Hawapeleki hela wanapeleka machuma machuma yanaenda kuunguzwa halafu Urusi anazidi kujimegea utajiri wa matirioni ya dola...Kumbe wanapeleka misaada nikajua Jeshi, mna peleka US$ 5billion mwenzenu kashikilia US$ 12 trillion.
Kwani wew unapomsaidia tajiri wako wa mtaa sindano ya kushonea , yeye hana uwezo was kununua hiyo??? Huo ni kuonyesha hayupo peke yake kama wanavyohisiNorth Korea, Belarus n.k wanajiandaa kwenda Russia? Mbona mapema sana?
Itakuaje siku NATO wakatangaza kupeleka Askari wake kutoka mataifa mbalimbali hapo UKRAINE?
Na kama Russia ana askari karibia milioni mbili nje ya reserve, kwanini apewe msaada mkubwa wa askar namna hii?
Kusema kuwa aneshanusa hatari ya huko mbeleni kupoteza askari zaidi? Au tayari ameshapoteza askari wengi kama wasemavyo vyombo vya magharibi?
NonsenseHakuna world war 3, zile zama za kuoneshana nani mwenye nguvu zilishapitwa na wakati. Hizo akili zimebaki kwa nchi kama Russia na Korea Kaskazin, mwenzao China ameonesha kustaarabika.
US ameanza na Putin, akitoka hapo yule wa Korea Kaskazin matako yataacha kumcheza maana atajua na yeye hatopona akiendelea na upuuzi wake.
Natamani nijue wewe ni KE au ME... maana akili zako kama mangeKumbe wanapeleka misaada nikajua Jeshi, mna peleka US$ 5billion mwenzenu kashikilia US$ 12 trillion.
Aya ya mwisho pigia mstari.North Korea, Belarus n.k wanajiandaa kwenda Russia? Mbona mapema sana?
Itakuaje siku NATO wakatangaza kupeleka Askari wake kutoka mataifa mbalimbali hapo UKRAINE?
Na kama Russia ana askari karibia milioni mbili nje ya reserve, kwanini apewe msaada mkubwa wa askar namna hii?
Kusema kuwa aneshanusa hatari ya huko mbeleni kupoteza askari zaidi? Au tayari ameshapoteza askari wengi kama wasemavyo vyombo vya magharibi?
Mkuu, sijui wamechanganyikiwa nini? Ninapo washangaa zaidi ni pale wanapo sema kwamba eti: Putin/Urusi anataka kufanya makosa makubwa atakapo sitisha kusambaza gesi yake kwa mataifa ya Ulaya - wanamshutu Putin kwamba ana lengo la ku-blackmail mataifa ya Ulaya -kichekesho, yaani wao kumunyanyasa Putin wanaona sawa tu,lakini Putin akijibu mapigo wanampigia kelele na kumshutumu kama nini??Hao jamaa hawata kubali, wana hasira sana ya kukatiwa gasi. Kwakifupi hao wazungu ni watu wabinafsi sana. utawezaje kumwekea mtu vikwazo vya kiuchumi wakati huo huo mnategemea sana gesi yake kwa kukuza uchumi wenu
Mijamaa ni misukule ya marekani na Putin ameletwa na Mungu kuja kuwashitua kwani wanaenda kupigika kiuchumi vibaya sana.Mkuu, sijui wamechanganyikiwa nini? Ninapo washangaa zaidi ni pale wanapo sema kwamba eti: Putin/Urusi anataka kufanya makosa makubwa atakapo sitisha kusambaza gesi yake kwa mataifa ya Ulaya - wanamshutu Putin kwamba ana lengo la ku-blackmail mataifa ya Ulaya -kichekesho, yaani wao kumunyanyasa Putin wanaona sawa tu,lakini Putin akijibu mapigo wanampigia kelele na kumshutumu kama nini??
