Kwa Kiingereza hiki kwenye barua ya ufafanuzi kukamatwa kina Dkt. Slaa heri tuendelee na Kiswahili, ni aibu ya mwaka

You are right, the problem is fluency, competence, and correct legal language interpretation of the articles entailed in the IGA dude
 
Wakumlaumu ni Julias aliona mkijua kingereza mtakuwa wajanjq kuliko yeye

Kuendelea kumlaumu JKN for anything ni ujinga, ni sawa na kumalumu Babu yako for your shortcomings. Mmekua na Marais wangapi toka yeye? Cheap excuses.
 
Hahahhahhahhahah nape alijisainia tu hata hakusoma kwa sababu asinge hata elewa😁

Nchi ina vituko hii
 
Wakumlaumu ni Julias aliona mkijua kingereza mtakuwa wajanjq kuliko yeye
Hakika,wakulaumiwa ni hcho kibabu kilichokuwa ni kibinafsi kuliko wanawake

Pamoja na kujua kiingereza ni kama maji lakin kikaamua kutubana ili tusijue mambo mengi

Nilishangaa mpaka kuona kwenye mahakama za mwanzo kunaandikwa kiingereza,sasa nikajiuliza ilikuwaje kidhungu yule mzee akataka kukiweka kando
 
Wazungu watambue tumetanguliza vilaza mbele, wasije kuelewa kwamba kama huyu ni waziri je wananchi wapoje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…