Kwa Kiingereza hiki kwenye barua ya ufafanuzi kukamatwa kina Dkt. Slaa heri tuendelee na Kiswahili, ni aibu ya mwaka

Niliposema Nape aliongea Kiswahili nilimaanisha Kiswahili sanifu na wala sijaksudia lahaja za Kiswahili wala kiuzi. Na kuzungumza lugha ikafahamika haihitaji lugha hiyo iwe imewekewa vitabu.
 
Achilia mbali akili Nape ni mzinzi na mlevi mno hana maadili hata kidogo!! Ajabu hawa ndio watunga sera za kuifikisha Tanzania kaanani!!
Wenyewe wanajiita wakulungwa, eti baba zao waliifia hii nchiiii, yaani watu vilaza wanapewa nafasi nyeti kwakuwa tu baba zao tu walipigana vita vya kagera, inasikitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…