Kwa kichapo wanachochezea wapinzani wa Uganda, ni dhahiri wapinzani wa Tanzania waliona mbali

Kwa kichapo wanachochezea wapinzani wa Uganda, ni dhahiri wapinzani wa Tanzania waliona mbali

Tufike sehemu tukubali kuna waliofanya vizuri zaidi yetu. Pamoja na mambo mengine, Kenya wana afadhali, siasa za ushindani unaziona, rais na viongozi wengine wana ile political tolerance, utawala wa sheria unauona, taasisi zipo huru kufanya maamuzi. Hii ni hatua kubwa na si ya kubeza.
Labda wewe ni mtoto wa juzi. Hivi unawajua Mungiki wewe!?
Mungiki wanaua kila mtu ambaye siyo mkikuyu.
Siasa gani hizi. Au wewe ndio umepevuka juzi.
images - 2021-01-14T074548.196.jpeg
images - 2021-01-14T074607.479.jpeg
images - 2021-01-14T074621.679.jpeg
 
Tufike sehemu tukubali kuna waliofanya vizuri zaidi yetu. Pamoja na mambo mengine, Kenya wana afadhali, siasa za ushindani unaziona, rais na viongozi wengine wana ile political tolerance, utawala wa sheria unauona, taasisi zipo huru kufanya maamuzi. Hii ni hatua kubwa na si ya kubeza.
nitakubaliana na mambo mengine ila sio siasa.

sijui kuvumiliana unakuchukuliaje,maana kumvumilia mpinzani sio goal la siasa,goal kisiasa ni kurekebishana kwa malengo ya kuboresha nchi.
mtu atafanya upuuzi wake,akiguswa anaegemea kwenye uhuru wa kisiasa,hapana.

2017 wakenya wamebondwa sana kisa maandamano,lakini haya huwa mtu wa tanzania haoni.sababu sio kazi yake kuchunguza mabaya,yeye kazi yake ni kusifu tu.
 
Siasa za nchi gani duniani hazina walakini, unakuwa kama hujasoma bhana, taja nchi yeyote duniani ambayo siasa zake hazina walakini.
Mkiitwa nyumbu mnamind wakati mpo na akili kama nyumbu
atakuwa hata hajui matokeo marekani yamesababisha vifo vya watu 5 juzi hapo.
 
lema is in Canada by his will.
Miguna Miguna is in Canada forcibly. I saw the other time, security officer, from one of cruel police forces in Afrika, was dragging the learned law brother like a sack of maize.
Lema hakuondoka TZ kwa hiari yake. Alikuwa anaandamwa na wasiojulikana wa CCM.
 
Hehehe, uwezekano wa mimi kuwa kiongozi mkubwa ni Mkubwa saana kwa Tz, huku tumeshakuwa na Mawaziri wakuu watatu toka kabila la Masai tangu uhuru, hapo Kenya if not Gikuyu sahau kiongozi..
Sema wakikuyu ni wezi sana na Roho mbaya .

Kwa namna mumekumbatia ukabila ghafla, mtateseka sana maana mpo makabila mengi sana na umaskini wa kutisha.
Mngesubiri muondokane na umaskini kwanza. La sivyo utakuta mnarudi kwenye yale mambo ya hovyoo mlikua mnafahamika nayo duniani kwa mfano wewe hapo si ndio umetokea kw ile jamii ya wala mbwa na albino....
 
Geza Ulole game over Naton Jr Venus Star The best 007 joto la jiwe MK254



Nina swali nyeti. Ule wakati Lema alitorokea Kenya, serikali ya Tanzania iliomba kwamba serikali ya Kenya imrudishe Tanzania. Lakini serikali ya Kenya ilikaidi maagizo hayo na kumruhusu kuenda Nairobi kuomba hifadhi katika embassy za kibeberu na mwishowe nchi ya Canada ilimruhusu kuenda kuishi Canada na familia yake. Watanzania wanaamini kwamba wanatulisha kwa hivyo Kenya inaogopa Tanzania. Swali langu ni hili, kama Kenya inaogopa Tanzania basi mbona tulikaidi maagizo yenu na kumruhusu Lema kutoroka na hamkutufanya lolote?
 
Geza Ulole game over Naton Jr Venus Star The best 007 joto la jiwe MK254



Nina swali nyeti. Ule wakati Lema alitorokea Kenya, serikali ya Tanzania iliomba kwamba serikali ya Kenya imrudishe Tanzania. Lakini serikali ya Kenya ilikaidi maagizo hayo na kumruhusu kuenda Nairobi kuomba hifadhi katika embassy za kibeberu na mwishowe nchi ya Canada ilimruhusu kuenda kuishi Canada na familia yake. Watanzania wanaamini kwamba wanatulisha kwa hivyo Kenya inaogopa Tanzania. Swali langu ni hili, kama Kenya inaogopa Tanzania basi mbona tulikaidi maagizo yenu na kumruhusu Lema kutoroka na hamkutufanya lolote?
kwani kuna wakenya wangapi wamekimbilia Ughaubuni kwa kupitia Tanzania tukianza na wkina Githongo? na wale wa independent electroral and Boundary commission?
 
kwani kuna wakenya wangapi wamekimbilia Ughaubuni kwa kupitia Tanzania tukianza na wkina Githongo? na wale wa electroral commission board?
Sisi hatujawahi kusema kwamba nyinyi mnatuogopa. Lakini nyinyi ndio huwa mnatabia hio ya kusema kwamba sisi tunawaogopa.
 
Sisi hatujawahi kusema kwamba nyinyi mnatuogopa. Lakini nyinyi ndio huwa mnatabia hio ya kusema kwamba sisi tunawaogopa.
wewe mtu wa CPAK una ujinga mwingi, kuogopa kuna maana nyingi! so ulitaka tuwakanyage ili ku-prove umwamba wetu? stop being irrational!
 
Lema hakuondoka TZ kwa hiari yake. Alikuwa anaandamwa na wasiojulikana wa CCM.
Ndiyo aliondoka bila hiyari yake, kwa sababu hakuwa na kazi ya kufanya ya kumuingizia kipato. Hivyo maisha yake yangekuwa MAGUMU. Akaamua kujiongeza kwa kusingizia kutishiwa kuuawa. Muache tu, yeye anadhani kuishi ughaibuni ni rahisi. Sasa ameenda kupambana na baridi. Lazima atakumbuka bongo tu.
 
Ndiyo aliondoka bila hiyari yake, kwa sababu hakuwa na kazi ya kufanya ya kumuingizia kipato. Hivyo maisha yake yangekuwa MAGUMU. Akaamua kujiongeza kwa kusingizia kutishiwa kuuawa. Muache tu, yeye anadhani kuishi ughaibuni ni rahisi. Sasa ameenda kupambana na baridi. Lazima atakumbuka bongo tu.
Wapi? Unaweza kulinganisha shit-hole na developed country? Jamaa atapiga pesa ndefu huko.
 
Back
Top Bottom