Mr Slim JF-Expert Member Joined Sep 11, 2018 Posts 2,652 Reaction score 5,242 Aug 13, 2022 #41 Ustadh tongwe said: Watanyonya nn Sasa ndio hiko kinachowauma maeneo mengi muhimu ya madini ,kiliumo na bandari yamechukuliwa na Russians Click to expand... Thus why wanayataka hayo maeneo. Hapo sioni wakiyarudisha, labda kuyafanyia uharibifu tu na siraha zao.
Ustadh tongwe said: Watanyonya nn Sasa ndio hiko kinachowauma maeneo mengi muhimu ya madini ,kiliumo na bandari yamechukuliwa na Russians Click to expand... Thus why wanayataka hayo maeneo. Hapo sioni wakiyarudisha, labda kuyafanyia uharibifu tu na siraha zao.
EINSTEIN112 JF-Expert Member Joined Oct 26, 2018 Posts 21,711 Reaction score 35,644 Aug 13, 2022 #42 mgen said: Wataichukua hiyo has kibabe! Muda utasema Click to expand... Labda ingekuwa Somalia
M Mchokolo JF-Expert Member Joined Oct 24, 2021 Posts 1,178 Reaction score 2,804 Aug 13, 2022 #43 bahati93 said: Wakati na yeye mrusi anategemea sana kuuza gesi yake kwa wazungu ili apate chochote kitu. Click to expand... Gesi ni biashara hadimu. Kama ulaya watashupaza shingo, mataifa janja kibao wataichangamkia
bahati93 said: Wakati na yeye mrusi anategemea sana kuuza gesi yake kwa wazungu ili apate chochote kitu. Click to expand... Gesi ni biashara hadimu. Kama ulaya watashupaza shingo, mataifa janja kibao wataichangamkia