Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
Dah kazi IPO kweli bwasheeNorth Korea, Belarus n.k wanajiandaa kwenda Russia? Mbona mapema sana?
Itakuaje siku NATO wakatangaza kupeleka Askari wake kutoka mataifa mbalimbali hapo UKRAINE?
Na kama Russia ana askari karibia milioni mbili nje ya reserve, kwanini apewe msaada mkubwa wa askar namna hii?
Kusema kuwa aneshanusa hatari ya huko mbeleni kupoteza askari zaidi? Au tayari ameshapoteza askari wengi kama wasemavyo vyombo vya magharibi?
UmenenaHakuna world war 3, zile zama za kuoneshana nani mwenye nguvu zilishapitwa na wakati. Hizo akili zimebaki kwa nchi kama Russia na Korea Kaskazin, mwenzao China ameonesha kustaarabika.
US ameanza na Putin, akitoka hapo yule wa Korea Kaskazin matako yataacha kumcheza maana atajua na yeye hatopona akiendelea na upuuzi wake.
Bwashee unapenda masiharaKumbe wanapeleka misaada nikajua Jeshi, mna peleka US$ 5billion mwenzenu kashikilia US$ 12 trillion.
Think before postingHakuna world war 3, zile zama za kuoneshana nani mwenye nguvu zilishapitwa na wakati. Hizo akili zimebaki kwa nchi kama Russia na Korea Kaskazin, mwenzao China ameonesha kustaarabika.
US ameanza na Putin, akitoka hapo yule wa Korea Kaskazin matako yataacha kumcheza maana atajua na yeye hatopona akiendelea na upuuzi wake.
Hao jamaa hawata kubali, wana hasira sana ya kukatiwa gasi. Kwakifupi hao wazungu ni watu wabinafsi sana. utawezaje kumwekea mtu vikwazo vya kiuchumi wakati huo huo mnategemea sana gesi yake kwa kukuza uchumi wenuJana mataifa ya ulaya 26 yalikutana jijin Copenhagen ,huku ajenda kuu ni kukusanya pesa kwa ajili ya kuisaidia zaid Ukraine ,kwa haraka misaada ilifikia dola billion 5 ,za phase one,kiasi hicho kinakadiriwa ni kikubwa sana ,silaha nying zimeshaanza kuingizwa Ukraine na Russia kwa upande wake hajakaa kizembe maana Belarus ameahid kutoa wanajeshi 13,000, na North Korea akitoa 100,000 ,Russia kwa sasa yeye haitaji msaada wa silaha Bali anahitaji military persons, Iran IPO mbion nayo kutoa volunteers kama 30000.Wakuu tuache ushabiki tuombe haya mambo naona yanasambaa kama moto wa petrol ,isije ikawa World War 3 inanukia
NATO wapo siku nyingi sana UkraineNorth Korea, Belarus n.k wanajiandaa kwenda Russia? Mbona mapema sana?
Itakuaje siku NATO wakatangaza kupeleka Askari wake kutoka mataifa mbalimbali hapo UKRAINE?
Na kama Russia ana askari karibia milioni mbili nje ya reserve, kwanini apewe msaada mkubwa wa askar namna hii?
Kusema kuwa aneshanusa hatari ya huko mbeleni kupoteza askari zaidi? Au tayari ameshapoteza askari wengi kama wasemavyo vyombo vya magharibi?
Angalia usije ukajikuta umekojoa kitandani utakapo amkaHakuna world war 3, zile zama za kuoneshana nani mwenye nguvu zilishapitwa na wakati. Hizo akili zimebaki kwa nchi kama Russia na Korea Kaskazin, mwenzao China ameonesha kustaarabika.
US ameanza na Putin, akitoka hapo yule wa Korea Kaskazin matako yataacha kumcheza maana atajua na yeye hatopona akiendelea na upuuzi wake.
Mwogopeni sana mtu mnaemjadili kila siku jinsi ya kummaliza alafu yeye akawa yupo kimya sanaJana mataifa ya Ulaya 26 yalikutana jijin Copenhagen, huku ajenda kuu ni kukusanya pesa kwa ajili ya kuisaidia zaid Ukraine, kwa haraka misaada ilifikia dola billion 5 za phase one, kiasi hicho kinakadiriwa ni kikubwa sana.
Silaha nyingi zimeshaanza kuingizwa Ukraine na Russia kwa upande wake hajakaa kizembe maana Belarus ameahid kutoa wanajeshi 13,000, na North Korea akitoa 100,000, Russia kwa sasa yeye haitaji msaada wa silaha Bali anahitaji military persons, Iran IPO mbioni nayo kutoa volunteers kama 30000.
Wakuu tuache ushabiki tuombe haya mambo naona yanasambaa kama moto wa petrol, isije ikawa World War 3 inanukia.
Russia ameacha reserve ya silaha na askari anaowategemea ili kupambana na NATO,ndio maana anahitaji wa kawaida wapambane na ukraineNorth Korea, Belarus n.k wanajiandaa kwenda Russia? Mbona mapema sana?
Itakuaje siku NATO wakatangaza kupeleka Askari wake kutoka mataifa mbalimbali hapo UKRAINE?
Na kama Russia ana askari karibia milioni mbili nje ya reserve, kwanini apewe msaada mkubwa wa askar namna hii?
Kusema kuwa aneshanusa hatari ya huko mbeleni kupoteza askari zaidi? Au tayari ameshapoteza askari wengi kama wasemavyo vyombo vya magharibi?
Jeshi lann vifaa kwanza kitendo cha hizo nchi nyingine kuingia vitani ni mtego kwa urusi nahao upande waoKumbe wanapeleka misaada nikajua Jeshi, mna peleka US$ 5billion mwenzenu kashikilia US$ 12 trillion.