Hayo mataifa yote ni wanafiki tu..hakuna mtakatifu hapo..wote wanatetea matumbo yao..kuanzia NewYork, Berlin mpaka Moscow..Hakuna world war 3, zile zama za kuoneshana nani mwenye nguvu zilishapitwa na wakati. Hizo akili zimebaki kwa nchi kama Russia na Korea Kaskazin, mwenzao China ameonesha kustaarabika.
US ameanza na Putin, akitoka hapo yule wa Korea Kaskazin matako yataacha kumcheza maana atajua na yeye hatopona akiendelea na upuuzi wake.
Mijamaa ni misukule ya marekani na Putin ameletwa na Mungu kuja kuwashitua kwani wanaenda kupigika kiuchumi vibaya sana.
Labda kama Nuclear missiles hana. Ila kama anazo lazma atazitumia tuRUssia inaweza kuwa mufilisi ndani kipindi kifupi kijacho, take my words!
This drawing tells it allJana mataifa ya Ulaya 26 yalikutana jijin Copenhagen, huku ajenda kuu ni kukusanya pesa kwa ajili ya kuisaidia zaid Ukraine, kwa haraka misaada ilifikia dola billion 5 za phase one, kiasi hicho kinakadiriwa ni kikubwa sana.
Silaha nyingi zimeshaanza kuingizwa Ukraine na Russia kwa upande wake hajakaa kizembe maana Belarus ameahid kutoa wanajeshi 13,000, na North Korea akitoa 100,000, Russia kwa sasa yeye haitaji msaada wa silaha Bali anahitaji military persons, Iran IPO mbioni nayo kutoa volunteers kama 30000.
Wakuu tuache ushabiki tuombe haya mambo naona yanasambaa kama moto wa petrol, isije ikawa World War 3 inanukia.
Haya yalianza kusemwa wakati anaanza operationRUssia inaweza kuwa mufilisi ndani kipindi kifupi kijacho, take my words!
Wataichukua hiyo has kibabe!Hao jamaa hawata kubali, wana hasira sana ya kukatiwa gasi. Kwakifupi hao wazungu ni watu wabinafsi sana. utawezaje kumwekea mtu vikwazo vya kiuchumi wakati huo huo mnategemea sana gesi yake kwa kukuza uchumi wenu
Watanyonya nn Sasa ndio hiko kinachowauma maeneo mengi muhimu ya madini ,kiliumo na bandari yamechukuliwa na RussiansUkrain hata ikipona itanyonywa sana na hao NATO kufidia hizi pesa miaka nenda rudi, ni Kongo ya Ulaya hio.
Ni kawaida mbona marekani alipokuwa akienda kupigana na vinchi vidogo kama Iraq na afghanistan japokuwa tunaambiwa na zana hatari za kivita na utaalam bado alihitaji msaada wa UK, France na kama Canada.North Korea, Belarus n.k wanajiandaa kwenda Russia? Mbona mapema sana?
Itakuaje siku NATO wakatangaza kupeleka Askari wake kutoka mataifa mbalimbali hapo UKRAINE?
Na kama Russia ana askari karibia milioni mbili nje ya reserve, kwanini apewe msaada mkubwa wa askar namna hii?
Kusema kuwa aneshanusa hatari ya huko mbeleni kupoteza askari zaidi? Au tayari ameshapoteza askari wengi kama wasemavyo vyombo vya magharibi?
Hii vita nimeanza kuhisi kuwa huenda itabadili mambo mengi maana nadhani hakuna anayekubali kushindwa. Ikiendelea kwa mufa mrefu zaidi uchumi wa dunia utapata madharaWataichukua hiyo has kibabe!
Muda utasema
Wakati na yeye mrusi anategemea sana kuuza gesi yake kwa wazungu ili apate chochote kitu.Hao jamaa hawata kubali, wana hasira sana ya kukatiwa gasi. Kwakifupi hao wazungu ni watu wabinafsi sana. utawezaje kumwekea mtu vikwazo vya kiuchumi wakati huo huo mnategemea sana gesi yake kwa kukuza uchumi wenu