Kwa Kiingereza hiki kwenye barua ya ufafanuzi kukamatwa kina Dkt. Slaa heri tuendelee na Kiswahili, ni aibu ya mwaka

Nape kama ni wewe, next time copy and paste ugoro wako ulioandika weka kwenye chatgpt, iambie iandike in proper English na unaweza kuifanya ndefu au fupi au British or American English, jifunzeni kutumia technology itasaidia muda na mtaeleweka zaidi na kuonekana mko serious
 
English ya kugoogle mkuu
 
Nyumbu na haters bwana wakikosa hoja huku wakiwa na wingi wa utoto kichwani huwa wanachekesha sana!!! Kumbe hawa ndo maana wanazidiwa na Diamond aisee!

Haya, hebu kila nyumbu na hater abadilishe comment yake kwenda kikngereza tuone ni kwa umbali gani mwenzetu umepiga hatua! Tadadhali postini tena comments zenu kwa kiingereza........tunasubiriπŸ™πŸ™πŸ™
 
Mwendawazimu wewe
 
Ndio madhara ya kuwekana kwa connection, hapo imeandikwa kwa kiswahili wakaitafisiri kwa google
Kwa heshima kuu, watanzania tunakuomba uipost tena hii comment yako kwa English tafadhali!

Natanguliza shukrani za dhati kwa niabaπŸ™πŸ™πŸ™
 
Usikute mzazi wake alikuwa analipa milioni 4 kwa mwaka mtoto asome English Medium.

Somesheni watoto wenu kayumba kisha wawekeeni walimu wa English wawafundishe English kuanzia la kwanza hadi la saba. Huko kayumba wajifunza na skills za maisha
 
Hapa ndio utajua ni kwa nini kesi zote tukipelekwa kwenye mahakama za kimataifa tunashindwa,
kwani hicho "kiinglishi" alikua ana waandikia wamarekani au πŸ€”πŸ€”
 
Kwani tangu lini Nape amekuwa msemaji wa serikali?

Kuna kitu gani nimepitwa na sikijui?

Mbona Nape yuko mbele sana kwa hilo tukio?
Anahusika, hata kama wengine wanaandika lakini mwisho anaidhinisha yeye, kama hakuona makosa kwenye hiyo barua ana matatizo makubwa zaidi ya Kiingereza
 
Hiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.

Tumlaumu Waziri au Mwandishi?

Alyeandika na kusaini hiyo barua ndio mwenye matatizo na hapo wametumia translator ya google sio ya kutoka kichwani maana asingeweza kuandika yote hayo. Wakitupia waliyoandika kwa Kiswahili utathibitisha ninachokisema. Viongozi wengi wa serikali hawana weledi na elimu zao ni duni sana
 
Ndiyo maana kuna mabishano makali kuhusiana na mjadala wa mkataba wa IGA kati ya JMT na DP World. Mkataba huo uko kwa lugha ya kiingereza. Mabishano yako kati ya wasiojua vizuri kiingereza (akina Nape et al) kwa upande mmoja na wale wanaokijua vizuri kiingereza (akina Mwabukusi, Dr Slaa et al) kwa upande mwingine.

Ni dhahiri hawawezi kuelewana kwani wanazungumza lugha tofauti. Minister responsible for information ....... siyo sawa na Minister of information .....
Mwisho wa mjadala unaweza ukawa si mzuri kwani hawaelewani lugha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…