Kwa kichapo wanachochezea wapinzani wa Uganda, ni dhahiri wapinzani wa Tanzania waliona mbali

Kwa kichapo wanachochezea wapinzani wa Uganda, ni dhahiri wapinzani wa Tanzania waliona mbali

Nyani hua aoni kundule.

Bora siasa za bongo na UG mara 100 kuliko hapo kunyaland huko kuna unafiki mkubwa na mwakani lazima mnyukane na kuhuana sana halafu majirani tutakuja kuwapatanisha
Products za elimu bure. Hata kuandika tatizo.
 
Nyani hua aoni kundule.

Bora siasa za bongo na UG mara 100 kuliko hapo kunyaland huko kuna unafiki mkubwa na mwakani lazima mnyukane na kuhuana sana halafu majirani tutakuja kuwapatanisha
Wewe ni mpumbavu usiye na akili hebu fungua hiyo link halafu ujipime kama Hilo https://jamii.app/JFUserGuide lako Lina akili au ni kinyesi kimejaa humo
Swine kabisa wewe

IMG_20210113_182344.jpg
 
Siasa zetu za bongo hizi ole wako, nasema oleee wakooo umtukane au kumkosoa flani sijui uanzishe chama pinzani, heheheh utapigwa kipigo cha mbwa koko, Hivi yule Mdude wa chadema aliekuwa anaongea sana ile kesi yake ya madawa ya heroin iliendeleaje

Hivi unamjua miguna miguna. Uliza yuko wapi.
 
ama kweli ni ushamba tu kama ulivyotangulia kuandika.

kwenye ujenzi wa reli kiwango,lazima mkandarasi awe na kichwa cha mabehewa kadhaa kwa ajiri ya majaribio.ndicho hicho kilianguka kikiwa kinawekwa kwenye reli hiyo inayotengenezwa.

hujaona kimebeba watu wanaweka simu juu ya chupa za soda na haianguki[emoji23][emoji23][emoji23],kwanini hukusema ndio imeanza kazi!!!



Sijaelewa nini umeandika hapa, nahisi ulikua umechoka tayari kupambana na kila Mkenya na Mtanzania JF, bora nilikuacha upumzike ili akili ziwe tayari kuandika upya, hehehe shughuli kweli kweli.
 
Sijaelewa nini umeandika hapa, nahisi ulikua umechoka tayari kupambana na kila Mkenya na Mtanzania JF, bora nilikuacha upumzike ili akili ziwe tayari kuandika upya, hehehe shughuli kweli kweli.
umeangalia hiyo video!!!!au unasubiri ufike kwenyw WIFI kwamza???
 
umeangalia hiyo video!!!!au unasubiri ufike kwenyw WIFI kwamza???

Kwetu hapa internet kibao huwa hatuhesabu MB kama kwenu huko, full unlimited bila kikomo.
Video sikufungua na wala huo muda sina, ila natumai utapata fursa ulale hata lisaa moja ili akili zikurudie uwe na uwezo wa kuandika vitu vinavyoeleweka.
 
Kwetu hapa internet kibao huwa hatuhesabu MB kama kwenu huko, full unlimited bila kikomo.
Video sikufungua na wala huo muda sina, ila natumai utapata fursa ulale hata lisaa moja ili akili zikurudie uwe na uwezo wa kuandika vitu vinavyoeleweka.
[emoji16][emoji16][emoji16]uchungu mkubwa[emoji38][emoji38]

tena kwemye bundle ndio usiongee kabisa,safaricom wanajua hali zenu.mpaka mb 65 wanawauzi[emoji16][emoji16]

unazungumzia unlimited hauna hela.View attachment 1676971
 
Kenya Kuna Upinzani? Wewe ni mgeni wa siasa za Kenya. Kausha
nimecheka sana, wakenya hawajielewi, kenya hamna upinzani ni watu wale wale wanajigeuza; leo wanaamua kujiita upinzani na kesho chama tawala, ili mradi tu usimwamshe nyangau aliyelala.
 
Back
Top Bottom