Kwa kijana anayejitafuta kwenye maisha asijihusishe na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke yeyote

Kwa kijana anayejitafuta kwenye maisha asijihusishe na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke yeyote

Mkuu Kwa hekima yako naomba useme lolote kuhusu scenario ya mahusiano na utafutaji kwa vijana mana binafsi naona wanawake WaPo kuturudisha nyuma

Unanishauri Gani mkuu
Usisubiri kufanikiwa ndiyo utafute mwenza, Kwa kufanya hivyo utapata wengi fake wakiwinda kibunda chako tu

Tafuta mpenzi mmoja mwaminifu uanze naye maisha huku ukiendelea kutafuta.

Ukiishi bila mpenzi utajikuta unatumia gharama nyingi kutafuta ngono kuliko kuwa na mmoja wa kutulia naye
 
Mahusiano naona kabisa ni uwekezaji mkubwa unaohitaji Muda PEsa na nguvu

Kijana tafuta njia ya kuondoa hisia zako kama mazoezi
Kwenda Kwa wahaya

Ila Achana na viumbe wanawake katika hatua zako za mwanzo za utafutaji
Kabla ya kurusha lawama kwetu subiri uone kama huyu kocha mpya atakubali tununue mechi ili tushinde na kuwachoma sindano/madawa ya kusisimua misuli ya wachezaji wetu ama atakataa hayo mambo kama Gamondi.

"Sisi kama viongozi wa timu tuna uwezo wa kushinda mechi zote nje ya uwanja bila msada wa kocha au wachezaji"
 
Wakuu, hivi biashara ya hisa kwa kijana ni wazo zuri au litanifanya kuwa mvivu wa kufikiria fursa zingine.

Nina vimilioni kadhaa DSE. Huwa nafuatilia baadhi ya kampuni na kuweka vihela vyangu afu hisa zikipanda nauza.
 
Back
Top Bottom