Mbwa sana hizi zinazoongoza hili taifa la vilema wa akili ,zimeshaona mifuko ya jamii kama pensheni na Bima za afya ndio sehemu za kujichotea pesa za bwerere na kwenda kufuja na kufanya kila aina ya upumbavu mwingine ,
Siku si nyingi hata hao wanaolipwa pensheni malipo yatasitishwa na ndipo akili zitawakaa vizuri na kuona kuwa ni wajibu wenu kuiwajibisha serikali kwa kila hatua ,
Kinachoendelea NHIF ni buncruptcy na ndicho hicho hicho hata kwenye hiyo mifuko ya pensheni kinachoendelea
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Siku si nyingi hata hao wanaolipwa pensheni malipo yatasitishwa na ndipo akili zitawakaa vizuri na kuona kuwa ni wajibu wenu kuiwajibisha serikali kwa kila hatua ,
Kinachoendelea NHIF ni buncruptcy na ndicho hicho hicho hata kwenye hiyo mifuko ya pensheni kinachoendelea
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app