Kwa kichapo wanachochezea wapinzani wa Uganda, ni dhahiri wapinzani wa Tanzania waliona mbali

Kwa kichapo wanachochezea wapinzani wa Uganda, ni dhahiri wapinzani wa Tanzania waliona mbali

Kenya hata naibu wa rais anampinga rais wazi wazi na hafanyiwi chochote. Naibu wa rais ameanzisha chama chake na bado hajafurushwa madarakani. Kenya iko tofauti na Tanzania. Mwaka wa 2017 Uchaguzi wa urais ulifutiliwa mbali na mahakama na rais hakuwavuta mahakimu kazi.
Kenya nawasifu kwa siasa safi angalau mnakuwa kielelezo kuwa east Afrika inaweza kuwa na siasa safi, nchi nyingine za Afrika mashariki Siasa ni majanga ukweli usemwe Kenya ni baba na mwalimu wa demokrasia Afrika.
 
Kenya nawasifu kwa siasa safi angalau mnakuwa kielelezo kuwa east Afrika inaweza kuwa na siasa safi, nchi nyingine za Afrika mashariki Siasa ni majanga ukweli usemwe Kenya ni baba na mwalimu wa demokrasia Afrika.
Hizi hapa!!
 
Mwai Kibaki na Moi pia wanatoka kwa ukoo wa Kenyatta? Unajua unachozungumzia wewe kweli?
Boy, u are too young to comprehend this
PRESIDENTS.jpg
 
Kwa nchi yenu ilivyo kubwa na makabila mengi na huo umaskini uliokubuhu nahisi mtateseka sana kwa hizo sasa mnazofanya za kikabila.
Yaani mpaka Mhehe kama wewe ufikiwe utasubiri na mlivyo kabila linaloongoza kwa wanaojitoa uhai halafu ule msosi wenu pendwa.
Hehehe, uwezekano wa mimi kuwa kiongozi mkubwa ni Mkubwa saana kwa Tz, huku tumeshakuwa na Mawaziri wakuu watatu toka kabila la Masai tangu uhuru, hapo Kenya if not Gikuyu sahau kiongozi..
Sema wakikuyu ni wezi sana na Roho mbaya .
 
lema is in Canada by his will.
Miguna Miguna is in Canada forcibly. I saw the other time, security officer, from one of cruel police forces in Afrika, was dragging the learned law brother like a sack of maize.
Naona Watz mnafuatilia siasa za Kenya kwa ukaribu sana. Evidence tosha kwamba Kenya ndio superpower wa Afrika Mashariki.
 
You can say that again, CCM is another wonder of the world, it keeps winning even when everyone votes against it.
If everyone voted against, why everyone refused to demonstrate
 
Afadhali wa Kenya Wana unafuu kiasi kikubwa siasa zetu Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi, na Sudani ni siasa za kifalme sasa hata congo wametuzidi
Congo wametuzidi? Huu ujinga hutokea vichwani mwa nyumbu
 
Naona Watz mnafuatilia siasa za Kenya kwa ukaribu sana. Evidence tosha kwamba Kenya ndio superpower wa Afrika Mashariki.
Miguna Miguna hahahaahaha.
Kwahiyo wewe unafuatilia issue za Uganda so Uganda ni Superpower!?

 
ukomavu wa kisiasa sio vyama kubadirishana.bali ni vyama kubadirishana kwa demokrasia na amani bila damu kumwagika.
hiyo ni ishara kuu ya kustaarabika na demokrasia ya vitendo.
kama vyama vinabadirika na watu wanakufa,hapo bado nchi iko kwenye kupigania ukombozi.

ishara za haki huwa hazijidhihirishi kwa dalili,bali haki kamili.

juzi 2018,uhuru akarudia kuhesabu kura watu mkafurahi kweli kweli[emoji38][emoji38][emoji38],kwani mtafanywa wajinga umli huo mpaka lini??inachukua muda gani kujua hafanyi kwa ajiri yenu,bali wanaomtazama kutokea juu!!!!

this is africa,hatujajikomboa bado,mbaya zaidi hata akili zimeungua,hakuna tumaini tena.
Tufike sehemu tukubali kuna waliofanya vizuri zaidi yetu. Pamoja na mambo mengine, Kenya wana afadhali, siasa za ushindani unaziona, rais na viongozi wengine wana ile political tolerance, utawala wa sheria unauona, taasisi zipo huru kufanya maamuzi. Hii ni hatua kubwa na si ya kubeza.
 
Asante
Ila siasa za Tanzania kwasasa zina walakini
Siasa za nchi gani duniani hazina walakini, unakuwa kama hujasoma bhana, taja nchi yeyote duniani ambayo siasa zake hazina walakini.
Mkiitwa nyumbu mnamind wakati mpo na akili kama nyumbu
 
Back
Top Bottom