Kwa kikosi Cha Simba kilichosafiri hii ndio 11st yangu kesho

Kwa kikosi Cha Simba kilichosafiri hii ndio 11st yangu kesho

Mugalu atakuwa big miss

Ndio striker pekee mwenye uwezo wa kukaa na mipira na ku link na viungo.

Midfield inahitaji balance nzuri ya creativity, speed, energy and intensity.

Ningependa timu hii ianze

2965965_20211016_151607.jpg
Kama Mimi hiyo pivot ya midfield iko poa.
 
Mugalu atakuwa big miss

Ndio striker pekee mwenye uwezo wa kukaa na mipira na ku link na viungo.

Midfield inahitaji balance nzuri ya creativity, speed, energy and intensity.

Ningependa timu hii ianze

2965965_20211016_151607.jpg
But kagere hawezi Ku hold mpira.
 
Mashabiki wa Simba mitandaoni wanapambana kupendekeza kikosi kipi kianze.ndo shida ya kuwa na wachezaji bora timu nzima.
 
Kagere ndio best finisher kwenye timu, 2 chance 1 goal.

Bocco 4 chance, 1 goal
Mugalu 5 chance, 1 goal
Kwenye tactics za away Kagere hawezi kutudaidia. Kagere anafaa sana tukiwa na double strikers.
Maana yake tucheze either 4-1-3-2
Or 4-4-2
 
Kwenye tactics za away Kagere hawezi kutudaidia. Kagere anafaa sana tukiwa na double strikers.
Maana yake tucheze either 4-1-3-2
Or 4-4-2
Angle yangu ilikuwa unapokuwa away hutengenezi nafasi nyingi za wazi hivyo unahitaji mtu clinical mbele ambaye 1 chance inatosha kupata matokeo.

Bocco, kama Mugalu ana tabia ya kupoteza nafasi nyingi za wazi.

Option nyingine ni kumtumia mtu kama Duncan au Mhilu kama false 9.
 
Angle yangu ilikuwa unapokuwa away hutengenezi nafasi nyingi za wazi hivyo unahitaji mtu clinical mbele ambaye 1 chance inatosha kupata matokeo.

Bocco, kama Mugalu ana tabia ya kupoteza nafasi nyingi za wazi.

Option nyingine ni kumtumia mtu kama Duncan au Mhilu kama false 9.
Kwa upande wangu nafikiri Kagere anafaa sana tukiwa na lengo la kushambulia. But kwa tactics za kuzuia Kagere uwezo wake wa Ku hold mpira ni mdogo.
Kagere huwa ana waka zaidi tukiwa na double strikers. Tatizo linatokea kuwa tunaua viungo, then inakuwa rahisi kwa wapinzani ku dominat game.

So ukishika kiungo unawapata wakati mgumu mabeki. Kwa hiyo kwa upande wa away ni kuwa na striker anayeweza Ku hold mpira kisha tunajaza viungo.
 
Kwa upande wangu nafikiri Kagere anafaa sana tukiwa na lengo la kushambulia. But kwa tactics za kuzuia Kagere uwezo wake wa Ku hold mpira ni mdogo.
Kagere huwa ana waka zaidi tukiwa na double strikers. Tatizo linatokea kuwa tunaua viungo, then inakuwa rahisi kwa wapinzani ku dominat game.

So ukishika kiungo unawapata wakati mgumu mabeki. Kwa hiyo kwa upande wa away ni kuwa na striker anayeweza Ku hold mpira kisha tunajaza viungo.
Sawa

Kitu muhimu zaidi ni kuhakikisha timu haipotezi balance kwenye midfield na huko mbele kuwa na mtu ambaye ana uwezo wa kukaa na mipira na kulink vizuri na viungo.

Lakini kama tukiweza kudominate game na kuinamisha uwanja, ndani ya box atahitajika clinical striker ambaye hatahitaji nafasi nyingi kufunga goli.

Hapa ndio shida ilipo, hatuna striker anayeipa timu kila kitu, kila striker tuliye nae ana ubora wake na mapungufu yake 🤣🤣
 
La ! Watanzania katika mambo tunayoyaweza ni kuchambua Soka,katika kila Watanzani 10, 2 ni wachambuzi wa Soka!😋
Nina wasiwasi ndio maana hatuna makocha weledi!
 
La ! Watanzania katika mambo tunayoyaweza ni kuchambua Soka,katika kila Watanzani 10, 2 ni wachambuzi wa Soka!😋
Nina wasiwasi ndio maana hatuna makocha weledi!
Mzee maisha duniani ni kula, kunywa na kufurahi. Mambo mengine utajitesa tu Mzee. Tuache na uhuru wetu kama tulivyokuacha na Uhuru wako.
 
Sawa

Kitu muhimu zaidi ni kuhakikisha timu haipotezi balance kwenye midfield na huko mbele kuwa na mtu ambaye ana uwezo wa kukaa na mipira na kulink vizuri na viungo.

Lakini kama tukiweza kudominate game na kuinamisha uwanja, ndani ya box atahitajika clinical striker ambaye hatahitaji nafasi nyingi kufunga goli.

Hapa ndio shida ilipo, hatuna striker anayeipa timu kila kitu, kila striker tuliye nae ana ubora wake na mapungufu yake 🤣🤣
But Mzee Mugalu ni bonge la striker.
Statistics zinambeba.
Last season Kagere ndiye aliyecheza mechi nyingi.
Akafatiwa na Bocco.
But Mugalu alicheza mechi chache kidogo abebe ufungaji bora.
 
Mzee maisha duniani ni kula, kunywa na kufurahi. Mambo mengine utajitesa tu Mzee. Tuache na uhuru wetu kama tulivyokuacha na Uhuru wako.
Kwani Bwana Mchambuzi was Soka,Mimi Nina shida nakula,nakunywa na pia nafurahia uchambuzi wenu!
 
Back
Top Bottom