaforce ionekane tz kuna ukabila.

ndio maana mnashangaa pamoja na yote hayo huwezi sikia kuna mvutano wa kikabila kuongoza maana kazi ilifanywa na nyerere kujenga umoja wa kitaifa,leo hii hata wakae wamasai tupu pale juu hakuna tatizo,maana wote ni watz.

Kwa hayo ya kufanya maendeleo kwa kuzingatia ukabila ndio mnasbabisha nyuzi kama hizi, ona sasa (2) 2025 ni zamu ya Kigoma,tumecheleweshwa mnooo! | JamiiForums
 
sasa si bora taa,😆😆😆kwani taa moja inaghalimu taifa zima shilingi ngapi???

kuliko kujenga miladi ya mamilioni ambayo ni supper white fat elephant😆😆kwa pesa ya watu wasio na chakula cha uhakika!!!!!

Huo ni mfano tu, mumepeleka mara wanyama, mara meli mara sijui nini yaani watu kule ni mwendo wa kukenua meno maana hamkuawaandaa kisaikolojia, mnawashtukiza na hivi vitu....hehehe hadi kicheko yaani.
 
Huo ni mfano tu, mumepeleka mara wanyama, mara meli mara sijui nini yaani watu kule ni mwendo wa kukenua meno maana hamkuawaandaa kisaikolojia, mnawashtukiza na hivi vitu....hehehe hadi kicheko yaani.
Wewe unaenda kupigwa mnada lini? 😅😅😅

Screenshot_20210112-080002~2.png
 
Huo ni mfano tu, mumepeleka mara wanyama, mara meli mara sijui nini yaani watu kule ni mwendo wa kukenua meno maana hamkuawaandaa kisaikolojia, mnawashtukiza na hivi vitu....hehehe hadi kicheko yaani.
Duh!! Yamekuwa haya tena!?
Kwahiyo unataka meli ipelekwe Dodoma!?
Ngoja nikwambie jambo moja dogo.
Tukija kwenye referral hospitals za kanda zipo kama ifuatavyo:-
1. Moshi
2. Hydom(Babati)
3. Dodoma
4. Musoma
5. Mbeya
6. Mtwara
7. Dar es salaam
8. Mwanza
9. Geita
10. Mnazi mmoja(Unguja)

Hebu twende taratibu. Hapa TZ maendeleo yapo kila kona.
 
Nyani hua aoni kundule.

Bora siasa za bongo na UG mara 100 kuliko hapo kunyaland huko kuna unafiki mkubwa na mwakani lazima mnyukane na kuhuana sana halafu majirani tutakuja kuwapatanisha
Kenya wapo vizuri sana upande wa democracy wana changamoto zao za ukabira
 
Raundi hii Tz mumeiharibu kabisa, mambo ya kikabila kwa viinchi vidogo vyenye makabila machache inaweza isiwe na madhara sana, ila kwa liinchi lote hilo na makabila zaidi ya mia unaanzisha ukabila, sasa makajamba kama kule Kigoma si ndio wamezikwa kabisa maana wale hata kufikiwa na barabara huwa ni kwa mbinde.
 
Huo ni mfano tu, mumepeleka mara wanyama, mara meli mara sijui nini yaani watu kule ni mwendo wa kukenua meno maana hamkuawaandaa kisaikolojia, mnawashtukiza na hivi vitu....hehehe hadi kicheko yaani.

hii deal ya wanyama ilikuwa yenu,nimeona mnauzwa kule libya,ni heri tungewapeleka hapo chato😆😆😆
 
hii deal ya wanyama ilikuwa yenu,nimeona mnauzwa kule libya,ni heri tungewapeleka hapo chato😆😆😆

Hao huko Chato unawapelekea simba na nyumbu wakatalii??? Hehehe acheni vituko bana... wale wanahitaji majembe sio hizo sijui international airport maana hata kupanda basi kwao huwa ni kitu kikubwa sasa ndege ndio umewachanganya. Hilo la ukabila mumebugi, na wewe hapo unatetea unaweza kuta ni kajamba wa kule Lindi ila umepofushwa hauoni chochote ilmradi buku saba zinaingia kwenye simu.
 
ni swala la ufinyu wa bajeti na uhalisia wa uwezo wetu kiuchumi😁😁😁.

embu nipe sababu ya kuwasahau ndugu zenu wa nyanda za juu kule😆😆😆.

