Kwa kikosi Cha Simba kilichosafiri hii ndio 11st yangu kesho

Kwa kikosi Cha Simba kilichosafiri hii ndio 11st yangu kesho

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Aishi Manula
Kapombe
Zimbwe jr
Wawa
Kenedy
Lwanga
Mzamiru
Bwalya
Morrson
Ajibu
Bocco
Mfumo
4-2-3-1

Second option
Aishi Manula
Kapombe
Wawa
Onyango
Zimbwe
Inonga
Lwanga
Kanute
Morrson
Bwalya
Bocco
3-5-2. Morrson na Bocco washambuliaji

FB_IMG_16343653792857532.jpg
 
level mlio fika last time ita wachukua miaka 20 mingine kuifikia
 
Aishi Manula
Kapombe
Zimbwe jr
Wawa
Kenedy
Lwanga
Mzamiru
Bwalya
Morrson
Ajibu
Bocco
Mfumo
4-2-3-1

Second option
Aishi Manula
Kapombe
Wawa
Onyango
Zimbwe
Inonga
Lwanga
Kanute
Morrson
Bwalya
Bocco
3-5-2. Morrson na Bocco washambuliaji

View attachment 1976124
Yani Ajibu acheze..kina Duncan Nyoni na Peter Banda wakae nje!! Kwa mpira gani wa Ajibu!
 
Mugalu atakuwa big miss

Ndio striker pekee mwenye uwezo wa kukaa na mipira na ku link na viungo.

Midfield inahitaji balance nzuri ya creativity, speed, energy and intensity.

Ningependa timu hii ianze

2965965_20211016_151607.jpg
Asee katika squad lako naomba Dilunga akae sub kidogo nipatie Morrison au Banda sio kama Dilunga ni mbaya ila shida inakuja anavyo tembea na mpira.
 
Back
Top Bottom