mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Wawa, Kenedy ndio wanaonza japo onyango huwa anajitahidiEneo linaloniumiza kichwa binafsi ni hapo center half kuna mashine za kutosha kuna Wawa,Inonga,Kenedy,Erasto na mzee Onyango.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anae jua anajua tu.......Ajibu hajacheza mechi yoyote ya kimashindano.....
Leo hii ghafla tu...Ligi ya mabingwa.
Aseeee.....
Kagere anatafuta nini humo?Mugalu atakuwa big miss
Ndio striker pekee mwenye uwezo wa kukaa na mipira na ku link na viungo.
Midfield inahitaji balance nzuri ya creativity, speed, energy and intensity.
Ningependa timu hii ianze
Tumezoea hizo kaulilevel mlio fika last time ita wachukua miaka 20 mingine kuifikia
Hapo kwenye Nyoni awe Duncan. Ni play maker na game changer.Mugalu atakuwa big miss
Ndio striker pekee mwenye uwezo wa kukaa na mipira na ku link na viungo.
Midfield inahitaji balance nzuri ya creativity, speed, energy and intensity.
Ningependa timu hii ianze
Yani Ajibu acheze..kina Duncan Nyoni na Peter Banda wakae nje!! Kwa mpira gani wa Ajibu!Aishi Manula
Kapombe
Zimbwe jr
Wawa
Kenedy
Lwanga
Mzamiru
Bwalya
Morrson
Ajibu
Bocco
Mfumo
4-2-3-1
Second option
Aishi Manula
Kapombe
Wawa
Onyango
Zimbwe
Inonga
Lwanga
Kanute
Morrson
Bwalya
Bocco
3-5-2. Morrson na Bocco washambuliaji
View attachment 1976124
mafundi wengi hadi inaumiza nani aanze. Vipi safari ya Songea, imeshaanza?Hii timu imekuwa ya kuunga unga
Asee katika squad lako naomba Dilunga akae sub kidogo nipatie Morrison au Banda sio kama Dilunga ni mbaya ila shida inakuja anavyo tembea na mpira.Mugalu atakuwa big miss
Ndio striker pekee mwenye uwezo wa kukaa na mipira na ku link na viungo.
Midfield inahitaji balance nzuri ya creativity, speed, energy and intensity.
Ningependa timu hii ianze