Kwa kichapo wanachochezea wapinzani wa Uganda, ni dhahiri wapinzani wa Tanzania waliona mbali

Kenya nawasifu kwa siasa safi angalau mnakuwa kielelezo kuwa east Afrika inaweza kuwa na siasa safi, nchi nyingine za Afrika mashariki Siasa ni majanga ukweli usemwe Kenya ni baba na mwalimu wa demokrasia Afrika.
 
Kenya nawasifu kwa siasa safi angalau mnakuwa kielelezo kuwa east Afrika inaweza kuwa na siasa safi, nchi nyingine za Afrika mashariki Siasa ni majanga ukweli usemwe Kenya ni baba na mwalimu wa demokrasia Afrika.
Hizi hapa!!
 
Hehehe, uwezekano wa mimi kuwa kiongozi mkubwa ni Mkubwa saana kwa Tz, huku tumeshakuwa na Mawaziri wakuu watatu toka kabila la Masai tangu uhuru, hapo Kenya if not Gikuyu sahau kiongozi..
Sema wakikuyu ni wezi sana na Roho mbaya .
 
lema is in Canada by his will.
Miguna Miguna is in Canada forcibly. I saw the other time, security officer, from one of cruel police forces in Afrika, was dragging the learned law brother like a sack of maize.
Naona Watz mnafuatilia siasa za Kenya kwa ukaribu sana. Evidence tosha kwamba Kenya ndio superpower wa Afrika Mashariki.
 
You can say that again, CCM is another wonder of the world, it keeps winning even when everyone votes against it.
If everyone voted against, why everyone refused to demonstrate
 
Afadhali wa Kenya Wana unafuu kiasi kikubwa siasa zetu Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi, na Sudani ni siasa za kifalme sasa hata congo wametuzidi
Congo wametuzidi? Huu ujinga hutokea vichwani mwa nyumbu
 
Naona Watz mnafuatilia siasa za Kenya kwa ukaribu sana. Evidence tosha kwamba Kenya ndio superpower wa Afrika Mashariki.
Miguna Miguna hahahaahaha.
Kwahiyo wewe unafuatilia issue za Uganda so Uganda ni Superpower!?

 
Tufike sehemu tukubali kuna waliofanya vizuri zaidi yetu. Pamoja na mambo mengine, Kenya wana afadhali, siasa za ushindani unaziona, rais na viongozi wengine wana ile political tolerance, utawala wa sheria unauona, taasisi zipo huru kufanya maamuzi. Hii ni hatua kubwa na si ya kubeza.
 
Asante
Ila siasa za Tanzania kwasasa zina walakini
Siasa za nchi gani duniani hazina walakini, unakuwa kama hujasoma bhana, taja nchi yeyote duniani ambayo siasa zake hazina walakini.
Mkiitwa nyumbu mnamind wakati mpo na akili kama nyumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…