Ufinyu wa bajeti ndio upeleke mataa ya barabarani kwa watu wasokua hata na magari???? na kuwatelekeza hao wa Kigoma huko ambao hata barabara ni mtihani.
 
Hao huko Chato unawapelekea simba na nyumbu wakatalii??? Hehehe acheni vituko bana... wale wanahitaji majembe sio hizo sijui international airport maana hata kupanda basi kwao huwa ni kitu kikubwa sasa ndege ndio umewachanganya. Hilo la ukabila mumebugi, na wewe hapo unatetea unaweza kuta ni kajamba wa kule Lindi ila umepofushwa hauoni chochote ilmradi buku saba zinaingia kwenye simu.

huwezi kujilinganisha maisha na mtz,never ever.tena usirudie kuita kajamba nani mtz na umeacha mama zako kibera hapo,utapata laana.

hao wanyama wamepatiwa hifadhi eneo jipya sio jambo la ajabu,lakini kwa sababu ni mkoa wa rais,imekuwa tabu mpaka wewe mkenya suruali inakuteremka.
 
Ufinyu wa bajeti ndio upeleke mataa ya barabarani kwa watu wasokua hata na magari???? na kuwatelekeza hao wa Kigoma huko ambao hata barabara ni mtihani.
nimeuliza taa moja ni shilingi ngapi???

je ni sawa na kujenga reli iliyoishia njiani😂😂😂.
 
Yani ndugu zetu kenya tukiachana na mambo ya ukabila na matatizo mengine, kisiasa mko mbele mno.

Huku Tanzania mfumo bado ni wa zamani sana.

Yani hata jimbo liwe la upinzani, Kuna hawa viongozi wateule wa raisi kama Regional commisioner (mkuu wa mkoa) na district commisioner huwa wana kuwa na kauli kubwa kuzidi mbunge aliechaguliwa kwenye jimbo.

Hivi huko hali halisi huwa inakuaje
Kabisa mkuu
 
nimeuliza taa moja ni shilingi ngapi???

je ni sawa na kujenga reli iliyoishia njiani😂😂😂.

halafu nilishangaa na reli pia mumepeleka Mchina akachimbe karibu na huko Chato badala ya kuunganisha kwanza na kale kasafu ka Dar-Moro kaliokwamia njiani maporini huko.
 
Yani ndugu zetu kenya tukiachana na mambo ya ukabila na matatizo mengine, kisiasa mko mbele mno.

Huku Tanzania mfumo bado ni wa zamani sana.

Yani hata jimbo liwe la upinzani, Kuna hawa viongozi wateule wa raisi kama Regional commisioner (mkuu wa mkoa) na district commisioner huwa wana kuwa na kauli kubwa kuzidi mbunge aliechaguliwa kwenye jimbo.

Hivi huko hali halisi huwa inakuaje

Hili la ukabila mlikua mkitusema sana ila naona kwenu ndio limetamalaki.....kila kitu kinakwenda Chato kwa mwendo kasi.
 
Yani ndugu zetu kenya tukiachana na mambo ya ukabila na matatizo mengine, kisiasa mko mbele mno.

Huku Tanzania mfumo bado ni wa zamani sana.

Yani hata jimbo liwe la upinzani, Kuna hawa viongozi wateule wa raisi kama Regional commisioner (mkuu wa mkoa) na district commisioner huwa wana kuwa na kauli kubwa kuzidi mbunge aliechaguliwa kwenye jimbo.

Hivi huko hali halisi huwa inakuaje
Hamia kenya mzee siasa zako za kinafiki na kichochezi ukafanyie huko sisi hapa hatukubaliani na siasa hizo,jitokezeni barabarani kupinga siyo kujificha humu jf muone cha moto asbh tu.

Kama mko sahihi ingieni na mabango yenu mtaani mdai mnachootaka basi mmejificha jf tu mnapuliza vuvuzela?
 
Back
Top Bottom